KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 9 October 2016

WHATS NOW? ALIYOSEMA KUHUSU WANAWAKE RAIS MTARAJIWA SIMBA WA DUNIA MTARAJIWA DONALD TRUMP ''ALL THE BEST TRUMP'



FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO.
Maoni yangu kuhusu SIMBA WA DUNIA RAIS WA DUNIA MTARAJIWA MH.DONALD TRUMP ,Pichani chini ' Yani kusema ukweli sijui kwanini wanamfufulia ya zamani aliyosema kama yeye kama Binadam na Wanaume wanavyo ongea wakiwa kwenye Mazungumzo yao au kwenye starehe zao.We all know that hasa WATANZANIA Wanaume wetu huongea haya na mengi mno kuhusu wanawake na hasa wale washawahi kulala nao kimapenzi,MIMI NAONA KWA KUWA HAJA MBAKA MWANAMKE YOYOTE WALA MTU YOYOTE WALA HAJAUWA.BASI HAYA YOTE NI MANENO YA WENYE CHUKI NA WIVU 'NA WAKOSAJI' 
Kwani we all know that ''WANAWAKE WENGI HUJIRUSHA KWENYE MASUPA STAA SUPER STARS NA WANAUME WENYE HELA NA KUFANYA MAUCHAFU YOTE ' KWA MAKUBALIANO YAO'
WE ALL KNOW THAT '' SO WHY NOW TUNAJIFANYA WASAMARIA WEMA ,MALAIKA AMBAO HATUJAWAHI KUSIKIA HAYA NA KUYAONA KWAMBA NI MABAYA KUSEMWA NA THE SIMBA KIBOKO YA DUNIA? LET HIM BE THE RAIS WA AMERICA KWANI DUNIA NA AMERIKA INAHITAJI STRONG MAN LIKE TRUMP ASIE OGOPA YEYETO ,WALA ASIE TISHIWA KWA YOYOTE ,TUSITOFAUTIANE KWA KABILA ,DINI ,MAUMBILI NA WALA HELA'' TUNAHITAJI KUISHI KAMA BINADAM NA SIYO WANYAMA'
I ALSO think And Know that wengi tumesikia na kuona  WHAT HAPPEN TO MTANZANIA MWENZETU SAIDI ALIE TOLEWA MACHO 'NA ALIKUWEPO NA WATU TENA NA MUUZA KUKU AMBAE ALIKUWA KANUNUA KUKU HAPO HAPO KABLA HATA HAJAONDOKA NDIPO AKAANZA KUVAAMIWA KWA KUPIGWA VISU NA WATU BADALA WAMSAIDIE HATA YULE ALIE MUUZIA KUKU WALIKAA KIMNYWA WAKIHOFIA MAISHA YAO WENYEWE KWAMBA KUNYAMAZA KIMNYWA HUYO MTOA WATU MACHO HATAKUJA KUWATOA MACHO NAWAO ...THATS BAD ,SO BAD' YANI KIMENITAAPISHA KABISA NA KUNICHOMOA KWENYE ASILIMIA 70% YA WATANZANIA WENZANGU 'BORA KUWA NA WANYAMA AU PEKE YAKO KULIKO KUKUWEPO NA WANAFIKI ''
I PRAY FOR YOU SAID KAKA ,NDUGU YANGU 'MUNGU AKUFANYIE MIUIZA UONE TENA'' Yani i dont think NITAKULA KUKU TENA''

''NA NYIE WATANZANIA WENZANGU'WACHENI UNAFIKI'
WATANZANIA WENGI NI WANAFIKI MNO 'YANI WANAFIKI WAKUOZA KABISA. CHAKUFANYA NI KUJIWEKA MBALI NAWAO KABISA'' YANI WACHEKEE KWA MBALI LAKINI USIWAWEKE KWENYE MAISHA YAKO KABISA NA KUFIKIRI WATAKUSAIDIA KWA LOLOTE ,JAPO HELA YES HAWANA Siyo uwongo 'hata Mimi sina Hela nazotaka kuwa nazo LAKINI I KNOW THAT'' HELA IS NORTHING NA SIWEZI KUONA KITU AU MWENZANGU ANAONEWA NAMIMI NINYAMAZE' AISEE BAHATI MBAYA SIKUKUWEPO' SO SAD'' JAMANI HAWANA HELA ILA WANA ISHI HAWAJAFA LAKINI HAWAWEZI HATA KUTUMIA ULE USHIRIKIANO UPENDO BILA SABABU BILA MALIPO BILA HASARA KUMSAIDIA MWENZAO?''YANI WASAHAU KABISA''SI UTANI .HAVE YOUR SAY '' ANGEKUWA NI NDUGU YAKO HUYO KAKA SAIDI ?
JAMANI TUBADILIKENI TUWE WAKWELI ,ACHENI UNAFIKI WATANZANIA WENZANGU ''HASA NYIE MNAOISHI HAPA UK '' I KNOW WENGI WENU NIWANAFIKI NA WACHACHE WENU MNAFUGA WEZI,NA NDIYO MANA NIMEAMUA KUJICHOMOA FASTA FASTA ,YANI  MNAFUGA WEZI MNAJUA KWAMBA HAO RAFIKI ZENU NI WEZI NA MNAALIKA WATU KWENYE SHUHULI ZENU ILI WAJE KUIBIWA''SASA HAMNIONI NISHAWAJUA KWANZA KAMATENI HAO WEZI RAFIKI ZENU SIJUI NDUGU ZENU? ''WEZI WATUPU NA WANAFIKI WATUPU.NGACHOKA''
Trump (pictured giving a statement about the 2005 video) spotted actress Arianne Zucker and said: 'I've got to use some Tic Tacs, just in case I start kissing her'
Trump (pictured giving a statement about the 2005 video) spotted actress Arianne Zucker and said: 'I've got to use some Tic Tacs, just in case I start kissing her'
Trump then talked about kissing women without waiting when he was attracting to them.
'And when you're a star, they let you do it,' he added. 'You can do anything.' 
'Grab them by the p---y. You can do anything.' 
Melania Trump herself condemned Trump's comments on Saturday afternoon.
She and the Republican nominee had been married for several months when the video was recorded.
'The words my husband used are unacceptable and offensive to me. This does not represent the man that I know,' she said in a statement.
The GOP nominee (pictured on Saturday greeting supporters outside of Trump Tower in Manhattan) also recalled trying - and failing - to seduce a married woman
The GOP nominee (pictured on Saturday greeting supporters outside of Trump Tower in Manhattan) also recalled trying - and failing - to seduce a married woman

KWA HABARI ZAIDI ''TEMBELEA DAILY MAIL. 

TUMECHOTA NA KUMIMINI KUTOKA DM

No comments:

Post a Comment