KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 31 December 2013

BY:FLORA LYIMO ~ HIVI NA VINGINE VINGI VYA PATIKANA AT FL DESIGNS&TRADES IN LONDON OXFORD STREET AND KWA MKOPO EXPRESS OF LONDON ACCESSORIES'KARIBU!!


JAMANI NAPENDA KUWATAKIENI MWAKA MPYA WENYE MAFANIKIO MEMA NA HUU WIMBO NAWAWEKEENI KWA AJILI YA WOTE NI WAPENDANO NA MOYO WANGU WOTE' MY AFRICAN KING TO BE,MY FAMILIA ZANGU ZOTE ,MY FRIENDS WANGU WA UKWEE NA WALE WENGINE AMBAO HATUJUANI ILA TUNAMAPENZI YA UKWEE ,MY FANS AND MY CUSTOMERS...ENJOY THE SONG' THINK OF FLORA LYIMO 'HOW SHE LOVE TAARABU ,MITOKO ,KUSEMA KWELI ,MAENDELEO YA WATANZANIA WENZAKE,KUSAIDIA YOYOTE PALE AWEZAVYO ,KUFANYA YAKE ,NA MWISHO KABISA KUMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO '' RUWA MANGI ''AIKA MBEE'
'MBUTA NANGA!! ENJOY WHAT YOUR DOING MY DEARS''

HABARI NDIYO HIYO 'NASUBIRA MIE''









 TUNAJIAMINI AND HERE TO MAKE SURE YOU LOOK SEXY ,FEEL SEXY ANYTIME ,ANYPLACE ,ANYWHERE'' MWANAMKE KUJIAMINI NA KUFANYA YAKE''






THE WORK OF FLORA LYIMO ' WELCOME TO OUR SHOP FL DESIGNS&TRADES
TUNAKILA KITU NA KWA BEI POWA '' YANI WE ARE THE BEST HAPA MJI MKUU WA UINGEREZA OXFORD STREET MTAA WA MAHELA''
MORE TO COME DONT FORGET TO FOLLOW THIS BLOG' IF YOU HAVEN'T SO NOT TO MISS A THING'' ALSO WE THANK YOU FOR YOUR LOVE AND SUPPORT ''
BE BLESS ALWAYS ''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

5 comments:

  1. kuna msanii bongo anaitwa manaiki ..anapenda sana kupiga picha na wanawake ..check pic zake..ila wewwe mzuri aisee..nimeishia hapo ..usinielewe vibaya'

    ReplyDelete
  2. Florah mambo vipi.Duuuuu miinakufagilia sana tu we ndo mkali wao,miniko bongo sasa hivi ila naishi uholanzi so kama vipi mwezi ujao nitakua Holland ntakutafuta tufanye yetu'' ila naona lazima una mme tiyari 'Worryout ,niko naangalia mapicha yako .chapa ila tishaaa mbaya ..kweli wewe ni mzuri na unamvuto wanaokutukana wanakuonea wivu na kukutamani 'they wish wawe wewe'' huyo mme ulonae anabahati kweli aisee''

    ReplyDelete
  3. a special wish for the upcoming new year 2014...stay blessed and have success in whatever you are doing to persue..

    ReplyDelete
  4. happy New Year my Flora Lyimo Fashion Police''

    ReplyDelete
  5. Flora Lyimo nimekukubali wewe ni mjasiliamali wa ukweli ''siyo bure wasikuandame mama umewazidi sana'bidhaa zako za ukweli mji mkuu siyo wale wenye vibanda sinza na wanaishi uk''mbuta nanga'' Happy New Year'' Ila usiweke picha zako za uchi mwaka huu pls!!

    ReplyDelete