KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 5 June 2013

HARD TALK~ MBURULA'S WA MAMBURULA'S AWADANGANYA WASOKUWA NA SUPER/ TENA TOP IN THE WORLD BLOG'S KAMA FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG" MBUTA NANGA!! MSIDANGANYIKE WALIMWENGU'

FLORA LYIMO FASHION POLICE /TOP IN TOWN MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO" NA ASOMUOGOPA MTU WALA KITU"
Jamani hebu msomeni huyo hapa chini na mauongo yake' hapo awaonyesheni COPY kama ya kwangu na siyo MANENO MATUPU yakujiandikia' any one anaweza kujiandikia hizo namba kwenye page yake' mie naona hizo ni zile namba alizokuwa ana DO' kule Marekani hadi alipofukuzwa mle'hebu awaambieni ukweli na aache kuwadanganya'vinginevyo Flora Lyimo yupo kuwamulika WAHARIBIFU WOTE' ONE BY ONE" mbuta nanga!!

LE MUTUZ SUPER BLOG YA WANANCHI SASA TUMEANZA KU-HIT FROM 25,00 TO 20,000 VISITORS A DAY + 5,000 WA FACEBOOK = 25,000 VISITORS A DAY!! THANKS PEOPLE!!


Pageviews
Graph of Blogger page views
Top traffic sources - www.jamiiforums.com/www.facebook.com |m.facebook.com | www.google.co.tz


FLORA LYIMO FASHION POLICE PAGE VIWERS 05-06-2013
Graph of Blogger page views
Pageviews today
9,489
Pageviews yesterday
14,557
Pageviews last month
209,396
JAMANI NIMECHEKA SANA JAPO SIKUPENDA MUONE HII 'DAAH'' ILINIBIDI MUIONE SIPENDI WATU KUDANGANYIKA,NA HATA HIVYO INAHUU ' AU NDO KUTAKA KUONYESHA WEWE SIYO MBURULASA WA MA MAMBURULA'S SASA KAA UKIJUA KUNA MCHAGGA TOP IN TOWN ALIOPO MAJUU HAOGOPI KUSEMA UKWELI NA KUYAFICHUA MABOVU YOTE' HASA KUFYETUA FYETUA YOTE NA KUYAANIKA WAZI TENA KWENYE MIKEKA MWEKUNDU' HABARI NDO HIYO NYOTA ZANGU' MPOO"



Hahahhahahaa nimecheka sana alafu ikanibidi nisinyamaze kimnya Walimwengu msojua au kuwa na Blogs mzidi kudanganywa' ukweli ni huu hapa na kama anataka kubisha awaonyesheni kama hii ya kutoka kwangu FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'
Hivi ni kwanini kujipachika vitu usokuwa navyo na kudanganya Wananchi 
au niseme wenzio na huku unajua kuna kitu kinaitwa Upelelezi na Ushaidi''
 Mbuta Nanga" ndiyo maana watu wakasema hayo matangazo yote aliyojaza
 kwenye Kile kiblog chake halipwi hata hela ya soda'' sasa oneni hapa '' 
alafu mjue kweli ukiona mtu akikimbiza mwizi jua yeye ndo mwizi ' ' habari ndo hiyo" so ajipange upya 'hakuna kuwadanganya watu hapa ukidhania Top Bloggers tutakuacha"

4 comments:

  1. uwiiiiiiii,flora lyimo fashion police 'umeuwaaaaaaaaa...jamani nimecheka nimechekaa mpaka basiii''kweli wewe ni top in town mama wa kichagga majuu 'wakuache miaka elfu''

    ReplyDelete
  2. flora nakupendaje my dada
    wote wanaokuchukia wanaumwa kam yule shule mwenye mashavu yaliyomshuka
    watu wanakutukana eti mweusi hawajui weus ndio dili hapa mjini.
    na umemkomesha kweli huy lejingaz coz anapenda sifa wakati ni mbabu
    mburura of ze mbururazi.
    love you flora

    ReplyDelete
  3. ahahah flora kweli hujatulia mpaka na data unazo, nimecheka sina hamu.

    ReplyDelete
  4. umenimlza Kwa kicheko ila pageviews zake umepata wapi una password yake?me ni Blogger na blog Ndo kwanza sio m zoefu niambie plze ili nijihami mtu asij e pata in info za blog yang kirahisi nijibu plse

    ReplyDelete