KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 11 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ KUDADADEKI HEBU MTIZAMENI BEYONCE IN HER BLACK -AND -WHITE SHOT, WHICH FLORA LYIMO THINK SHE IS STUPID NA NDO MMOJAWAPO ANAE WAFUNDISHA WATU KAMA KINA WEMA SEPETU KUJICHUBUA NA KUKATAA MUONEKANO WAO'MBUTA NANGA!!


Keeping it simple: In another image, she looks to the side as she wears another African-inspired beaded accessory around her neck
Keeping it simple: In another image, she looks to the side as she wears another African-inspired beaded accessory around her neck''
Flora Lyimo :say> This is what I don't really understand at all ,kwanini wanafanya Picha kuwa na muonekano Mweusi alafu wanapaka rangi kama hivi ya Nyeupe ? huwa wanaimanisha nini haswa ??kama siyo kuwafundisha watu walio na Rangi zao Nyeusi kuanza kutumia Mikorogo na kuona kwamba ni powa zaidi kwa kuonekana weupe''yani mijitu mingine hasa hii yenye Akili za kijinga kama BeyoncĂ© mburula wa mamburula's kukataa Rangi zao yani wananiudhi hadi natamani kuwachapa na fimbo kama watoto wadogo walokosa adabu ''Ishini kwa kujivunia mlivyo umbwa na siyo kuonyesha kwamba Mungu alivyotuumba Weusi alikosea angetuumba Weupe'' stupid Photos and stupid people all of them who think kujichubua au kuwa Mweupe kuna udili na hivyo kusababisha hata watoto wadogo kuanza kujichubua na kuona kwamba hawapo sawa sababu ya wao kuwa Weusi''Na mwisho wa siku ndo wataanza kufa kwa migonjwa ya Ngozi cancer na vile vile hiyo mijidonge wanayomeza kuwadhuru na kufia hata  mausingizini''chezeeni mijidawa ya kulevya nyie huku mkidanganywa mtakuwa sijui wembamba ,sijui weupe,sijui na pesa nyingi ,sijui na sauti kama za Malaika.yani mtaanza kudondoka kama maparachichi yaloozea mtini 'mbuta nanga' Ningekuwa na uwezo aisee' wote wanaopiga picha za aina hii na wanao uza mikoroga wangekula Vifungo vya Maisha Jela'' Kudadadeki zao STUPID PEOPLE''MAMBURULAS'
Beyonce is famously private about her relationship with husband Jay-Z, but she admitted she does enjoy letting her fans in on her life in other ways.
'I have chosen to keep certain aspects of my life private,' she said. 'But I also love sharing what makes me happy, especially through photography.'
Futuristic femme fatal: Beyonce was smeared in white paint in a striking black-and-white shot, her hair crimped in an unusual style
Futuristic femme fatal: Beyonce was smeared in white paint in a striking black-and-white shot, her hair crimped in an unusual style

TUMESHIRIKI KUTOKA DM''

2 comments:

  1. Sijakuelewa hapa Flora..mbona kwa maoni yangu hizo picha zimemfanya aukumbatie weusi wake na kwa maoni yangu wamecheza na hizo rangi na kumfanya aonekane ana weusi wa asili...kuhusu kujichubua kwa maoni yangu inatokana na insecurities za mtu wenyewe.......sio kukichubua tu kwani hilo ni mojawapo lakini kuna mengi ambo mtu ambaye yupo insecure anayaonyesha kupitia tabia zake na kujichubua ni mojawapo

    ReplyDelete
  2. florah hiyo ndivyo picha zilivyotakiwa kuwa,kila mtu anamtazamo wake pindi atakapoziangalia hizo picha.

    ReplyDelete