"MISS FB -Flora Bahati Lyimo.hizi picha zimepigiwa hapa UK -UBALOZINI "
KWA JINA MISS FB -FLORA BAHATI LYIMO MTANZANIA HALISI 100%NIMEZALIWA MOSHI KILEMA TANZANIA.
NAAMINI MTANZANIA HALISI NI YULE ANAYEIPENDA NCHI YAKE ,KUJIVUNIA NCHI YAKE , ANAWAPENDA WATU WAKE,ANAPENDA UTAMADUNI WAKE ,ANAPENDA MAENDELEO.ANAPENDA UMOJA, ANAPENDA AMANI .NA PAMOJA NA YOTEE .ANAYE PENDA KUFANYA KAZI KWA AKILI ZAKE ,MIKONO YAKE AU KWA NJIA YOYOTE ILE BADALA YA KULALA"
"MIMI LEO NAJIVUNIA YAFUATAYO NDANI YA 50 YRS YA UHURUWETU WATANZANIA"
Na najivunia hasa Nchi yangu TANZANIA hata mpaka sasa hivi nina uhuru wa kupewa Passport ya hapa UK lakini nimekataa ,kwa sababu MIMI NIMTANZANIA HALISI NA NAPENDA MTU ANAPONIULIZA KAMA MIMI NIMTANZANIA; JE NINAKITAMBULISHO ? na ndipo hapo nimuonyeshe PASSPORT YANGU YA TANZANIA. mimi sielewe ni kwanini watu kuzibadilisha ,si ni bora ushapewa stay yako .na hiyo stay ipo ndani ya Paspt yako ya Tanzania. chakubadili hapo .mimi ningewaomba WATANZANIA WOTE WASIKATAE UTANZANIA WAO NA KUJIDANGANYA KWA PASPT ZA NCHI ZA WENGINE..NIKAMA KUFIKA TANZANIA OFISI YA RAIS NA KUKUTA BENDERA ZOTE PALE NI ZA MATAIFA MBALI MBALI NA HAMNA HATA MOJA YA TANZANIA.SO JIVUNIE NCHI YAKO WACHANA NA ZA WATU" HAPA KWAO TWATAFUTA PESA ..NA TUFIKIRIE KUJENGA KWETU" KUMBUKENI WAKIAMUA KUTUTIMUA HAPA ..HUTARUDI KWENU NA NYUMBA ULOJENGA HAPA AU ULONUNUA HAPA.HATA PESA MSIWEKE BENK ZA ZIADA.WEKA BENK YA TANZANIA.HIVYO NDIVYO NAVYOFANYA.MAANA NAIPENDA TANZANIA HADI KUFA"NA NAJIVUNIA KAZI ZA MIKONO YANGU PIA.MIMI KWA SASA HIVI NI KAMA MPIGA PICHA ,MTANGAZA HABARI YOYOTE "POPOTE BORA INIFIKIE AU NIIONE " NA KAMA ANAVYOZIONA KAZI ZA MIKONO YANGU ,KNIT & CROCHET WEAR FOR YOU AND YOUR HOME" NAWEZA KUBUNI NA KUTENGENEZA VITU VINGI SANA.SEMA MUDA NDO SINA WAKUTOSHO " AND HERE IS VITU VYANGU VITATU THAT I LOVE DOING (1 )KNIT & CROCHET ,(2)PHOTOGRAPHER AND (3)DANCE"
*MABADILIKO*
MIMI kwa sasa hivi sipo huko nyumbani lakini kila siku naongea na ndugu zangu na pia naongea na WATANZANIA wengi walokuwepo huko na kuna mambo mengi sana ambayo yanatakiwa kufanyiwa marekebisho .kama vile UMEME, MASHULE YA BURE , HAHOSPITALI YA BURE NA MASAFI YENYE KUTOA HUDUMA KAMA ZA MAHOSPITALI YA KULIPIA.
Alafu lililonigusa sana ni juzi WINNIE KALINGA kifo chake huyu dada kilinisikitisha sana na vile vile watu wengi mno, vile alikufa baada ya kumzaa mwanae.Hakijajulikana VIZURI kwa pale tunahitaji kuona NOTE yake tangu aingie hapo hospital na mpaka alipokufa. kwa kweli mimi nimeamua na nitahakikisha nimefanya hivyo kwa kuanzisha harambee kwa wote HASA KINA MAMA/DADA. tushirikiane ili tuweze kujenga WOMAN CLINC'S .mimi nitaanza na £100.00. huu ndo uwezo wangu kwa sasa hivi pamoja na MY TIME" KWA MAELEZO ZAIDI nitawajulisha baada yakupata vyote ninavyovihitaji. NINGEPENDELEA MWENYEZI MUNGU AKITUJALIA TENA MIAKA 50 MINGINE KAMA HII .ANIKUTE NIMEWEZA KUWASAIDIA KINA MAMA /DADA KWA MAMBO MENGI SANA.HASA WA HUKO NYUMBANI .NIKIANZIA NA DAR ER SALAM . why ? kwasababu huko ndo DADA HUYU WINNIE KALINGA ALIYENISABABISHA MPAKA NIKAAMUA KUFANYA HIVI.KIFO CHAKE KILIKO FANYIKIA NA KUZIKWA. THEN MOSHI .KWASABABU HUKO NDO NIMETOKA.NIMEKULIA NA NITAKAPOKUFA KAMA SIJAOLEWA YES.NINGEPENDELEA KUZIKWA HUKO. THEN TUKIFUATIA MIKOA YOTEE. THAT IS MY WORK RIGHT NOW AND THAT IS WHAT I WANT FOR MY XMAS 2011 AND ALL XMAS'S.
GOD BLESS ME AND GOD BLESS TANZANIA AND THE WORLD .
AMEN
RUWA LUTARAME MBEE!!
MBUTA NANGA!HII BLOG-MAGAZINE INASHUGHULIKA ZAIDI NA YAFUATAYO '' WALE WACHAFUAJI WA SHUGHULINI KAMA VILE HARUSINI WASOFUATA ZILE DRESS CODE' RED CARPET AND ALL OTHER EVENTS 'ALSO YOUR OLD AND NEW PHOTO'S ALL KIND OF NEWS AROUND THE WORLD & FLORA LYIMO TZUK DESIGNS &TRADES'MBUTA NANGA LONDON KARIBUNI AT MY SHOPS CALL /WHATSAP (+ 44)07787471024:EMAIL:flo1974@btinternet.com FOLLOW INSTAGRAM> mbutanangablog or MBUTANANGASTYLE
KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!
FLORA LYIMO TZUK
FLORA LYIMO TZUK
KWA URAHISI ZAIDI PATA KILA KITU AMBACHO KIMEPOSTIWA TANGU KUANZISHWA KWA BLOG HII
- April 2017 (1)
- March 2017 (2)
- February 2017 (2)
- January 2017 (15)
- December 2016 (8)
- October 2016 (2)
- September 2016 (9)
- May 2016 (2)
- April 2016 (2)
- March 2016 (1)
- February 2016 (4)
- January 2016 (7)
- December 2015 (10)
- November 2015 (1)
- October 2015 (1)
- September 2015 (2)
- August 2015 (13)
- July 2015 (10)
- June 2015 (12)
- May 2015 (14)
- April 2015 (3)
- March 2015 (11)
- February 2015 (33)
- January 2015 (30)
- December 2014 (36)
- November 2014 (34)
- October 2014 (29)
- September 2014 (12)
- August 2014 (56)
- July 2014 (49)
- June 2014 (76)
- May 2014 (81)
- April 2014 (73)
- March 2014 (48)
- February 2014 (39)
- January 2014 (35)
- December 2013 (81)
- November 2013 (86)
- October 2013 (112)
- September 2013 (91)
- August 2013 (119)
- July 2013 (112)
- June 2013 (124)
- May 2013 (91)
- April 2013 (119)
- March 2013 (128)
- February 2013 (119)
- January 2013 (71)
- December 2012 (1)
- November 2012 (53)
- October 2012 (76)
- September 2012 (120)
- August 2012 (58)
- July 2012 (74)
- June 2012 (109)
- May 2012 (127)
- April 2012 (140)
- March 2012 (112)
- February 2012 (214)
- January 2012 (98)
- December 2011 (168)
- November 2011 (108)
- October 2011 (107)
- September 2011 (127)
- August 2011 (225)
- July 2011 (270)
- June 2011 (218)
- May 2011 (226)
- April 2011 (208)
- March 2011 (188)
- February 2011 (94)
- January 2011 (114)
FLORA LYIMO BLOG
FLORA
FLORA NA RAIS JK
FLORA NA MH PINDA
SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024
Monday, 5 December 2011
* YOU BEEN SNAP* NDUGU ZANGU WATANZANIA NINGEPENDA KUWAKUMBUSHENI KWAMBA HII WIKI NI WIKI YA WATANZANIA .KWA KUJIANDAA KUSHEREKEA MIAKA 50 YA KUJINYAKULIA UHURU WETU " JE UNAJIVUNIA NINI NDANI YA MIAKA HII 50 ? NA UNGEPENDA KUONA MABADILIKO GANI ? WACHA COMENTS /MAONI YAKO HAPA .AU tuma email.flo1974@btinternet.com HAPPY UHURU DAY NYOTE.MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VITU VYOTE VILIVYO NDANI AU NJE YA TANZANIA .AMEN" AIKA RUWA MANGI"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment