KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday, 9 January 2011

CHUO CHA MAFUNZO YA UCHAGA HALISI

NAFASI ZA MASOMO
*Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiboroloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote

Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa ajili ya kozi zifuatazo:*
*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*
*2.** **Ujambazi miezi sita;*
*3.** **Kuchoma mtu kisu wiki moja;*
*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa miezi miwili;*
*5. Kungarisha viatu wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*
*6.** **Kuuza duka miezi mitatu;*
*7.** **Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani miezi minne;*
*8.** **Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa miaka miwili;*
*9.** **Kufuga ng’ombe mwaka mmoja;*
*10.** **Kuendesha pick-up miezi minne;*
*11.** **Kugombea udiwani miaka miwili;*
*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji wiki sita;*
*13.** **Kuchakachua mafuta mwaka mmoja;*
*14.** **Kupata kazi TRA miezi mitatu;*
*15.** **Kukwepa kodi wiki nane; na
*16.** **jinsi ya kuishi eneo la KIMARA Dar es salaam.*
*17.** **Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni bure;*
Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18
mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya krismasi ya mwaka huu

No comments:

Post a Comment