KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 28 May 2013

BY:FLORA LYIMO~ UKIWA NA HAM YA MSOSI FULANI NA HUNAUWEZO WA KUKINUNUA WEWE CHUKUA ANDAZI LAKO AU MKATE KAUNYOFOLEE HAPO NA HUKU UKILIJIWAZA WALA MSOSI HUO KAMA HUYU DADA/MAMA" MBUTA NANGA!!

 Biashara matangazo eee'sasa ona picha za chini 'huyu kaja kumalizia matamanishio yake hapa'
HAPA ANAKULA DONUT"(ANDAZI)
 
Hapa anakula andazi (donut)lake akizania ni Nyama ya ANGUS" hahhahaa" nilicheka sana jamani watu walikuwa wanamwaangalia na huku na mpiga picha basi wakadhania tupo pamoja twatengeneza filamu yetu vile"mbuta nanga"


Sasa wateja wenye hela zao wako humo ndani wanakula kitu cha ukwee na yeye hakuweza kuvumilia kajionea ajiingize hapo na kujinyofolea andazi lake huku akilibukia si mchezo " chezea watu na matamanishi yao na huku hawana uwezo wakujiingiza humo ndani na kujilia vya ukwee" habari ndo hizo msipate shida za minuso ya misosi wakati picha zipo ,wewe tembea na picnic yako''

No comments:

Post a Comment