KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 12 October 2014

WHATS ON ? BREAKING NEWS....HABARI ZILIZOTUDONDOKEA HAPA FLORA LYIMO BLOG NI KWAMBA JESTINA GEORGE BLOGGER WA UK 'AMEPIGIWA HUKO BONGO NA WATU WANAOSEMEKANA NI TEAM KAJALA ''


FLORA LYIMO (pichani kushoto) NI WAKATI ALIPO MPIGA JESTINA KWA UMBEA ,UCHONGANISHI NA UPUMBAVU WAKE'' NA kulia ni FLORA LYIMO LEO JANA NA MILELE'' NAVYOIPENDA NCHI YANGU TANZANIA 'NILISHAKULA KIAPO DAIMA KUIPENDA NCHI YANGU NA KUITANGAZA POPOTE PALE NITAKAPO TUA AU KUPITA ''
Ndugu zangu watanzania wenzangu ,naomba mnielewe hasa kwa wale mlio nitukana kwangu mimi kuweka habari ya Jestina jana Usiku at my Istagram '' Mimi sikuweka kwasababu ya UCHONGANISHI WALA SIKUWEKA KWASABABU NIMEFURAHIA YEYE KUPIGWA'' LA 'LA 'LAAAA'' ELEWENI MIMI FLORA LYIMO 'SIPENDI KABISA HAYA MAMBO YA TEAM VIJIKO NA TEAM UMA'' NA NILISHA WAKATAZENI SIKU NYINGI NA WALA SIYO JANA WALA LEO''
FLORA LYIMO ''SIJAPENDEZWA NA HIZO HABARI ZA JESTINA KUPIGWA NA TEAM WEMA SEPETU KWA AJILI YA KUMREKODI ''KAJALA''WALA INGEKUWA KAPIGWA NA TEAM YOYOTE''
Mpigeni au mpige mtu kwa mambo yenu peke yenu ,kama vile Mimi nilivyo Mpiga tena nilimpigia kwenye LI -RED CARPET LAKE ALILOKUWA ANAJIRINGISHIA KWAMBA YEYE NDIO YEYE NA HASHIKIKI'' JESTINA ALIKUWA SIKU HIYO ALININYIMA RAHA NA ALIKUWA AMENISABABISHIA MIMI SIKU HII KAMA MNAVYO NIONA HAPO PICHANI KUSHOTO ''NIRUDI HOME NA KUJISAGIA CHUPA NIJIMEGEE NIAGE DUNIA NIMUACHIE MARAFIKI ZANGU NA MY BEST FRIEND ALIE NISHONGANISHA NAO ,NAE'' LAKINI NIKASEMA ..MIMI NI FLORA LYIMO NIMEZALIWA MOSHI MARANGU KILEMA KILIMANJARO ''NIMEKUJA ULAYA SIJALETWA NA MBONGO WALA JESTINA 'IWEJE LEO HII ANINYIME RAHA NA KUNISABABISHA NIJIUWE''NA KUNICHONGANISHA NA MARAFIKI ZANGU  ?? TULIKUTANA MJINI NA TUTAACHIANA MJINI NA NITAKUCHANIA CHANIA MJINI ''ONA SASA NA MAWIVI YAKE NILIVYOMNYOFOA'' YANI MUNGU NI MWEMA SIKUMVUNJA AU KUMNG'OA MENO NA HILO LIMCHUMA'' NA SITORUDIA TENA '' RUWA MANGI '' WACHENI KUTILIA WENZENU FITINA NA KUWAZIBIA RIZIKI ZAO '' YANI NILIMKUTA ANA NISEMA LIVE'' NDIPO USIKU HUO HUO NA PALE PALE ALIPOKUWA ANANISEMEA NIKAAMUA KUMRARUA RARUA YANI  NDIPO NIKAMFUATA NA KUMUULIZA KULIKONI ? KWANINI UNANICHONGANISHA NA MARAFIKI ZANGU NA WATANZANIA WENZANGU NA MY BEST FRIEND? JIBU LAKE LILIKUWA ..TOKA TOKA HAPA SITAKI KUKUONA SIJUI NINI NA NINI ... NDIPO NIKAJIKUTA NAMCHANA CHANA KAMA SIMBA AKIJILIA KITOWEO CHAKE MSITUNI '' Yani kiufupi ''JESTINA jikumbushe Police hapa UK walikuambia nini ? UNAKUMBUKA WALIKUAMBIA UNAFIKIRI HAPA NI TANZANIA ? Sasa Ndugu yangu Mtanzania mwenzangu ''Mimi nisha apa sitompiga Mtu tena na wewe I HOPE UMEJIFUNZA KWA HILI'' USIINGILIE UGOMVI WA WATU NA PIA WACHANA NA HIZO TEAM ZA UPUMBAVU ''WASIJE WAKAKUULIA HUKO BONGO UKIJISAHAU KWAMBA BADO UPO UK '' Jua hata hapa UK '' Hasira ni hasara na hata MTU KULIKO ACHONGANISHWE NA KUTUKANWA BURE BURE BORA AKASOTE JELA NA WEWE UWE MLANGO WA USOFUNGULIWA DAIMA''
Mimi nimesema haya kwa sababu nishapitia na nishaona hasara yake na vile vile kwasababu ya baadhi ya haters ''KUNITUKANA NA KUSEMA NIMEFURAHIA WEWE KUPIGWA'' SIJAFURAHIA KWA SABABU HUJAPIGWA KWA KOSA LAKO NA MTU ''UMEPIGWA KWA KOSA LA HAO WANAOJIFANYA WANAJUA KUPENDA WENINE KULIKO HATA MAMA ZAO WALIO WAZAA'' IS NOT FRESH KABISA''
TANZANIA SERIKALI YETU NA VIONOZI WETU '' NAOMBA MSIMAMIE HILI GONJWA LA TEAM ''VIJIKO NA TEAM UMA''
Yani ningeomba kuanzia sasa hivi ''Mtu yoyote anae patikana akitukana mwenzakekuhusu team hizo FULANI ''NA ACHUKULIWE SHERIA ''AFUNGWE NA BILA FAINI '' KABLA YA MTU KUULIWA KWA SABABU YA HIZO TEAM''
POLISI TANZANIA HII NI KAZI RAHISI MNO KWENU''
Hata mimi mkitaka niwasaidie kuwakamata hao team niambieni Mimi nitawasaidia maana najua hizo kazi za kamata mwizi man'' Yani hamtashindwa kuwatia huko MABATINI '' Tunataka kuangamiza hizi team maana sasa zimekuwa kama EBOLA'' MUNU TUEPUSHIE ..MIMI NAISHIA HAPA ..MAANA NACHELEWA ZANGU KAZINI LEO SINA MFANYAKAZI '' KASEMA HAWEZI KUJA LEO NA HATA KANISANI IMEBIDI NIGEUZE  NA KWENDA DUKANI KWANGU MAANA HAPAWEZEKANI KUACHWA BILA MTU KABISAAA'' YANI NI SHIDA'' UTADHANI NI MTOTO NIMEJIFUNUA'' FLORA LYIMO TZUK ''NDIYO MWANANGU '' YES I HAVE TO BE THERE 24/7 '' HUWEZI KUAMINI KABISA'' ANYWAY'' NGACHOKA''
HII TUMETOA KUTOKA KULEE MTAA WA FULANI '' JUU YA KINA FULANI ''
Dada Mange dis is exkulusive nyuuuz.
Yule Betina wa UK alieeolewa mke wa 3 amekula kipondo cha maana juzi baada ya kugundulika kuwa
yeye ndo aliewa rekodi kina Kajala wakimsema Wema na kisha kumrushia Dougiemasta14 hiyo clip.
Sasa unaambiwa watoto wa uswazi walikuwa wanamfatilia sana toka aje bongo. huku na kule wakamvizia akiwa bila mama Diamond( Anajifanya Halima Kimwana na yeye kuwafwata fwata familia ya Diamond)
Mnafki mkubwa , si anajifanya ana blog ya kuweka nyuuz aweke na hii . 
Chezea watoto wa mbwa wewe, Kajala shoga zake ni masela wa Kinondoni aalafu analeta umaku.
Ilimhusu nini kuwarekodi kina Kajala? kama sio uchonganishi? Kama kujipendekeza kwa Wema ndo mpaka amrekodi kajala?
Ndo maana hanenepi kwa unafiki.
Na bado mpaka tukuvunje kiuno mwaka huu. Kila ukija bongo utakuwa unapokea kipondo.

No comments:

Post a Comment