KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 23 August 2015

WHATS NOW? WATU NA WATANZANIA WENZANGU WASIO HESABIKA WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ZA CHAMA CHA MAISHA CHA CCM LEO'

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO'
NDUGU ZANGU WATANZANIA NAJUA NINGEKUWA HUKO TANZANIA SASA HIVI HATA MIMI NINGE KUWA MMOJA WENU KWA MATUKIO ZAIDI'' SO NASEMA ASANTENI SANA KWA MATUKIO HAYA 'WAPIGA PICHA NA WAPEPERUSHAJI MITANDAONI. HASA MATUKIO- MICHUZI PAMOJA SANA'UMOJA WETU NA KUJITANGAZA KWETU KWA UPENDO NA UMOJA .TUTAFIKA.CCM OYEEEEEEEEEEEEE'
IM SO HAPPY AND SO PROUD OF MY BABA MAGUFULI .YANI HE IS MY BABA NA CCM NI MCHUMBA WANGU MME MTARAJIWA .ARUSI YETU SOON NA WOTE MNAKARIBISHWA'' SI MWAJUA CCM HATUNA UBAGUZI NA WALA SIYO WACHOYO EEE'' RUWA AIKA MBEE'' ASANTE MUNGU''
#NGACHOKA  #HAPANIKAZITU


 Wiliam ngereja ajitokeza katika kumunga mkono Magufuli katika ufunguzi wa Kampeni leo jijini Dar es Salaam.
Vijana wakiwa wamebebana ili waweze kuona mbele katika ufunguzi wa kampeni za chama cha mapinduzi leo katika viwanja vya Jangwani  jijini Dar es Salaam.

 Furaha imetawala kwenye mioyo ya wanaCCM kama inavyoonekana kwenye taswira yetu hapo katika ufunguzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi CCM kwenye viwanja vya jangwani leo jijini Dar es Salaam.
 Mzee akiwa amevaa Picha ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
 Vijana wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali.

Wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo. Picha na Avila Kakingo na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.
KARIBU KUNIFUATA INSTAGRAM >MBUTANANGABLOG.

No comments:

Post a Comment