KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 8 June 2013

BY:FLORA LYIMO~ HARD TALK" HEBU SOMENI HII NILIYOIAMKIA KULE FACEBOOK" WA POSH MTAA HUU MNASEMAJE? MBUTA NANGA!

FLORA LYIMO FASHION POLICE CEO/FOUDER  MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO"
Niliyo yaamkia kule Facebook asubuhi hii'' hivi kuna siku MTANZANIA anaweza kufanya kitu akafanya kiukweli au akapongezwa kiukweli'' Naimanisha kwamba 'muhusika hapa kama ni kweli angekuwa na nia yakusaidia nakubaliana na wanaodai kwamba angempa 50% '' Kwani mimi niliwaambia siku ile hata kabla Marehem hajaletwa Nchini kwamba wafanye Show ya pamoja na Pesa zote ziwe kwa ajili ya Mazishi mazuri na kuisaidia Familia yake'' naona sasa huyu sijui kama kweli ''kaamua kufanya na 15% ndo ataitoa ' Hebu semeni yenu nanyi wengine Mtaa huu mnasemaje"Mbuta Nanga!!
 
  • Nimesikia Mwana FA adai kwamba 15% pesa itakayo patikana , itaenda kwa Mama wa Marehemu Albert Mangwea. Sio sawa kabisa, ,nikujipatia kipato kwa jina la marehemu,Kama ni kumchangia mama wa marehemu kwanini isiwe 100% ? Mwizi mkubwa, alitakiwa afanye anouncement hiyo baada ya kufanya show , ili isijihusishe na huruma za watu kuja kwenye show na kumpa mkwanja huo ,nyambafu. Kama wewe ni Fan wa Mwana FA ,nenda kwenye show yake as a fan, lakini usiende kwajili ya kuguswa na kifo cha Ngwair, kama umeguzwa na kifo hicho, basi jitahidi kutafuta angalau number ya simu au account ya Mama Mangwairi ,umtumie pesa kama mchango kwa yeye mwenywe na sio kumpa mbweha huyo MwanFA, mwenye njaa na asiye na aibu .shanzy type! .
     Imepeperushwa masaa · 5 hours ago near Dar es Salam, Dar es Salaam ·
     
    • Bob Manase 15% my ass!
    •  
    • Bob Manase jambazi,
       
    • Bob Manase juha asiye na aibu'
       
    • Joyc Mike-El amejitolea jamani,its hz show why not,dnt u knw smthng called charity,doesnt matter the percntage as long as katoa from hz own show and hz own heart,wacheni maneno
       
    • Bob Manase Hapana sio kujitolea , anajua kabisa ata jipatia kipato zaidi kukutumia sympathy za mashabik, sawa na Elton John alipo release "Candle in the Wind" kwa kutumai label yake, alijua ata make millions out of it ,halafu small potion inakwenda kwenye charity . haikua sawa. Huyu ni mwizi na anataka na imekua calculated na watu wake. angalau kama anatumai jina la Marehemu ingekau 50% kidogo labda nisinge sumbuka, ingawah ata handling ya hiyo ticket sales tusingejua zime kwuaje .
    • Tusekile Christian Mwana FA Pumba fuuuu!
       
    • Bob Manase Jinga huyo!
       
    • Wabogojo Ford Kamata mwizi men!!
    • Venance Mwingira Jr. tket ziliuzwa kabla kk...... naona umelack info futa kauli n omba msamaha'
    • Venance Mwingira Jr. tket ziliuzwa kabla kk...... naona umelack info futa kauli n omba msamaha'
    • K Wa MaujanjaSaplayaz Ameshaona ugumu wa kupiga hela sasa anataka kuweka urahisi. Haya acha tuone '
    • Mike Chuma Great thinkers anadhania watu bongo zao zimelala sio hahahahaha huu ni zaidi ya wizi eti 15% anahitaji sympath ya washabiki wa ngwear kwenye show yake sio hell Noooooo,km ni kweli why not 75% au atleast 50%?? Pambaf kbs tena watu tunamjua huyu ni kibaraka wa ruge na show yake nyuma kuna mgongo wa clouds ambao walikuwa wakimkamua marehemu km ng'ombe wao vile Mwana FA ebu aache unafki na njaa'
       
    • Godfrey Beatus Watu wana njaa ya ela jamani, i remember pia haya mambo yalitokea kwa Kanumba wen he died
       
    • Aisha Abdallah shenzy typ kabsa, hivi mbona hana hata aibu kama alikosa kufanya dili zake kupata hela ndo ameamua kutumia msiba'
    Nanyi wa Posh Mtaa huu mnaruhusiwa kuacha maoni yenu hapa" And don't forget to FOLLOW THIS BLOG!!

  •  

  • No comments:

    Post a Comment