KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 28 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ SOMA HII INAKUHUSU''MBUTA NANGA!!


Na Ysambi G.Mboma''

KILA SIKU NASIKIA MAWIFI NDIO WANAOVUNJA NDIO ZA WATU, MAWIFI WABAYA!
Je nani wifi kati ya yule aliyeolewa au wake ambao kaka yao ameoa???

Na nani wabaya kati ya wale walio olewa au wale mambao kaka zao wameoa?? FUTENI UKIMYA JAMANI ILI K...UMALIZA HUO MZOZO KTK JAMII

Utakuta mwamke bila haya analalamika kuwa mawifi wabaya kweli wakati uwo uwo anasahau kuwa nae ni mmoja kati ya mawifi coz kaka zake wameoa!!!! BASI NAE MBAYA''

Nakama mawifi walio olewa ndio wabaya basi nawe mbaya!!!!

So kinadada mnatakiwa kujua kuwa ni nini chanzo kinachofanya mgombane na mawifi zenu!!! UPANDE WANGU MI NI UMBEA NA ROHO MBAYA SIJUI NYINYI

msipolichukia uzito hili mtaendelea kusema mawifi wabaya mawifi wabaya mpaka mwisho

Kingine wanaume pia tunachangia ugomvi kati ya madada na mke wako coz tunakosa misimano (UDHAIFU) laizma dada zako na mkeo wagonbane

Ukiwa kama mwanaume kamili lazima dada zako watambue msinamo wako na lazima wafe wako atambue msimamo wako na chochote cha tofauti kinajitokeza kutoka kwa wife kemea tena kemea sana bila kujali kuwa utamuudhi na chochote kibaya kitacho jitokeza kutoka kwa dada zako kinamuhusu mkeo kemea sana bila kujali nani atachukia

Ila unatakiwa kuwa makini kwa kila habari inayokufika na usiipuuzie coz inaweza kuwa ukweli au uongo so bila kufatilia huwezi kujua ukweli na tatizo likijatokea kaka au mume ndio unashida coz ulishaambiwa!!!

OK KATI YA MADADA NA WAKE WALIO OLEWA NANI WENYE MATATIZO??? MAWIFI HAO JAMANI

BAADHI YA MAJIBU''
Mwalikwapa Simolani Mara nyingi madada huwa wanamatatizo kwa sababu wengi huwa wanamchukulia make no mpita Nokia hawamuoni kama name no mmojawap ktk familia'
  • Edith James mi naona ni chuk ambayo anakua nayo mtu mwenyewe,c mawif wote bt baadh anaona mwenzake hasa wif alieolewa na kakaake anafaid na wanawake/wif weng ni wivu na roho mbaya juu ya wif ake.
     
  • Mwalikwapa Simolani Wan awake tujirekebishe kwa kweli,yaani tunaongoza kwa kuchukiana ,wivu wa kijinga jinga.
  • Rehema Godwin Mwambipile Shida inaanza pale wanapoona mnasikilizana na mambo yanaenda vizuri kosa, utapewa kila aina ya sifa mbaya mchoyo, ana roho mbaya kubwa kuliko Mshirikina kamroga kaka yetu, na hii haipo tu kwa mawifi, kuna familia zingine hata kwa mashemeji pia, mkiwa juu zaidi yao tu kosa, mie naona ni choyo za moyo tu za kibinaadam
  • Ysambi G Mboma Ok tuanze na Rehema Godwin Mwambipile hivi unaamini kweli kuwa kwamba kuna dada ambaye hapendi maelewano ya kaka yake?? Kumbuka kuwa na nawewe ni dada kwa kaka zako so inamaana unaweza kumchukia mke wa kaka yako kwa kuwa anapendwa na kaka yako????
  • Ysambi G Mboma Mwalikwapa bora we umeongea ukweli na cna cha kukuuliza na nadhani we bdio utanisaidia kujibu maswali! No comment kwako
     
  • Ysambi G Mboma Edith umesomeka vizuri so swala nikujilekebisha na kuhepukana na ujinga au vipi mtoto mzuri???
     
  • Rehema Godwin Mwambipile hapana sio wote tuko hivyo, ila asilimia kubwa wapo hivyo,wajua familia za kibantu si zina mfumo mbaya sana sababu labda ya umasikini, yaani kilichopo ni kwamba kijana akisomeshwa or akawa na maisha yake kwa style yoyote yakawa poa, basi cha kwanza angalie familia yao, sasa anapo anzisha ya kwake na kushindwa kujigawa balaa linaanzia hapo, lkn sio lazima tuwe na mfumo huo pia
     
  • Janeth Mpokwa mi ni wifi kwa upande wa kaka angu,pia nina wifi nilikoolewa,ila wifi kwa upande wa kaka sina hata hiyana na wifi yangu coz cjui hata walikutana wapi,na kwa upande wa wif wa mume cna chokochoko nao,ila wakilianzisha lazima mziki uchezwe
     
  • Rehema Godwin Mwambipile muombe mungu wengine wana nguvu za ajabu, na migogoro ikizidi uombe mungu akusaidie mume awe na msimamo, lkn wanaume wengi hawana msimamo kabisa utateseka sana u can't believe pale mume anapokuwa ajulikani atasimama wapi ndipo utakapo ishiwa nguvu na mama mkwe akiingilia akawa upande wa binti zake, uwezi amini waweza kuta huna la kufanya@Janeth Mpokwa
     
  • Ysambi G Mboma Ok mi narudi tena na kurekebisha madada: FUNGUA MIMACHO YAKO USOME

    Uikiwa km mke umeolewa ktk familia fln kwanza unatakiwa kuisoma hiyo familia ilikuwa inaishije kabla ya wewe haujafika ukikurupuka umeharibu

    Ukiingia kwenye nyumba na kutaka kum-drive kaka yao unavyotaka wewe hapo madada watakuchukia

    MFANO: 1)Kaka alikuwa ni mtu no: 1 kwenye matatizo ya kifamilia lkn baada ya wewe kuja amejitoa na akisaidia kidogo anaongeza na kaulli ya kuwa wifi yenu hasinui!!! HIYO WAZI KUWA UNACHUKIA SO WHY MADADA WASIKUCHIKIE

    Ok kuna mifano mingi ila nitajaza nafasi na mtasbindwa kusoma ila turudi kwa madada!!

    Dada umesikia maneno ya wifi swhemu na una uhakika nayo mfate!!!!

    Nenda kawatembelee mueleze tena mbele ya mumewe kuwa wife kuna upuuzi nimeusikia yani ABCD najua huwezi kukubali ila ila plse usifanye tena uwo ujinga nimekuudhi nifate mueleze mumeo aniambie ila ukiongea kwa watu tena nitakukamata na kukupiga makofi sikuwezi peke yangu nitakuja na dada zangu tutakupiga tu so take care!!! KIBISHI ZAIDI

    lkn unaposikia mano na kunyamaza siokwamba unaieshimu ndoa ya kaka yako bali unajenga chuki zisizo kwisha coz haumpi nafasi mtu ya kuomba msamaha na pia hauwezi kumsamehe so bifu bifu bifu moaka mwisho wa maisha yenu na zaidi mtakuwa mnakenuliana meno tu na c kufurahiana kinafki tu!!!!!!
  • Ysambi G Mboma Ha ha ha ha! Janeth Mpokwa ukilianzisha wewe je utawabeba?????

    Ok umeongea vzr Janeth kuwa we ni kwa mke wa kaka zako so hujui walipokitana na ili asigombane na we hasilete choko choko na ni wifi kwa upande wa mumeo (UNAKUWA MPOOLE ILA WAKIZINGUA WATAKUBEBA) upo sawa coz kuna watu wana tabia za chokonyoa watu hata km upo busy na mambo yako mladi tu uongee halafu utasijia wifi mbaya!!!!
  • Ysambi G Mboma Napmba niongee kidogo:

    Watu wanachukulia mawifi na mashemeji ni km watu fln tofauti sana ktk jamii na ndiomaana ugomvi hauishi coz hawachukuliani km ndugu!!!!

    Mchukulie wifi km dada yako ambaye umezaliwa nae tumbo moja au dada mtoto wa baba mkubwa/shangazi nk mtaishi vzr bila vinyongo coz akizingua unchana yanaisha

    Lkn wifi ukimchukulia km boss officen kamwe hamtoenda sawa coz mtakuwa mnaogopana wkt wifi ni ndugu yako wa karibu

    Madhara ya kuogopana:

    Ukimkosea hatikwambia so ili awe huru lzm akaongea nje na wewe ukisikia utakasilika kuwa why aniseme vibaya kwa watu ila tatizo anakuogopa coz haumpi nafasi ya undugu wa karibu na wewe!!!!!

    Mi uwa madada zangu wakinipa mashitaka ya wifi zao nawasikilizaaa halafu nawauliza mmemuita na kumueleza matatizo yake? "HAPANA" kwanini?

    Dada zangu co awambea so wakiniambia kitu uwa nawasikiliza na nakifanyia kazi ila kikubwa uwa nawasisitizia kuwa ukisikia mtu ameongea kitu kibaya na kimekufikia tena yameongewa na wifi yako muite na umueleze na akirudia mume wake we nikaka yako so muite mbele ya mumewe mueleze na mueleze mumewe kuwa nilimkanya mkeo na leo namkanya mbele yako coz hakunielewa- kwa roho safi'
  • Ysambi G Mboma Rehema Godwin Mwambipile kukosa msimamo kwa mwanaume ni hasara ambayo inaweza kuwaumiza ndugu zake au mkewe so ukishaona mumeo hana msimamo amelalia sana kwa dada zake kila kitu we mbaya na umejutahidi kuwa ineshindikana fanya utaratibu wa kuondoka km hamjatoana meno au kudhalilishana, naamini ipo siku atarudi kukwambia am sorry naomba nafanyi nyingine nawe unamjibu 2 late hata km huna mtu mwingine

    Na madada pia mkiona kuwa kaka yenu hana msimamo amelalia sana kwa mkewe na mmejitahidi kuongea nae mmeshindwa muacheni na maisha yake ili mkewe afurahi kuwa amefanikiwa ila ipo siku atarudi na kukubali alikuwa anakose halafu macho makavuu mnamwambia 2 late!!

    So marumbano hayana maana dada zangu!! Soma mchezo utagundua kuwa kaka yangu hapa ameshikwa, muite muulize vipi mbona unebadilika hivyo?? Tena muulize mbele ya wifi yako than uone atakujibu nini!!!!!

    Wifi akiingilia na kuuliza kuwa kwani kabadolika nini? Unamwambia (SHIIIIIIH) tulia, namfaamu huyu tangu tupo chini ya miaka 10 so let me talk with ma brother than nitawaacha na maisha yenu!! MUULIZE KAKA YAKO KWANINI ANABADILIKA ATAKUJIBU ILA MSIGOMBANE NA WIFI YENU ETI KISA KAKA ANABADILIKA COZ MAKAKA WENGINE WANAFIKI MTACHUKIA TU WIFI ZENU BURE'
  • Kate Mboma Mungu alipoumba bustani ya Eden aliumba mke na mume hakuumba "kaka" na "dada" so wanawake tupeane nafasi!
  • Yohana Mbembela hakuna cha wifi wala nani, mwanaume ndiyo mpango mzima katika ndoa, so ukiona tatizo wewe ndiyo unatakiw akusimama imara , na haitakiwi muyumbishwe na mtu yeyote.
  • Je umejifunza nini hapa''wacha maoni yako pia''
  • Flora Lyimo Fashion Police>: Mimi nina Wifi zangu Wawili wakuolewa na Kaka zangu na Wifi mmoja wakuzaa na Kaka yangu (kamdogo kangu na katoto chetu cha Mwicho)Nawapendaje sasa'' na Wifi yangu wa Kwanza ,mimi ndo nilikuwa Post Girl wao 'yani Kaka yangu alikuwa ananituma kila Jumapili kwao ''nipeleke Barua na kusubiria Majibu hapo hapo nirudishe ''mbuta nanga''na nikifika kwa Wifi yangu huyo alikuwa ananipokea Vizuri na Soda 'yani si mwajua miaka ilee''Soda ilikuwa ni kama Mtu umpe Bia badala ya Mbege''Uchaggani lakini''Sijui kwingine'' Anyway 'sijaolewa so I hope Sitokutana na Mawifi hao ''Ila ninatabia ya UPENDO si sitakuwa na Shida na Nitakao wapenda ikiwa una Upendo 'Utapendwa pia'' Ila ikiwa unakwenda kwa watu na kuwadharau basi na wewe kwanini wasikudharau''' mbuta nanga!!
  • 3 comments:

    1. Hahahhaa Flora Lyimo kweli unaupendo na sioni ukiolewa kwanini usipendwe na wifi zako ,naomba uolewe na kaka yangu mana nakupendaa'' pia umenikumbusha mbali sana kuhusu barua'' yani mtu hulali unaandika barua za mapenzi usiku tena gizani na taa za vibatari.chezea mapenzi wewe''

      ReplyDelete
      Replies
      1. yaani dada yangu Flora hapo umenena kutuletea hii topic ya mawifi. Kwa kweli mawifi hasa wa ule upande unaoolewa yaani madada wa mume, sijui ni silika yao au vipi ila sio wote. kwa sababu hata mimi nina mawifi wake za kaka zangu, ila mimi sina shida nao, ila unakuta hasa mawifi huko tunakoolewa wakitakakuanza kukuletea kidomodomo zile siku za mwanzo mwanzo, kwa kweli lazima uwatolee uvivu, yaani nikuwafunga midomo yao fyatu. Yaani watakueshimu sana. Si unajua wanataka kukupima joto lako liko juu au chini? Kwa kweli ukikaa kimya watataka wakupande kichwani ila ukiwa serious na mambo yako wao wenyewe watanywea. Kwa kwali my dada jambo la msingi ni msimamo tuu na sio kitu kingine, maana ukisubiri mpaka kaka yao aongee nao mbona utajuta? kwani nyie hamjui damu ni nzito kuliko maji? Usikubali mtu akuletee za kuleta hapa ni heshima heshima tuu wakikuheshimu nawe utawaheshimu. Hilo ndio jambo la msingi.

        Delete
    2. Lakini ni kweli mimi huwa na washangaa Mawifi wenine?? ni NOMAA''''SASA MADADA BADALA MKAZANE NANYIE MKAOLEWE MNAKAZANA NA YA KAKA YENU MKE WAKE KESHA MUOWA'' UTADHANI WAKITONGOZANA MLIKUWEPO?'...YANI MIMI HATA WIFI ZANGU WAKIGOMBANA NA KAKA ZANGU ''TENA NAONA KAKA ZANGU KAMA WANAWAONEAGA''HAHHAAA'' I LOVE MY WIFI ZANGU''HUWA NAWAONA KAMA NDUGU ZANGU NA HAWANATOFAUTI NA MIMI NA MADADA ZANGU WAKUZALIWA TUMBO MOJA'' YANI UPENDO NA HESHIMA NI MUHIM SANA''ILA KAMA HAVIPO ''BASI '' CHUMVI KWA CHUMVI'''

      ReplyDelete