KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 15 July 2015

WHATS NOW ? BREAKING NEWS'' KUMAKUMAMBI APIGWA BONGO BAADA YAKWENDA TANZANIA KIMNYA KIMNYWA KUMBE WATU WAPO MACHO WACHA UZIWA CD'' MBUTA NANGA'' LIONENI LINAVYO TAJISEMEA MAUWONGO YALO HAPA''

Hapo ndo nilikuwa nimemaliza kutoa maelezo at Oysterbay
Uwiiiii ,naanzaje kwa mfano bila kuharibu kesi. Ndo nimetoka polisi kufungua kesi. Ntaelezea kijuu juu sanasababu kesi iko polisi. Inshort, nilikuwa Dar Free Market na watu wangu , Shamim akawa anapita pita hapo na gari yake anatucheki, then tukamwona mume wake nae kaja yuko kwenye gari ingine, bibie dezaun kama akawa anamuonyesha mumewe yani anamuelekeza Mange ndo yupi. Mie nkaendelea na shughuli zangu kama siwaoni mara mkaka kasimama mbele yangu anasema anasema anaiwa Abdul Nsembo Mume wa Shamim Mwasha.Anasema kwanini tunamuita Mr. Sembe ugomvi wa mke wake yeye kaingiaje? Nkamuliza kwanini kahisi yeye ndo Mr. Sembe kwani anauza sembe? Au kaona wapi nimemtaja kwa jina lake na kusema anauza sembe? Akasema yeye hataki tu kutajwa. niishie hapo maana sasa ntaharibu kesi in short alinitolea na bastola eti ataniua kama akitajwa ever again. Acha watu wakimbie kuona bastola, hapo mkewe Shamim kakaa kwenye gari anaangalia nahisi alikuwa anatamani mumewe anipige risasi kweli. Mie nikasimama nikamwambia sisogei na msamaha siombiiii. Jamani sijaelezea hata robo ya story…. Yani inshort jamaa anahisi hii nchi hakuna sheria na anasema kabisa hakuna sheria. Badi nimeenda Oysterbay kumbe alikuwa anatufata nyuma, eti kasimama nje ya Oysterbay polisi anasema hiki kituo changu hakuna wa kunifanya kitu. … Uwiiiii, tena akasema ntamuita na Makamba aje si alimsema Makamba. Pls msielewe vibaya sidhani kama January anajuana na huyu criminal wala kusupport biashara yake ila huyu jamaa anahisi January anaweza kumsaidia eti kisa Shamim anajuana na dada wa January. Gosh! Anyways watu wangu, tutapambana hawa watu tutawatoa kitaaaaa wasituuulie watoto wetu @8020fashions mwambie mumeo tutaonana kwenye sheria maana kasema nchi haina sheria mpaka anatoa bastohadharani sasa nataka kuona kwa macho yangu kuwa nchi haina sheria. Na mwambie siogopiiiiiiiiiiiiii na hajaniogopeshaaaa. Mimi ni mpiganaji siwezi ogopeshwa na bastola. Kila binadamu ataonja mauti. So ntakufa tu siku yangu ilifika. staki kuacha wanangu wadogo ila mbona mayatima wanaishi na wao wataishi tu na watakuwa proud walikuwa na mama fearless, mama yao stood for something. Na nitaongeaaaaa
Jamani nikiuwawa au nikipotea muulizeni Shamim Mwasha na mumewe Abdul Nsembo , watakuwa wanajua kilichonipata lazma……..
Mkiona nipo kimya kuhusu hii kesi msijijiulize maana kesi ikishafika mahakamani sitoweza tena kuongelea humu…
Na naomba mjue kuwa niko very determined kujua kama kweli nchi hii haina sheria na kama kweli Abdul Nsembo nchi hii kaiweka mkononi… Ntakuja kuwapeni feedback kama kweli kaishika nchi au vipi…..
MBUTA NANGA'' NASEMAJE'' HAHAHHAHAAA' KICHEKO CHAKO HICHOO'' Ila jamani msimpige limepigwa alafu likakimbilia polisi sasa laanza kuandika uwongo '' hahahhaa'' UTAJUTA KUTUCHAFULIA NCHI YETU KWA KUSEMA ALBINO WANAULIWA KWA SABABU YA MARAIS NA WABUNGE KUWA NA POSH WACHAWI KUNUNUA VIUNGO VYAO..Sasa Ushaidi tunao'' na isitoshe hao wauza sembe tuonyeshe maushaidi ..na hiyo bastola pia tuonyeshe ushaidi '' bado KIFUNGO NDIYO MIMI NATAKA UPEWE WEWE KUMAKUMAMBI'' NYOOKOOOO''

2 comments:

  1. saizi yuko rumande maskiniiii....

    ReplyDelete
  2. HUYU DADA NI TATIZO KWA KILA MTU
    NA KAMA ANA RAFIKI BASI RAFIKI ZAKE PIA NI MATATIZO.

    ReplyDelete