KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 20 February 2012

* YOU BEEN SNAP BLOG * ANONYMOUS OF 19:21. UNAJIJUA " CHAKWANZA KABISA SIJAONA WAHI KUONA ASONA MACHO KUWEZA KUANDIKA AU KUSOMA" SO ALOKUANDIKIA MWAMBIE AKUSOMEE HII PIA"

HUNA HATA AIBU " MAWIVU YAMEKUGANDA KATAFUTE KWENGINE KWA KUYAYEYUSHIA KWA
MISS FB FLORA BAHATI LYIMO  UTAZIDI KUGANDA DEAR"
Miss FB Fashion Police naona imekutoa roho sana,HIYO COMMENT YAKO KAMA HUKUIANDIKA KWA MATUSI NINGEIWEKA HAPA, ILA hutoiona kwa maana alokuandikia wewe kipofu hajakusomea MISS FB FASHION POLICE RULES" MY RULES ARE. PLEASE DO NOT SWEAR " YOU ARE LIVE ON * YOU BEEN SNAP BLOG* HAKUNA KUMTUKANA MTU MATUSI ,KWANI HAYO MATUSI HAYATAMREKEBISHA  AU KUMFUNDISHA YOYOTE CHOCHOTE KUHUSU MAVAAZI" AU ULICHOKUWA UNAKIONGELEA"
LINGINE IM SURE YOU ARE THE ONE WHO DONT KNOW WHAT DRESS CODE IS"
WACHA NIKUAMBIE..DRESS CODE NINI MAANA YAKE.
DRESS CODE IS THE RULES ABOUT WHAT KIND OF CLOTHES PEOPLE ARE ALLOWED TO WEAR . JE" ni rudie tenaa!! unaelewa maana ya CLOTHES AND ACCESSORIES au unataka nikuambie pia.. do let me know"" yani nimeona nisinyamaze japo umetukana matusi yako yasomuuwa hata chawa.nimeona you just need help!!GOD BLESS YOU NA I HOPE UMESOMEWA VIZURI MAANA NAONA HUNA MACHO NA KAMA UNAYO HAYAONI "

4 comments:

  1. eheheheh miss flora mpe mpe huyo hasio kuwa na haya mi nakufagilia sana dada, wote hao wachane live, watz tumezidi kurudishana nyuma tunachokiwaza nikuharibu sherehe zawatu mi sipendi sana nahao sio kama hawana nguo wanazo sana sema wanaona raha kuharibu sherehe zawatu

    ReplyDelete
  2. Anonymous of 01:12pm. UMEWAONA EEE...yani kweli watakoma ,mmoja mmoja watapoteza muda wao wakutizama mambo na maendeleo yangu na mwisho kuacha matusi yao hapa ya MAWIVU .ILA WATAMBUE KWAMBA MATUSI YAO HAYAMUUWI HATA CHAWA"TENA NDO YANAZIDI KUNIBARIKI .KILA HERUFI WALOITUMIA YA MATUSI NI MWAKA MMOJA WAKUISHI HAPA DUNIANI WAMENIONGEZEA NA WAO MWAKA MMOJA WAMEJIFUPISHIA MAISHA YAO YAKUISHI HAPA DUNIANI"..SASA NITAWACHANAJE..kama ulivyosema Mdau ..nikuwachane live haswaa...ila KAMA WAO WATU WAKWEE..WAKAFUNGUE BLOGU YAO WANIWEKE MLE AU WAJE TUTIANE MACHONI..NITAWAONYESHA HOW I DO IT"mtoto wa Kichagga siegemei mie ,narusha miguu juu" MBUTA NANGA!!

    ReplyDelete
  3. mpe mpe MISS FB FASHION POLICE, I LOVE YOU " WEWE NI WA UKWEE..kweli wengi imewatoa roho kinoma,, and wabongo wengi hasa waishio London ni washamba sana, hawajui kuvaa kazi nikuparamia shughulini kwa misosi ya bure hata zawadi hawatoi ??, nyooo!!

    ReplyDelete
  4. Hi there!! good day "
    I love the idea of the dress code a lot of people don't take it serious,now they will and will post your blog at my work place " you go Girl!!

    ReplyDelete