KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 3 August 2013

MBUTA NANGA'' SHILOLE I LOVE YOU FOR THIS ,,YANI I LOVE HIYO NGUO UMEVAA FOR MY HARUSI DAY'' UKIONA HEKA HEKA JUA FLORA LYIMO FASHION POLICE ANAOLEWAAAAAAAA'''ANYWAY IS SHILOLE FT. CHILLAH - DUDU (www.greatlakesmix.com)

 CHEZEA TOTO LA KICHAGGA LISILOKWISHA MAUTAMUUUUUUUU""

HAPO SASA MWAMUONA MPAKA MWANAUME WA WATU AKIKUBALI EE''ANAVYOPIGA MAKOFI APO CHACHAAA''YOUR ONE AND ONLY FLORA LYIMO FASHION POLICE''AKIWAONYESHENI THE NEW WAY OF KUCHEZA TAARABU ''NA SHILOLE CHAKACHA IMO '''WEWE SIKIZA NGOMA ''NYANYUKA JARIBU KUIGA NI BUREE''MBUTA NANGA'' I  WISH YOU  ALL THE BEST SHILOLE NA WOTE WENYE KUJITAFUTIA RIZIKI ZAO ''MUNGU AWE PAMOJA NASI AMEN'''MBUTA NANGA'RAHA JIPE MWENYEWE JAMANI 'NACHEZAJE HAPA SASA''


YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE: Eti ule mchezo naupenda kanifundisha Baba ''Dhubutuuu''hayo matusi sasa'''hahhahaa''Ule mchezo naupenda kanifundisha Mme wangu /Mpenzi wangu ''' Hapo sasa''Mliona wapi Meli Barabarani ikipishana na Bajaji? Mbuta Nanga''' Eti Swala anataka urafiki na Simba''Halooooo''ataliwaje sasa''mleteniiiiiiiii''hahhaa''I just Love Shilole''yani unajua nilikuwa hata sijui kama kaimba wimbo huu'Thanks to her Haters'' yani Kumbe ukimchukia Mtu na kumuandika Maupuuzi ndo unamfanya ajulikane na kumpandisha ngazi za juu zaidi'''hahhahaa''Endeleeni KUCHUKIA WATU ANONYMOUS ''Mwisho wa siku jueni mnawatajirishaa/Tutajirishaaaaaaa'''Aika Mbee'' ILA HAPA KWANGU NAKUWEKA MZIMA MZIMA NA MAUKWELI YAKO NAKUPA UPENDE USIPENDE'CHEZEA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE AKUACHE KWENYE MATAA''

2 comments:

  1. Flora Lyimo nimekukubali you are a hard working and well-spoken lady '' watu wengine wapo kuharibia wenzao riziki zao'do your thing Shilole wachana na walala hoi'

    ReplyDelete
  2. Hahahaaaaaa..Flora wewe hujatulia kabisa ila nimekupenda bure kwa kuwapa watu makavu live ni nomaa mbuta nanga ..majangaaaaaaaaaaaaaaa'''

    ReplyDelete