KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 23 July 2014

WHATS ON ? SHAMIM TODAY BAADA YA KUJIFUNGUA MWANAE WA KIUME' KAPENDEZA HATARI 'ILA YEYE ASEMA BADO NI KIBONGE NA ANAPENDA KUWA KIBONGE NA KUENDELEA KUMNYONYESHA MWANAE KWA MIEZI 6 'SHE ALSO NEED YOUR HELP'' INGIA HAPA BLOGUNI KUMTIRIRIKIA!!

HONGERA SANA SHAMIM 'WAS WAITING FOR YOUR PHOTO'S AFTER KUJIFUNGUA'' AND HERE YOU COME!! SASA UMEPENDEZA SANA KAMA ULIVYO 'MWANAMKE NYAMA'' WALA USIPUNGUE MWAYA'' BORA UWE NA AFYA NA TO LOOK SEXY AT HOME NA KUSIKILIZANA NA MME'' CHA MUHIM NI KUPENDANA NA MMEO NA KUFANYA YENU HASA KUSIKILIZANA NA MATOKEO YAKE NDIYO HAYA''WATOTO WENYE AFYA NJEMA NA MAMA MWENYE AFYA NJEMA' POLE SIWEZI KUKUSHAURI KUHUSU ULE NINI UKINYONYESHA'ILA KULE UCHAGGANI KWETU ' NI MITORI YA MOTO '',KIMAMTINE,KITAWA


NA HASA UJI WA ULEZI 'YANI VYAKULA HIVYO VIPO VINGI UCHAGGANI NIKISEMA KUANDIKA HAPA NAWEZA KUANDIKA KITABU PIA USISAHAU  KISUSIO AISEE MAZIWA LAZIMA YATEREMKE YENYEWE TENA KUJILOWEA KAMA MTOTO HANYONYI''NI SHIDA'' MBUTA NANGA"

_U9A8927
_U9A8928_U9A8933_U9A8934
ANGALIZO ::
nishaanza pata ujumbe kuwa shamim usipungue saaana, lol jamani yaani bado sijapungua mi ni kibonge sema thats EVE’S TOUCH ‘ fitting  ndo siri ya urembo hapa ‘ anabana nyama zoote, STILL ME BONGE NA NiNAKULA KAMA NDO NIMETOKA LEBA  NA Nnanyonyesha  na ntanyoshesha sana so relaxin wapenzi i love my son more than i love my self.
though I eat very health , na yeyote mwenye tips za chakula kwa mama  anyonyeshae zenye afya na mtoto apate maziwa  bila kunenepeana honyo  sababu nataka nimnyonyeshe mwanangu bila kumpa maziwa ya kopo kwa miezi 6 kama wanavyopendeza madaktari
mwenye tips PLZ share Kizuri kula na Wenzio K.K.W au tuma
shamyomy@yahoo.com

2 comments:

  1. Hongera mwaya. Mungu awape afya njema wewe pamoja na mwanao.

    ReplyDelete
  2. kiukweli kapendeza saaana safi sana Shamim raha ya ndoa tunaiona

    ReplyDelete