KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 17 February 2014

BY FLORA LYIMO ~ALBUM (2) OF MAKAMUZI YA DIMPOZ SHOW ON 15/2/2014 IN LONDON 'ONA WATU WA UK WALIVYOMPA KIZUNGUZUNGU ''MBUTA NANGA!!


 Mpora wetu nae alimwambia Dimpoz baadae 'sasa Dimpoz hakujua kwamba anamuomba apige ule wimbo wake wa Badae'' habari ndo hiyo ' Kasongo's Wife to Be'' hapa kuja baadae umesikia Dimpoz eee''mbuta nanga!!
 Mnamuona super mdoli wa Maskini 'nae hakubaki nyuma bila kwenda kupanda stage kutuza our Super star Dimpoz Mr Baadaeeee'' kila kitu ni baadae ''

 Sasa hapa huwezi kuikata Picha kila mpanda stage hapa kutuza lazima anasike'' na hakuna kusema usiweke Picha ''yani kama hutaki Picha usipande stage '' kaa chini Enjoy kivyako vyako Hutanasika 'samahani lakini huu ujumbe ni kwa wale wote huja kunifuata na kuniambia hawataki niweke picha zao wakati weneywe wanatuzibia kazi zetu sasa tufanyeje'' hebu nijibuni nyota za Flora Lyimo Fashion PoliceBlog
 mjanja wa Mujini haachi pombe yake mezani akarudi kuinywa 'na wengine pia mjifunze hilo '' huwezi jua mbaya wako na mzuri wako nani ''so wewe maliza kinywaji chako au tembea nacho kila mahali hata chooni wewe nenda nacho 'mbuta  nanga!!
 mjanja mwingine wa Mujini huyu hapa haachi pombe yake mezani akarudi kuinywa 'na wengine pia mjifunze hilo '' huwezi jua mbaya wako na mzuri wako nani ''so wewe maliza kinywaji chako au tembea nacho kila mahali hata chooni wewe nenda nacho 'mbuta  nanga!!
 chezea Mr Maskini na Super Mdoli wake 'mapenzi yako moto moto yana wake red haswaaa'Mama (Zaomba) kule anachekeleaje'' haya weweee'na tuwache movie iendeleeeeeeee''




 WAREMBO WAMERIDHIKAJE''YANI HAKUNA MTU KULALAMIKA'SAFIII'YUSO ZASEMA YOTE''


 Mnaisoma hiyo lakini ''Is it me you're looking for ? yani fanya fujo utampata in no time'mbuta nanga!!

 mastaa wakutana..haya kila mtu sema ..SALAMA IN THE HOUSEEEEEEEEEE''' MBUTA NANGA!!





 MWENYE MACHO HAAMBIWI TIZAMA,HABARI NDO HIYOOO''


 MOYO WANGU 'BAADAEEE''BAADAE,EEE,,EEEE,,








 RAHA YA MDUARA NI KUDUARIKA ,SASA FLORA LYIMO HAKUWEPO KIKAMERA ALIKUWEPO KUDUARIKA ZAIDI''YANI SIKUJA NA MY PROFESSIONAL CAMERA NDIYO MAANA LEO MNANIONA NIPO KWENYE PICHA ZA WATU WENGI WALOKUWA WANAPIGA PICHA ''AISEEE'' KUMBE HUWA NINA MISI MAMBO HIVI EEEE'' ILA I LOVE MY JOB''BLOGGING , KUANDIKA HABARI ZOTE,AND TAKING PHOTO'S''

 HAPO KWAKEEEEEEEEEEEE''CHEZEA FLORA LYIMO AKIWA ANADUARIKA NA SUPER STAR DIMPOZ'''

 WACHA MOVIE IENDELEEE'KUNA SHIDAAA'HAKUNA SHIDA HAKI YA MUNGU '' SIUNAJUA TUPO NA SUPER MDOLI WA MASKINI EEEE'' MBUTA NANGA!!
 MR &MRS WAKITUFANYIA KWELI ''HANI HAPA MAMBO NI FASTA FASTA ''
 Kasongo hiyo haijalipiwa ''hakuna kuwapa marafiki zako bure''hapa ni pesa kwanza hakuna cha mjombo wala shangazi ''chezea Mpora wetu wewe''she know Biashara kama Mchagga''Mbuta Nanga!!
 Kipimo kimekamilika simnaona eee'' Yes Mpora tumeona kabisa''
 Hapa Dimpoz apangushwa na Maminoti ya Ukweli ,chezea wafanyakweli wa UK 'Mambo ni Paundi tu''
Muke ya MERE' Jestina leo nilimuachia kazi ya kufyetua watu ''mimi sikuenda na my Professional Camera so was full kuduarika'' Na hii ni kwa wale mnaopigwa Picha alafu mnaanza kulalamikia watu 'yani siyo kazi rahisi kabisa na ngum zaidi kwenda kuziweka kwenye Blog'' yani unapompata mtu anakupiga picha bure bila hata kumlipa ushukuru sana ''yani watu wengine ni nuksi tu ''mtu mlevi hata hajiwezi ila akifika kesho yake kajiweza na kuweza kujiona vituko vyake alivyokuwa anavifanya anaanza kukutukana bila hata haya'' eti ondoa picha yake''mara nguo fupi ,mara tumbo kubwa ,mara chupi ni kubwa alijisahau kavaa chupi ya kushindia home''yani mamisababu kibao ''Sasa hivi watu tunawaheshimuni maana hatuna hata huo muda wakupingana na nyie kutoa picha'' kwa upande wa Flora Lyimo Fashion Police Blog, Yeye akikunasa ukiwa upo na kitu cha kumfanya airushe picha yako kwenye Blog atairusha hata utukane vipi na ikiwa umepanda stage kumziba msanii lazima ujue utanasika na hapo pia huwezi kuja kumlalamikia mtu '' kama vipi wewe kaa zako Home'' Mwanamke kujiamini na umejiamini umevaa na ukaja hadi Club '''hakuna alokulazimisha wala alokuchagulia hiyo Nguo Fupi ''umeivaa mwenyewe''kwa hiyo ni hayo tu ''my dear Tanzanian's ''watu hasa Kina Mama/Dada mnatakiwa kujiamini zaidi 'na jua ukishatoka nyumbani wewe sasa ni wa Kila mtu na kila kitu'' Stay Bless Always na kumbuka LOVE IS THE TALK OF MUJINI''
Flora Lyimo Fashion Police Blog' 

No comments:

Post a Comment