KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 7 August 2013

BY :FLORA LYIMO ~ MATOKEO YA KWENYE MKUTANO WA WATANZANIA WAISHIO LONDON (UK) KUKUTANA NA WAZIRI MKUU WA TANZANIA MH MIZENGO PINDA & ALSO LEO NI SIKU AMBAYO GODBLESS LEMA MBUNGE WA ARUSHA ALIPO MBAKA (RAPE) FLORA BAHATI LYIMO '' LEO NI MWAKA MMOJA KAMILI AND ALL WE WANT IS JUSTICE'RUWA MANGI!!

FLORA BAHATI LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Kwa wale mnaonitukana na kusema nadanganya''mnawezakusoma hapo chini Email kutoka kwa Police  wanaoshughulika na hichi Kesi''na vile vile kujua ni nini kinaendelea hadi sasa hivi na  jueni kwamba Flora Lyimo halali mpaka the day of Her JUSTICE DAY'' God Is Great All the time'' and JUSTICE IS ALL I WANT NOW''
From: "Shaleena .police.uk"
To: flo1974@btinternet.com
Sent: Tuesday, 30 July 2013, 13:57
Subject: Police Investigation

Ms Lyimo

I am the line manager of DC Ives. I have sat with him today and reviewed the case. There has been work completed and the matter is now with the CPS. It is very likely that the lawyers will want a meeting with DC Ives and this requires an appointment that may take a little time as there is usually a waiting list.
I share your concern regarding the timescales, it is difficult as matters involving extradition always take a long time to complete. I apologise, as I believe DC Ives has in his last e-mail, for the delay.
I will monitor the situation and ensure there are no unnecessary delays.  DC Ives will be in touch touch once he hears back from the CPS.
Regards
DS Shaleena Sheikh
Shaleena Sheikh| DS | SNT | Hackney Borough OCU |MetPhone 753084| Telephone 020 7275 3084| Address  Stoke Newington Police Station, 33 Stoke Newington High Street, London N16 8DS
 Leo ni siku ambayo ni ya Huzuni sana kwangu 'ni ile siku ambayo huyu Mbunge Mburula dirt Rats Godbless Lema Mbunge wa Arusha '(pichani) akiongea na walohudhuria mkutano huu'wakati alipo kuja kufungua Rasmi mkutano wa CHADEMA in London na Kunibaka at my Own Home''
Kisa?? Eti ''''Nilitumwa kwenye huu Mkutano wao na Balozi na Mimi na Rais Kikwete sote ni Wachawi na isitoshe Nyumba yangu nayoishi London Balozi wa Uk Peter Kallaghe ndo anae inilipia'' Hayo ndo madai yake Godbless Lema na Ndicho kilichomfanya kunifanyia Unyama huo na kunichania chania Vitu vyangu ''Na ambalo lengo lake lilikuwa kuniuwa haswaa'' Thanks God my House is so Bless'' na Mama Bikira Maria ndie anae nilinda at my House 'Ukija na Lengo baya at my House yani Huwa kunakitu kitatokea na nitajua au utashikwa Live ukinifanyia ''and  Also thanks kwa Kelele nilizoweza kupiga mayowe haswaa'''
''Mbuta Nanga'' Alikimbiaje sasa'' yani sikumuona tena hadi leo ''na hata nilipoita Police sikujua anakoishi hapa UK na wala sikujua alikoelekea kabisa'' Na sababu hiyo ndo iliyosababisha Police kutokuweza kumkamata na asubuhi hiyo hiyo alionekana Uwanja wa Ndege akielekea Ujerumani'in Picha na habari zilizochapishwa kwenye Gazeti moja la Tanzania'
 Mungu wangu wewe ni wa Rehema najua My justice will come if is not tomorrow then one day kabla sijafa na Yeye hajafa'' All I want is JUSTICE''' So leo tarehe 07/08/2013 ni Mwaka mzima umepita now'' na hutaamini whats happen AGAIN ''LAST NIGHT'' Yani waliokuwepo ndio watakao wasimulieni ''Ama kweli Mikutano au Mahali pakukutana na Watanzania hasa in London (UK) Majuu ni Balaa tupu tena inafaa iitwe siku ya kuwajua Mamburula 'Mamburula Day'' yani si Mchezo ''I just Thanks God 'Kulikuwepo na THE BEST TANZANIAN WAZIRI MKUU EVER TANZANIAN NEVER HAVE'' YANI NI WAZIRI AMBAE ANAIJUA KAZI YAKE HASWA NDO NINI NA PIA HII SIKU KAWAONYESHA WALE BAADHI YA MAMBURULAS ''HOW WATANZANIA NEED TO BE WITH EACH OTHER ''HASA TUNAPOKUWA SOTE TUPO KWENYE NCHI ZA WATU'' THANKS EVER SO MUCH MHESHIMIWA Mizengo Kanyanza Peter Pinda''NA MKEO KIPENZI  God Bless Nyie   Muishi miaka Mingi kwani Watanzania we need nyie na Watu kama Nyie more than anything''' Yani bado nasema MBUTA NANGA!!!
 MNAMUONA MBAKAJI EEE''GODBLESS LEMA MBAKAJI MBUNGE WA ARUSHA AMBAE HIVI SASA HE IS WANTED IN UK ''KWA KUMBAKA FLORA LYIMO AT HER LONDON HOME ON THIS DAY OF HII PICHA KUPIGWA NA MWAKA JANA TAREHE NA MWEZI KAMA LEO'''AND JUSTICE IS WHAT I  NEED'' NOW!!!
 Flora Lyimo at Work kabla yakukutana na Mkutano wa Watanzania Ubalozini ambao sikuwa na habari nao kabisaa''nipo najiuzia Bidhaa zangu Dukani bila hata kuwa na habari kama kulikuwepo na Mkutano wa Watanzania waishio London kukutana na Waziri wetu Mkuu Jana tarehe 6/08/2013 'yani ningejua ninjejiandaje sasa'' and ningepiga Suit Alafu ndo pengine ningepishwa kile kiti cha Yule ''Mburula '' Mbuta Nanga'' Never Mind kuvaa suit kwenye Mikutano siyo Kuwa Waziri Mkuu wala Kiongozi wa Aina yoyote.. Muulizeni Mheshimiwa Waziri wetu mkuu Mizengo Pinda na Mkewe Mpendwa Watakuambia'' I just Love Them na wale Watanzania Wote wasio Mamburulas na Wanafiki  Anonymous Madudukopo'' And simnajua Mimi siwaogopeni nawaambieni ukweli wenu hadharani'''
Na ukiwa Mzee unatakiwa kujiheshimu na Wadogo watakuheshimu''la sivyo utakuja kujikuta ukichapwa na Vijana kama Mtoto''Anyway Subirini Kuna Mengi to come my Tanzanian's '' Kaeni Mkao wakuwajueni Mamburula's na Anonymous Madudukopo''
THE SMILES THAT STAY !!
Hahahahahhaaa HABARI NDO HIYOO''' YANI MSITAKE KUJUA YALITOKEA HAPA SIKU YA LEO ''' ANYWAY WILL TELL NYIE BAADAE,,NOW TIZAMANI HII PICHA INASEMA YOTE''  FROM UBALOZI WA TANZANIAN LONDON ON 06/8/2013'MBUTA NANGA!!!

No comments:

Post a Comment