KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday, 7 December 2011

* YOU BEEN SNAP* YAWAKUMBUSHENI YALE MACHACHE NA YA HUHIM YALOSEMWA NA MHE. DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE.31-12-2010" NA HIV VITU VINA MAANA ZAKE NA SABABU ZAKE MUHIM.GOD BLESS TANZANIA AND THE WORLD AMEN. LOVE MY TANZANIA !!

 HIVI VYOTE VINA MAANA NA SABABU ZAKE MAALUM .GOD BLESS TANZANIA NA VITU VYOTE VILIVYOPO NDANI NA NJE YA TANZANIA .AMEN" RUWA MANGI"



*MKILETEWA HAPA NA MISS FB *Huku nikiwatakieni MAANDALIZI MEMA YA 50YRS YA UHURU WETU WATANZANIA"

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
katika salamu zake za mwaka mpya wa 2011 kwa
Watanzania tarehe 31 Desemba, 2010 kati ya masuala mbalimbali
aliyozungumzia ni pamoja na kuliarifu Taifa kuhusu Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Aidha, Mhe. Rais aliiagiza Serikali kuhakikisha kuwa maadhimisho hayo yanafanyika kwa uzito
unaostahili na kuainisha mambo manne ya msingi yafuatayo:

(i.) Kuutangaza mwaka 2011 kuwa ni mwaka wa maadhimisho ya

miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambapo kutafanyika

sherehe kubwa na ya aina yake nchi nzima na kilele chake

kuwa tarehe 9 Desemba, 2011,

(ii.) Kila Wizara, Idara na Taasisi za Serikali na Sekta binafsi ifanye

tathmini ya kina ya mafanikio yake na kuandika katika kitabu ili

kuhifadhi kumbukumbu hizo muhimu kwetu na vizazi vijavyo,

(iii) Yafanyike maonesho maalum katika Uwanja wa Maonesho wa

Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam na kote mikoani kwenye

Viwanja vya Maonesho kuelezea mafanikio yaliyopatikana

katika nyanja mbalimbali katika kipindi cha miaka 50 ya Uhuru

wa Tanzania Bara, na

(iv) Kuanzisha mchakato wa kutazama upya Katiba ya Nchi yetu

kwa lengo la kuihuisha ili hatimaye tuwe na Katiba

inayoendana na Taifa lenye umri wa nusu karne.

(1.2) Kufuatia agizo hilo la Rais, Serikali imeandaa Mwongozo

utakaotumiwa na Wizara, Mikoa na Taasisi katika kuadhimisha

Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara.

No comments:

Post a Comment