KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 20 August 2015

WHATS NOW ? ONA KILICHO MFANYA SUPER STAR FLAVIANA MATATA TO SAY I DO TO DEO MASAWE'' ASIKUDANGANYE MTU'' KAMA WEWE NI MPENDA PESA NA MAISHA YA MATUNZO YA MAPENZI YA UKWELI'' WAHI KWA WACHAGA FASTA FASTA''MBUTA NANGA''

Hapa ndiyo washa zifunga pingu zao za Maisha'' The super Star Flaviana Matata now Muke ya Deo Masawe( Mchaga) JAMANI MWALIONA HILO KISI? BUSU LA NGUVU YANI LAKUTAFUNA Lips zako hadi Ukiamka Asubuhi zimefura utazani umeziongezea maana zitakuwa kubwa hataree'' Sasa basi '' Wenyewe mshawaona hapo '' Tizama Busu la Kijana kutoka Uchagani '' yani I can say HE IS THE WINNER kati ya hawa hapa'' kwenye 
''MBUTA NANGA MAGAZINE''
WACHAGA KAMA MNAVYOJUA' Yani Sisi siyo kwa mapesa tu ''bali kwa mapenzi ni full matunzo 'yani SIYO MWANAUME SIYO MWANAMKE WA KICHAGA'' WOTE WANAWAKE NA WANAUME'' Siri ya Wachaga ni wanapenda sana PESA NA KISS'' Ikiwa wewe ni mtu usopenda kutafunwa tafunwa lips haswa'' basi usiwaze kutafuta UCHUMBA UCHAGANI AU KUOWA KABISA UCHAGANI ''
WACHAGA SIRI YAO
aka YETU NDIYO HIYOO nisha waambieni now''''Yani  IKIWA WEWE SIYO MCHAGA '' BASI UKIWEZA KUWAPA MABUSU YA NGUVU NA PIA UWE MFANYA KAZI AU MSHAURI MZURI NA SIYO WA KUKAA NA KUSUBIRIA ULETEWE TU'' IPO SIKU  UTAKUJA KUSHANGAA UNASIKIA FULANI ANAOWA AU ANAOLEWA KESHO NA HUYU NI MME WAKO AU MCHUMBA WAKO NA HUKU HUNA HABAREEE'' SO BE IT'' JUST LIKE FLAVIANA NA WENGINE''
MAPENZI YA WACHAGA PESA NA MABUSU '' PESA NA KISS BAE...MBUTA NANGA''
Alafu WADADA WA MUJINI NA HATA VIJIJINI ''Ukitaka kujua Mwanamme ana mapenzi ya Ukweli na wewe atakubusu  mabusu ya ndani na siyo ya Nje ''yani anakubusu juu ya lips kidogo na kuacha fasta fasta'' yani ujue huyo AMEKUJA KUIBA'' YANI HUYU ANA MKE AU MCHUMBA WAKE '' SO ANAKUJA KUIBA FASTA FASTA'' Hhahahaa'' UNACHEKA NINI SASA ''SI NI UKWELI EEEE'' #NGACHOKA
 HILI BUSU LILIMPOZA NA KUSEMA I DO''MMEONA MABUSU EEEE''YANI YANACHEMKAA'' HAPO UKIAMKA ASUBUHI LIPS ZIMEUMUKA KAMA MANDAZI YALIYOTIWA AMIRA NYINGI''.BUT ''NI TAMUUU'' FURAHA YA MAPENZI NI MABUSU'
ALAFU ..NAOMBA KUULIZA 'HIVI KUNA MWANAUME ASIYE KUWA NA MWANAMKE HAPO ZAMANI ZA KABLA YAKO ? #NGACHOKA'' HAWA WOTE NASIKIA MALALAMISHI KWAMBA ''Waliiba Waume /Mabwana za WATU'' Na wengine wanasema huwaficha kabisa mpaka siku ya kufunga Ndoa'' Kama Alivyo fanya Flaviana ''na sikia kwa jirani zangu kwamba huyu Deo alimficha hadi siku ya ndoa'' eti kisa ? ni Mme wa Fyose'? and who is She jamani ? yani naham wamuweke Picha yake huyu muke Mwenza ya Flaviana Muke ya Deo '' but ''coming soon ''si mwajua majirani hawapitwi ''#MBUTANANGA''

  HILI BUSU LILIMPOZA NA KUSEMA I DO''MMEONA MABUSU EEEE''YANI YANACHEMKAA'' HAPO UKIAMKA ASUBUHI LIPS ZIMEUMUKA KAMA MANDAZI YALIYOTIWA AMIRA NYINGI''.BUT ''NI TAMUUU'' FURAHA YA MAPENZI NI MABUSU'

SIYO KWA KISI HILOOOOOOOOOOOOO''UWIIIII'' 
HILI BUSU LILIMPOZA NA KUSEMA I DO''MMEONA MABUSU EEEE''YANI YANACHEMKAA'' HAPO UKIAMKA ASUBUHI au Ukimaliza' Utakuta LIPS ZIMEUMUKA KAMA MANDAZI YALIYOTIWA AMIRA NYINGI''.BUT ''NI TAMUUU'' FURAHA YA MAPENZI NI MABUSU'
MY KAKA DEO '' CHAMECHA NDAO KANYI ''MPORA/Wifi  TUMEMKUBALI '' MAANA WENYEWE MSHAKUBALIANA KWA MABUSU MOTO MOTO '' MUNGU AWABARIKI MZIDI KUPEANA YALE YALOWAFANYA MKASEMA I DO '' #RUWA MANGI''

No comments:

Post a Comment