KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 28 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ ALBUM (2) KULISHA NA KULISHWA THE CAKE' OF SEXY FLORA LYIMO IN HERSELF 40th 'BIRTHDAY CAKE' ITS ALL ABOUT FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' KANTANGAZEE'MBUTA NANGA!!


Habari ndiyo hiyooo'' I love my Home Partys kwa sababu I can kesha nikisikiliza Taarabu All night'' Yani asikudanganye Mtu ''Party za Kufanyia Nyumbani ndiyo Mambo yote'' Now unaweza kujiburudisha kwa Taarabu song na huku ukijionea Mambo Moto Moto yaliyokuwa Live at Flora Lyimo 40th Birthday Party at her London Blessing Home'' Enjoy '''NA NARUDIA TENA 'tena kwa herufi kubwa kwa sababu kubwa'' WALE WOTE MLIOWEZA KUFIKA KUJA KUNISAIDI KUMSHUKURU MUNGU USIKU HUU HAPA NYUMBANI KWANGU 'KUIKATA CAKE NA KUKESHA NA MIMI'' MLITISHAA'' I LOVE YOU ALL SO MUCH ''AND THANKS FOR HELPING ME TO KILL ALL MY HATERS'' WE DID KILL THEM ''YANI WAMEKUFAA''R.I.P. NA UNAFIKI WENU '' ETI WENGINE WANAALIKWA NA KUSEMA TUTAKUJA''THEN HAWAJI NA HATA SIM HAWAPIGI KUNIJULISHA HAWAJI''ALAFU BILA AIBU INAJITOKEZA FACEBOOK TO COMMENTS ON MY PHOTO'S ''HATA AIBU HAMUONI ? KWELI HII NDIYO DAWA YENU''IM BLESSED NA NIMEWAUWA KWA MATENDO NOW PITENI KIMNYA KIMNYAAA''' HATERS YOU WILL NEVER WIN ' Now wacha mapicha moto moto yaendelee''' this is how I DO IT''' FLORA LYIMO DO IT LIKE UONAVYO HAPAA'


RAHA YA UPENDO NI KULISHA NA KULISHWAAAAAAA'' MBUTA NANGA'' NIMWANGILIENI MARAHA MIEEE'' RAHA HARANI ETI EEE'' WACHA PICHA ZIENDELEE''NIMEWAACHIENI PICHA ZISEME YOTE ''MAANA PICHA NDIZO MAMBO YOTE'''AND I LOVE PHOTO'S BILA KUJIPIGA PICHA KWA SIKU NAONAGA KAMA BADO HAKUJAKUCHAAA''MBUTA NANGA!!










































MBUTA NANGA'''HAHHAHAAA'JAMANI HUYU SHEMEJI YANGU NI HATARIII''NAMPENDA SANA YANI YEYE NA WIFI YANGU NI KAMA BARABARA NA GARI'' VITUKO VYAO NI KAMA VYANGU ''NA NAWAPENDA SANA NA TUMETOKA MBALI NA TUTAKWENDA MABALI PAMOJA '' GOD BLESS PENDO LETU LIDUM MILELE AMEN'' KWELI I HAD FAB BIRTHDAY PARTY OF MY MIAKA AROBAINI HAPA DUNIANI ''AND I CANT WAIT FOR THOSE NEXT MIAKA AROBAINI''RUWA AIKA MBEE!!






Hhahahhaaaa' Yani the Cake was FAB and YUMMY ''Ililiwaje sasa'' and iliyobakia Imeshakwisha piaa''I love it'' Thanks again ever so much my Friends wote mliokuja kunisaidia kuila na kuilamba cake yangu ''the cake of Flora Lyimo sexy Body'' aka Flora Lyimo How to Look sexy at Home'' Be Bless always'' And you haters''now you see what you miss'' Hahahaaa''Matumbo yanawaumaje sasa'' Mlidhani Flora Lyimo anabahatisha eee'' Miaka yote mlonifaham''I think kwa Unafiki wenu mmeshasahau how I do it''Now here is your Reminder'' THIS IS HOW FLORA LYIMO DO HER BIRTHDAY PART'S.. Kama Una bisha'' Nitumieni zenu ''for all miaka mliyokaa hapa UK'' Wacheni Wivu na Unafiki Watanzania wenzangu'' Sasa mmefaidi Nini ikiwa nimewaalika na mkaacha kuja na wengine kwenye mashughuli yenu Mnanialika na kufika tena hadi kusaidia kwa lolote'' You know what IM SO BLESSED AND NDIYO MAANA NAZIDI KUBARIKIWA ''SIKOSAGI £50 MFUKONI '' AND THAT IS FOR ME TO DO WHAT I WANT '' NA VIHAMSINI VYANGU '''VINANIPELEKA MBIO '' aka VINAWAUMIZENI ROHO'' Ahhh''POLENI SANA '' MLOTAKA HAYAKUWA ,YAMEKUWA NILOTAKA MIE''
Now Follow This Blog'' ili usipitwe na the next Album'' coming soon ''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

3 comments:

  1. Haloooooooooooooooo'kweli wataumwa sanaaaaaaaaa''na WAKAKUTANGAZE MR AND MRS MBUTA NANGA'

    ReplyDelete
  2. mbuta nanga UMETISHAAAAAAAAAAAA''UK YOTE HAWAKUWEZI ''Wenye wivu wakasage chupa wanywe''

    ReplyDelete
  3. wape wape vidonge vyao mpora''' tena huyo salha ndiyo mnafki mkubwa anakusanifu na lulu clara '''ndiyo maana hakuja na ulimwaalika 'Flora jiepushe na marafiki wanafiki tushakukanya wewe hutusikilizi ona sasa walikaa na lulu kuomba watu wasije ili uwe peke yako..mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu'''

    ReplyDelete