KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 9 October 2013

BY:FLORA LYIMO ~ FLORA LYIMO FASHION POLICE OF OF 09/10/2013 IS FROM THE FAB WEDDING OF ISMAL MIDEGO AND AYDA BUNU 2013'' HIVI NYIE MADADA'S MILIVAA HIVI KWENDA KWENYE KITCHEN PARTY ,BEDROOM PARTY OR HARUSINI ? TENA LONDON ? MBUTA NANGA!

 MKAJIPANGA HASWAAAA''' YES NICE KUJIPANGA KI BEDROOM PARTY AU KI 'KITCHEN PARTY BUT NARUDIA TENA NOT FOR THAT FAB HARUSI ''' YANI NIMEFURAHI SANA KUONA MLIVYO NI RAHISISHIA KAZI PIA''MKAJIPANGA WENYEWE MLOMCHAFULIA MDOGO WETU HARUSI YAKE''WALE WALOVAA KIHARUSI HAMJAPIGA NAO PICHA''MAJANGAAAAAAAAA'''''''''MBONA MAJANGAAAAA'' JESTINA MORE PICHA ZA WALE WALO KUJA KIHARUSI PLEASE '' NARUDI NIPO JOB AISEEE''''
 SASA ONENI WENYEWE NA DADA LETU HAPO NA BEGI LAKE KUBWA ..KIPOCHI NDICHO UTAKACHOBEBEA ARUSINI EEE''NDIYO NIKASEMA HAMKUENDA KWENYE HARUSI ''HARUSI BADO ..HII MPO POWA SANA KIBEDROOM PARTY '''' NA SIYO KI HARUSI '''
SASA KABLA SIJAWAAMBIENI MENGI ''WACHENI KWANZA NIWAACHIENI NA NYIE MJITIZAME VIZURI HAPA'' ALAFU MNIAMBIE KAMA SIJAWAAMBIENI UKWELI ''NA JUA UKWELI SIKU ZOTE WAKATA KAMA MSIMENO'' ILA NI VIZURI KUJIFUNZA NA KUJIREKEBISHA FOR THE NEXT TIME''  ANY WAY NYOTA ZANGU SEMENI YENU ''ILA JUENI HAPA HATUKANWI MTU '''ILA ANAAMBIWA UKWELI TU'' SO NO MATUSI COMMENTS  PLEASE....WACHA NIFANYE KAZI KWANZA NARUDI BAADAE....KUWALETEENI WALO FANYA WHAT NA BILA KUWAACHA NYUMA  THE GORGEOUS COUPLE MAHARUSI WENYEWE'' AND  WALO KUJA KIHARUSI NA WALOKUJA KIKUNA NAZI '' MBUTA NANGA!!

9 comments:

  1. mbuta nanga ni kweli hujakosea wamechafua wote'kuna mdada alifunika hatari nitakutumia picha yake pia na mimi nilikuwepo nilifunika hatari,,mwenyewe nilishangaa kuwaona na yellow zao za kulalia ''siyo mtoko wa HARUSINI............hahahhahaa''kweli wewe ni Flora Lyimo Fashion Police wa ukwee''TOP IN TOWN...halooo''

    ReplyDelete
  2. ila kweli mi mwenyewe nilizani wanaenda kparty anyways labda kwa kuwa ni harusi ya kiislam walipaswa wavae vazi linalorelate na uislam

    ReplyDelete
  3. hahahhahahahahaaaa.mimi nimepita tu..Flora Lyimo pokea SHIKAMOO YAKO.....

    ReplyDelete
  4. kweli kabisa hujakosea mdada'' yani utafikiri siyo wale madada wanaojiona wajuaji wa mujini petina ndiyo angetakiwa kujua zaidi kumbe nae ni mle mle....

    ReplyDelete
  5. No umechesha glora hii ni lunch huwezi kuvaa evening dress kwenye lunch isitoshe ilikuwa ni ndoa wapo poa sema wewe na bifuuu lako lol

    ReplyDelete
  6. haloo..mimi penda wewe fashion police hujakose kabisa.. hasa huyo bi dada Beatrice mashauzi meeengi watu wamuone maatawi ya juu..kumbe yuko kwenye kidilisha kila wk mbili anariport(benefit)kazi hafanyi kutembea na waume za watu...msimuone anapendeza au mashauzi waume wa watu wanamtunza..ukishanaganya na benefit ndio kabisa.....FANYA MASHAUZI UKIWA UNAIIANGAIKIA PESA (KUFANYAKAZI)SIO YAKUPEWA VI VOUCHER NA BENEFIT ZA MTOTO UKAJISHAUA..waangalie na yellow zao utafikiri wanaenda mchiriku..natoka kidogo narudi tena..tena flora asante kuweka hii picha

    ReplyDelete
  7. HII NI KWA WEWE ANONYMOUS 16;49... TAFADHALINI NAOMBA NIWAKUMBUSHENI TENA''COMMENTS ZA MATUSI AU ZA MAMBO YENU SIZITAKI APA KAMA HII NIMOJA WAPO YA NYINGI MNAZONIJAZIA INBOX KUWA HUSU HAWA WADADA'S HAPA''
    Ikiwa unashida nao kawatafute im sure ikiwa unaweza kuwafaham kiivi mpaka na BENEFIT wanazopewa lazima unaweza ukawa hata ndugu au jirani yake''sasa naomba umfuate huko kwake ukamuambia FACE TO FACE wacha kuja hapa kujificha na kuniletea miharisho yako unayoharisha kwa Mdomo badala ya KALIO LAKO....sasa hii iwe ya mwisho please my dears'' nawapenda na napenda tusifuatiliane na kujengeana chuki kwa matusi kwenye BLOGS''' SANA SANA VILE VIBLOGNUKA Mnavifaham nendeni huko ndiko kwenye kuhariwa na midomo'' Yani sina Muda wa Matusi hapa kwa my BLOGFRESH YANGU'' KAMA HUNA LAKUSEMA KUHUSU MAVAA YAO NAUKASEMA KIUSTAARABU ILI NA WENGINE WAJIFUNZE NA KUJIREKEBISA BASI WEWE VUA NDALA ZAKO PITA KIMNYAAAAAAAAAAAA''' UKIWA PEKU UKITEMBEA HUSIKIKI SO HABARI NDIYO HIYOO''ASANTE SANA NA TUPENDANENI NA TUAMBIANENI MAUKWELI BILA MATUSI KWANI MATUSI HAMNA HATA MAPYA JAMANI''MBUTA NANGA''

    ReplyDelete
  8. na kweli hizo siyo nguo za kwenda harusini wasikudanganye eti harusi ni ya Kiislam ndiyo wavae vituko hivi nyakuvalia in bed'' hizo nizakulalia kwa wale wanawake wasafi na wenye wanaume matajiri kule Dubai'' mbuta nanga''

    ReplyDelete