KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 7 November 2013

BY:FLORA LYIMO ~ WALOCHAFUA HARUSINI JUZI ''YANI WAMECHAFUA HASWAA'' UTAZANI WAPO KWENYE MKUTANO WAKURUDISHA WATU MAKWAO''MBUTA NANGA!!

 MAHARUSI WAMEPENDEZA KIHARUSI CHAO...HONGERENI MY DEARS...SIWEZI KUWAAMBIENI NEXT TIME MSIWAALIKE WATU WASOJUA NINI CHAKUVAA KWENYE HARUSI ''ILA ''HAMTAKAA MUWACHANE '''SO THAT IS IT''' KILICHOPO NIKUWAAMBIA ADHARANI WALOCHAFUA TUNAWATUNDIKA NA MAVAAZI YAO MACHAFU ILI YASAFISHWE NA MAJI YA MVUA''ZINAWEZA KUWA SAFI KWENDA KUVALIWA NA WASAFISHA  OFISI ZA UARABUNI AU KWA WAHINDI MATAJIRI''MBUTA  NANGA!!

 HAYA JAMANI KUANZIA HAPA TIZAMENI NYIE WENYEWE HAPA NAAMBIWA WALIKUWA KWENYE HARUSI'' JUZI ''KWELI MNAWEZA KUVAAJE HIVI JAMANI ''??YANI KWELI MKADHUBUTU HASWAAAAAAAAAA''' MBONA MSIVAA MKAPENDEZA MARAMOJA TU''NA MAHARUSI WAKAFURAHIA PICHA ZAO ZAKUMBUKUMBU YAO YA MAISHA? HAMJUI HAWATA OWANA TENA? YANI HAKUNA KUHUDHURIA ARUSI YAO TENA WAWILI WAPENDANAO HAWA MLOKWENDA KUWACHAFULIA SHUGHULI YAO MUHIM'' BORA MSINGENYANYUKA KWENYE MAKAO YENU KABISA''' SO SAD TO SEE PEOPLE LIKE THIS KWENYE HARUSI KAMA MPO KWENYE KIKAO CHA WANARUDISHWA MAKWAO''JIREKEBISHENI JAMANI MWATILIA WATU AIBU KWENYE SHUGHULI ZAO ..VAENI HIVI AU VYOVYOTE KWENYE SHUGHULI ZENU'
MBUTA NANGA!!
KIDOLE JUU''NI KWANINI TRAIN INAITWA GARI MOSHI ?? MBUTA NANGA!!
 ANGALIA HAPA HAO WALIVAA SARE WALIVYOPENDEZA '''WHY 80% YA WAALIKWA WAJE KIHASARA HASARA NAMNA HIII? MLICHAPWA NA FIMBO YA CHUMA KILICHOCHOMWA MOTONI MKALAZIMISHWA KWENDA'AU ? SIJAAMINI KABISAA''
 DADA WAKATIKATI ..WASILIANA NA MIMI NITAKUPA KIKLACHI MKOBA BURE ..CHAKUENDEA HARUSINI NA SHUGHULINI KAMA HIZI''HILO BEGI LAKO ''WEWE HEBU MTIZAME BEATRICE HAPO ALAFU UNIAMBIE TOFAUTI YAKE NINI NA WEWE''
 HAHHAHHAAAA'NANI KANYIMWA MBOOOOOOOOO-GAAAAAA-ZA MAJANI? SI MCHEZO ''SASA NDIYO MMEKWENDA HARUSINI HIVI ''SIJAKUBALI ''LULU NIPIGIE UNIAMBIE KAMA NINADANGANYWA HUKUKUWEPO KWENYE HII HARUSI MKAJIVAA HIVI KIHASARA HASARA ''KAMA MMACHINGA ALIEKOSA WATEJA MWEZI MZIMA''AI'''
 HAPA SIJUI NANI ATATAJWA WAKWANZA AISEE HUU MKUTANO HARUDISHWI MTU MAKWAO 'NG'O!!,YANI ''CAMEROON ATAITWA CAMERA''MPAKA KIELEWEKE''

 HAKUNA MATATA'''

 BORA UMEWAOKOA DADA MWENYE BLUE'''
 BORA UMEWAOKOA DADA MWENYE BLACK'''
KIDOLE JUU''NI KWANINI TRAIN INAITWA GARI MOSHI ?? MBUTA NANGA!!
UWIIIIIIIIIIIIIIII'''YANI LULU MAMA ''SIJUI NISEMEJE'' NIMESHINDWA KUANDIKA''' KAZI KWENU ...NYOTA ZANGU'' WACHENI MAONI YENU '' MTAVAA HIVI KIHARUSI KWELI?NA TENA WATU MPO UK -UINGEREZA''? AI'''
  1. MBUTA NANGA....JAMANI HEBU NIPENI UHAKIKA WA HII ARUSI NASIKIA YA JUZI  YANI KWELI PICHA NAZOTUMIWA NI HARUSINI KWELI AU NI MKUTANO WAKURUDISHWA WATU MAKWAO?? SIJAWAHI KUONA MAVAAZI HAYA KIHARUSINI...WACHACHE W ALOVAA 2/10 NA MAHARUSI PEKE YAO WAMEVAA 8/10 NA WAKAPENDEZA KIHARUSI'' ANYWAY '''ENDELEENI KUNITUMIENI PICHA ZA WACHAFUAJI PLEASE''' WHATSAPP +44 7787471024 ,IN FACEBOOK FLORA LYIMO OR flo1974@btinternet.com 
    SIBORA WASINGEENDA WOTE MLOKWENDA KIHUZUNI NA KIMKUTANONI KWA AJILI YA KURUDISHA WATU MAKWAO?'' SO SAD ''': ) MY PEOPLE YOU NEED TO ENJOY MAISHA JAMANI WATANZANI MPO UK-TENA WENGINE LONDON MJI MKUU''MNASHINDWA NA WALE WALIOPO TANZANIA VIJIJINI ? MBUTA NANGA!!!

13 comments:

  1. hahhahhahhhahhahahahah yanii unanichekeshagaaa mimi lo hunaga woga kwennye kuongeaa ukwerii wenyewe siwanakusikia apoo dada anguu ama unamabaunzaaa?

    ReplyDelete
  2. hahahhahhahahhahhahahhahhahhahaaaaaa..nimecheka kwa nguvu kweli''Flora Lyimo Fashion Police wewe ni number 1 kabisa' na hujakosea''si warudi home jamani kuliko kukaa majuu kihuzuni huzini namna hii''tena kwenye harusi'''hahhahhahaaa'' mimi nasubiria wenyewe waamke...

    ReplyDelete
  3. majangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa''kweli wamechafua''ila kusema ukweli flora sikupendi''na nimeshakuambia''

    ReplyDelete
  4. hao maharusi ni akina nani? mbona hatuwajui....tunawatakia maisha mema ya ndoa

    ReplyDelete
  5. KWELI FLORAH WAELEZE KWA KWELI WAMEHARIBU NA HAWAJUI KUVAA.TENA HASWA HAO MADADA WA HUKU KWETU MILTON WASWAHILI WEEEENGI TENA WENGINE WALIKUWA HAWAFAI KUWA HAPA ULAYA WAPO HAPA KWA MAKOSA TU. ULAYA NA WATOTO WA MANZESE NA KARIAKOO NI WAPI NA WAPI JAMANI. MISHANGINGI KIBAO KAMA LILE LI RIZIA NDIO SHANGINGI LA KUTUPWA. WAKE WOTE HAO WA FUNDIKIRA MIBAYA HALAFU MINENE, SASA YULE HANIFA NDIO KAFUNGA KAZ KWA SURA MBAYA SIJAWAHI KUONA. REHEMA NAE CHIZI. YULE MWINGINE NENE KAMA RIZIA. YANI KWA KIFUPI WAKE ZAO HAWANA MVUTO. HALAFU WACHAWI WANALOGA WAUME ZAO KAMA HAWANA AKILI NA WAUME WAMELOGEKA MANAKE YAMEZUBAA KAMA MAZUZU UKIKUTANA NA HAO KINAFUDIKIRA HATA HAWAVUTII WAMEFIFIA KWA KULISHWA MIDAWA. HALAFU SASA RIZIA KAMUINGIZA HANAN KWENYE MKUMBO WA KULOGA MPAKA ROB KAMUACHA GRACE. NA ROSE NAE INAHUSU NINI SURA KAMA MZEE ASIEKUMBUKA MIAKA YAKE. NA WEWE MARIAM MMASAI UMEVAA KAMA UNAENDA SOKONI INA HUU, WAKATI UPO ULAYA JAMANI BASI RUDINI NYUMBANI KAMA ANAVYOSEMA FASHION POLICE FLORAH. MNATIA AIBU

    ReplyDelete
  6. jamani florah mbona yule dada wa katikati aliyevaa nguo nyeusi ndefu kapendeza tena yeye na huyodada mwingine aliyevaa kihindi mwenye klachi( picha ya 6) hata mkoba wake mzuri. yule wa pembeni yake aliyevaa kijani na mtandio wa pink ndio simuelewi, hivi na yeye yupo huko ulaya? mbona sura yake nyodo na nguo mbaya. jamani mpo huko ulaya halafu nguo mbaya hivyo? na hao waliovaa cheni za usoni sijawapenda mambo ya mbilia bel yamepitwa na wakati. changamkeni huko majuu

    ReplyDelete
  7. WEWE ANONYMOUS OF 23:28 ....NAOMBA UKAE UKIJUA PAMOJA NA WENGINE WOTE AMBAO COMMENTS ZENU HAMJAZIONA HAPA '''NI KWASABABU YA MATUSI MLOENGEZA YANI COMMENTS ZA MATUSI 90% HAMTOZIONA KABISA'' KAMA UNAKIDUKUDUKU NA WALIOPO KWENYE PICHA HIZI 'PLEASE KAWAFUATE AU WAANDIKIE AU WAFUNGULIE BLOG YAKO ILI UWATUKANIE HUMO NA KUWAAMBIA UNAYOYAJUA WAMEFANYA'' YANI NA VILE VILE UNAVYOSEMA WATU WANENE..KWELI WEWE LAZIMA MGONJWA NA UMEKONDA KAMA NYOKA MWENYE KWASHAKOO.....KUNENEPA HUJUI KUNA DILII EE...WHY KUNENEPA KUNAKURUSHA ROHO WATU WANAKULA YAO WANATUNZWA IPASAVYO NA WAUME ZAO WANANENEPA KWA MAISHA NA AFYA YAO...SO WEWE TAFUTA BWANA AU MME NAWE AKUNENEPESHE KWA MATAMU TAMU YAKE....LINGINE HAO UNAOWATAJA HATA SIWAFAHAM NI KINA NANI ..KWA HIYO JAMANI NAOMBA MNISAMEHE IKIWA MNAJIJUA MMETAJWA HAPA NA UPO KWENYE PICHA HIZI ''WEWE JIREKEBISHE KWA KUVAA IPASAVYO LAKINI ...MANENO YA WAPUMBAVU WACHANIE MAHELA ''MWISHO WASIKU WATAZIDI KUKONDA...........SO PLS NAOMBA MSIWEKE COMMENTS MIMATUSI ZAIDI YA 40% SITOZIACHIA KABISA..NA NDIYO MAANA HAMJAZIONA HAPA..THANKS AND STAY BLESS ALWAYS MY DEARS!!

    ReplyDelete
  8. kweli uchafu mtupu ..hivi wapo uk au wapo kariakoo''

    ReplyDelete
  9. wacha weeeeeeeee''na umesema kweli flora lyimo ''japo ukweli unauma 'ni wakati wao kujirekebisha' holi nzima wote wamevaa zerooooooooooo''''

    ReplyDelete
  10. Jamani huyo biharusi hata sio mzuri mbona aje bongo aone wadada walivyokuwa wazuri.amevaa kawaida mbona harusi gani hii

    ReplyDelete
  11. Rizia Chelu Fundikira , amezidi kuingilia mambo ya watu kujifanya yeye gangwe aogopi mtu yoyote lakini mbaya hakuna dunia nzima, kwanza shule ajasoma kaishia form four akapata division ziro, akaenda miss manzese ndio akampata huyo chelu, basi tunakoma duniani, huyo chelu naye ndio kama zuzu asikii aoni kwa miss manzese wake yaani Mbona Majanga, Rizia tumekuchoka watu wa UK na Tabia yako mbaya kila siku wewe tu mbona wenzako kina hanifa Mshama hawako hivyo, hanifa anasifika kwa tabia nzuri lakini bi Christa yeye kujifanya mpole wakati hamna mtu muono na mtetaji kama yeye, kutwa kucha kuteta watu na kuwasema vibaya anajiona yeye ndio bora kuliko watu wote ana aina ya watu ambao anawaona class ndio anaongea nao kias katokea mikocheni, mikocheni kwenyewe anakotokea karibu na kiwanda cha cocacola ambako ni uswahilini kama manzese, Je angetokea Regent Estate Tungesemaje siku hzi kamfundisha mumewe nzwala kupaka carolite basi wote wanang'aa kama WAZAIRE, Anyway lets go back to the topic Rizia Tumekuchoka watu wa Milton na huyo best wake mmbea mfupi Rose Kois kutwa kucha kulala na viserengeti boys, si kalala na kulwa bwana bwana wa huri kwenye birthday ya mwanao amina au unafanya siri? Tunamuangalia tu huyo benny anavyojifanya will smith na jada wakati mkewe anamegwa kisela , mbona mjini kazi, NI HAYO TU KWA LEO NIMEMALIZA NUKTA

    ReplyDelete
  12. dada yangu flora shimboni shafoo,usibanie hiyo comment ndefu huyo rizia na rose koia wamezidi umbea milton keynes naomba uiachie hiyo comment wapate message yao, wamemfundisha hanna wa rob tabia mbaya naye kawa kama shetani siku hzi....!

    ReplyDelete
  13. ALICE NYAKYOMA, Kiroho safi na wewe hiyo make up alikupaka nani?

    ReplyDelete