KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 27 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ ONA PICHA YA MKE HALALI WA CHARLES aka MWANAUME KITOMBI TOMBI NA TAPELI LA MAPENZI TANZANIA '' MAMA MWENYE NDOA HALALI NA WATOTO HALALI Vs'VICKY KAMATA MWENYE KUTAPELIWA NA MWENYE WATOTO WAWILI MMOJA NI WA MTU MKUBWA NA MME WA MTU HUKO TANZANIA 'WANAWAKE WENZANGU JIFUNZENI KUTOKA HAPA''MBUTA NANGA!!



 THE TOP IN TOWN WAKUTANA NA PALIKUWA HAPATOSHII''JAMANI I MISS HER SO MUCH ''HEBU MTULETEE MATAARABU SASA JAMANI''
THE TOP IN TOWN MWENZAKE FLORA LYIMO FASHION POLICE''AKIFANYA YAKE''SHOWING HER LOVE AND SUPPORT '' RAHA YA HELA NI MATUMIZIIIII''MBUTA NANGA'' ANYWAY ''SASA SHUKA CHINI KAPATE HABARI HII YAKUSIKITISHA NA KUWAAMSHA KINA MAMA WENZANGU  ''BY:FLORA LYIMO '
JAMANI MY TOP IN TOWN ..SHIKAMOO KHADIJA KOPA'' 
Mimi naomba uturudie huu wimbo ''UNARINGA UMEPIMA WEWE???HAPO SASA''KAJITANGAZE KWANZA ALAFU UWATANGAZE WENZIO ''

HAPO KWA MABWANA TUMIA VITOMBI TOMBI aka MAPATELI YA MAPENZI '' HAKUNA MWANAUME HUIBIWA''WAO SIYO MAITI KWENYE GENEZA JAMANI''HALOOOO''MPO HAPO EEE'' HAYA TWENDE NA TAARABU '' UMEPIMA WEYEEEEEEEEEEE' UNA RINGA SHOGA 'UMEPIMA''? SHAURI LOOO'''' 'WACHA KUWATANGAZA WENZIO WANA UKWIMWI WAKATI CHUMBANI KWAKO MKE MWENZIO ANAJUA KUNA MASHUKA MANNE'' NA MME KILA LUNCH TIME ANAKULA KWA MKE MWENZA'' MBUTA NANGA''TUTAKUFAJE WENGI'' JAMANI OMBENI MUNGU SANA ''HAWA WANAUME NDIYO CHANZO CHA MAGONJWA YOTE MAKUBWA DUNIANI ''HAWARIDHIKIIIIIIIIIIIIIII'''
 BLESS ''MNAMUONA MKE HALALI NA WATOTO HALALI WA CHARLES (Kitombi Tombi na tapeli mkubwa wa mapenzi) Yani hakuna Lingine lakumuita huyu mwanaume''Hebu nyie Tizameni hapa huyu Mke wake na Watoto aliowaacha na kutaka kwenda kufunga Ndoa ya kiutapeli na Mwanamke Mwingine ambae nae zake ni Pesa na Bila kujali kuolewa kwanza alafu ndipo uzae'' (Hapo mwanzoni) Aliekuzalisha Vicky ulijua unamtaka mimanoti yake na ulijua wazi hata miaka elfu asinge weza kuvunja Ndoa yake kwa sababu ya wewe kumzalia'Mwisho wa siku Mkapatana na mkaapiana kunyamaza kimnya ili mradi mimanoti ipo kwenye benki yako Vicky na Limjumba la maana na magari bila kusahau nafasi ya kazi nzuri ya Ubunge huko Nyumbani Tanzania'' 
Vicky Alikuwa UK Southampton University (jina melihifadhi) akifanya Masters ambayo alifeli .anyway '' huku akipiga hatua za Glasgow na mwanaume alie kuwa anafanya kazi post doc Glasgow akiwa ana mahusiano makubwa nae,sim zilikuwa zinapigwa kutoka kwa mkubwa huyu ambae kazaa nae mtoto huyo wa kwanza na kumlipia fees ,Yani walikuwa wanamuweka loud speaker ' wabongo anapiga sim na wa Glasgow anajilia vitu vyake huku akimsikiliza mwaume mwenzake akidanganywa'' duuu'' kweli Dunia imekwisha''HATAREEE''Lets turudi kwa huyu Mke wa HALALI'' Sasa huyu Mke kisa cha kuachana na Mme wake huyu Tapeli la mapenzi '' ni utombi tombi wake'' na akaamua kwenda kujipumzisha kwake mbali na Mke wake huyu '' Huko kujipumzisha kwake ndiko anakojipatia nafasi nzuri ya utapeli wa hali ya juu kama mnavyoona na kusikia sasa hivi kuozeshwa kwa Ndoa mpya hiyo iliyokuwa ifungwe juzi jumamosi tarehe ishini na nne mwezi wa tano mwaka elfu mbili kumi na nne yani siku moja na the TOP IN TOWN MWENZA KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST 24.5.2014 ' Sijui kama walikuwa wamepania hii siku ''Ruwa Mangi''
Mwanaume mzima bila hata Haya unawezaje kumdanganya Mwenzio kiasi hichi na mahela kuchangisha watu ya Harusi na huku unajua kwamba una Ndoa ya KANISANI NA BADO HAMJAPEANA TALAKA YA MAELEWANO NA MKE WAKO WA HALALI ? KWELI KAMA HUU SIYO UTAPELI WA KIFUNGO CHA MIAKA SABA (7) JELA NI NINI ?WANACHI WA TANZANIA WENZANGU HEBU TUSHAURIANENI HILI GONJWA TULIANGAMIZE 'LA SIVYO WENGI TUTAKUFA HASA KINA MAMA''  HEBU JIULIZENI  WATOTO WATABAKIA WAKILELEWA NA NANI (HAKUNA KAMA MAMA) HATA UWE NA BABA ANAE MILIKI ULIMWENGU'' MAMA NI MAMA TU''NA MAMA NDIYO ROHO ZA WENGI KAMA SIYO MAMA HAPA DUNIANI USINGELIKUWEPO LEO'' POLE VICKY NA MKE MWENZIO'' KWANI NYIE HAMNA MAKOSA 'MAKOSA NA YA HUYU TAPELI LA MAPENZI Charles''CHA MUHIM SASA NI KUMFUNGA HUYU TAPELI'' CHARLES''ILI WANAUME WENZAKE (MATAPELI WA MAPENZI WATOE MFANO NA WAKAE WAKIJUA KIFUNGO CHA MIAKA SABA JELA KINAWASUBIRIA''(THINK BEFORE YOU DO) WAZUNGU WACHASEMA''MBUTA  NANGA!!
 VICKY KAMATA NA WATOTO WAKE '(majina mengine bwana ni nomaa) Kamata na kakamata kweli kweli '' Anyway ''Pichani ni MAMA NA WANAE'LEVO 16 YRS NA GLORY 5YRS NA HUYU LEVO NDIYO MTOTO WA MTU HUYU MKUBWA SERIKALINI AMBAE JINA (nimelihifadhi) Na Vicky hiyo ndiyo sababu yake kupewa hata hiyo kazi ya Ubunge ''Yani kweli Kula na Wakubwa kuna Faida na Hasara zake''
FAIDA''
Unaweza Kupewa mfuko wa mihela na kuridhika na Mtoto wako na mihela yako hiyo ukakaa Kinya bila Mke wa mtu kujua''Na usisahau Mtoto atakuja kuhitaji kumjua Baba yake''   
HASARA''
 Hasara ni pale utajakukutana na Watu wasio jali huyu ulie zaa nae na kukuanika mitandaoni kweupee'''Siyo wote hawatakuandika mitandaoni kama Flora Lyimo nilivyofanya hapa'' Jua watu wengi hawana SIRI na wakati kama huu ndiyo kila kitu huwa kinatolewa nje nje Maana kama ni ushaidi upo na kama ni DNA zipo ''
Mimi nilichokiona hapa ni kwamba ''TATIZO SIYO MTOTO WAKO WA NJE NA MKUBWA HUYO''TATIZO NI NDOA YAKO KUOZESHWA IKAOZA KABISA IKIWA MPYAAA'' NA MKE MWENZAKO'' SO WACHA TUYAZINGATIE HAYO YA KWENU NYIE WATATU ''VICKY 'MKE WA HALALI NA CHARLES''
 Mpendwa wangu Vicky 'Huu niushauri Mdogo tuu'' Kutoka kwa Your Top in Town Flora Lyimo Fashion Police '' (1)Fanya utoke hapo Hospital ''Urudi Home ili usije beba magonjwa mengine humo ' (2) Jipange upya sasa'Kila ulicho nacho cha huyu tapeli peleka kwa charity yoyote huko Bongo '' Msahau kabisa na isitoshe mfungulie mashitaka ya kukutapeli '' utajua mwenyewe ikiwa mmeelewana kwa yeye kukuambia kaowa au la'' Ila hata wewe usipotaka kumfungulia mashitaka 'Sasa Mke wake wa Halali atamfungulia mashitaka na vile vile Serikali ishajua sasa hivi huyu ni tapeli mkubwa sana na ni hatari kwa wanawake''Huwezi mtapeli Mtu kiasi hicho na huku unawakimbia Watoto wako uliowazaa wewe mwenyewe'' How come ukimbie Watoto wako alafu huku unakwenda kumzalisha Mke mwengine? Ina maana wale uliowakimbia siyo Watoto ? Yani sasa tuwe kakini sana Wanawake wenzangu maana hata mimi yashanikuta Thanks God mwisho wa siku nimeona ni Ujinga na Mwanaume mwenyewe keshafanywa kuwa litaira'' Sasa zuzu utampeleka wapi ''Wamaume vitombi tombi tulieni na mlio nao ''jueni mmetoka nao mbali na kama mnaachana hakikisheni mmeachana kiukweli '' wacha niache kusema mengi' Vicky yani nakupa Pole sana kwa sababu mpaka sasa hivi sijapata Muda wa kuweza kuongea na wewe au hata wa watu wakaribu na wewe kunipa habari kamili za kutoka kwako wewe mwenyewe'' Nakuombea Ujiondoe hapo Hospitali haraka urudi Home kwa Wanao wapenzi na kuendelea na Maisha yako na Kazi yako ya Ubunge'' Tutetee sie wanawake'' TUSITAPELIWE ''WEWE YASHAKUKUTA SASA'' YOU KNOW UCHUNGU WAKE NA HASARA ZAKE'' BE BLESS WANAWAKE WENZANGU''
CHARLES mwenye T-shirt ya Blue akiwa kazini TIGO Boss wa customer service ' Sasa Wanawake wenzangu mlioponjeka kwa Uzuri wake kama nilivyowasomeni mitandaoni mbali mbali  ''Mmeona hasara aliyowatia Wanawake wenzenu ? Nadhani wengi mmeona na kusikia'' Jueni huyu mwanaume ni tapeli mkubwa na I hope atafungwa kwa utapeli wake wa mapenzi'' Mwanamme Mtu mzima hivi jamani na siyo hata Kijana wa miaka 20 years ? Mbuta Nanga'' hata angekuwa kijana mdogo akishajua kula ndizi bila maganda yake huyu siyo Mtoto''kumbuka mtoto ukimpa ndizi atalitia mdomoni hivyo hivyo bila kulimenya''huyo ndiyo Mtoto''
Kilichobakia ni tujifunzeni kutoka hapa sasa hivi '' Mwanaume yoyote asikudanganye hana Mke mara wameachana Bila ya wewe kufanya mauchunguzi Vizuri na Usimfiche kwa Jamii au kwa marafiki zako 'HASA HUKO FACEBOOK MUWEKENI URAFIKI NAE'' MSIWAFICHE'' Kumbukeni wengi husema hawapendi PICHA''hao ni matapeli'' 'hata hivyo siku izi wapo wanaume wasiojali kukuwepo na wewe popote pale na marafiki zako au hata mitandaoni kwani yategemea na wake zao walionao wengine pengine hata ni vipofu hawaoni na mitandaoni hawaingii sasa hapo mwanaume huyu atakudanganya hadi ukubaliane nae na hata ndoa kwenda kuzifunga'' siku ya ndoa ndipo pale mmesimama Padri au anae wafungieni ndoa hizo kuanza kuuliza ikiwa kuna yoyote anae ipinga ndoa hii asimame ''watu mara mnaona Mama katokea na watoto hapo hapo hiyo ndoa hata kama inafungiwa chooni '' akishajitokeza mpinzani ndoa hiyo haitofungwa'' na watu mtabakia mkirudi Home bila ndoa lakini mkaendelea na shughuli zenu za misosi na mipombe kulewa kwa mahasira hadi kujitosa baharini au hata chooni ukiweza kujitumbukiza humo ''why not''maana ni AIBUUU'' RUWA MANGI''Alafu mke wa halali alifanya vizuri hakusubiria mpaka siku ya kusema WE DO'' akajitokeza na wanae na cheti halali cha ndoa yake ya kwanza na ya KANISANI '' Yani kweli amshukuru hata kwa hapo '' na inawezekana aliambiwa na hakukubaliana na Mke halali huyo'mpaka kilipowatokea puani' Mimi naishia hapa maana naona naweza kuandika Kitabu kizima'' Nawapenda sana WANAWAKE WENZANGU ''SIPENDI KUONA MKIUMIZWA NA HAWA WANAUME VITOMBI TOMBI NA MATAPELI WA MAPENZI'' NISHAUMIA SANA HATA MIE NINA YANGU LAKINI HAWATANIONA TENA ''YANI KWA WATANZANIA NIMEWAFULIA BAHARINI ''MIMI KWAO HAWATANIONA TENA'' NA MKINISIKIA NA MWANAUME MTANZANIA NATOKA NAE KIMAPENZI YA UKWELI ETI NAOLEWA AU NAWAZALIA ''BASI MJUE SIYO BURE 'IPO NAMNA'' KAMA NIMETAMANI SANA HIYO MIMBOOO-GAAAA YA HOME'' AISEE ISEWE TABU ''NI MAELEWANO TU''LAKINI SIYO KUPEANA SHIDA'' IM OUT FROM YOU MY HOME BOYS'' POLENIIII''' MBUTA NANGA''
Follow :FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

3 comments:

  1. mbuta nanga'majangaaaa'Flora Lyimo yani wewe ni hatareeee'nakushauri sasa uanzishe gazeti lako uuze upate hela maana habari moto moto unaziweza 'mistari imetulia na inamaujumbe haswaa'' pole vicky '

    ReplyDelete
  2. kweli tutajifunza mama mbuta nanga''

    ReplyDelete
  3. Flora we kiboko

    ReplyDelete