KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 19 February 2012

* YOU BEEN SNAP BLOG * BEDROOM PARTY OF RUHY ABEID 18-2-2012" (album 1) ZAWADI TIME. NA KWA WALE WOTE MLOFIKA KUCHAFUA SHUGHULI HII KWA WRONG COLOUR ZENU .BILA DRESS CODE :RED or WHITE.MISS FB FASHION POLICE PROUD TO SAY : YOU WERE THE MFYONZO OF THE NIGHT" WACHA NIWAFYONZE MSIKIE" HIVI MNAFANYA MAKUSIDI AU ? TENA ALAFA NDO MNAKUJA KUCHELEWA MKIPITA MKITINGISHA NA VIWRONG COLOUR MINI VYENU " KUDADADEKI JIREKEBISHENI MY DEARS""



Mmasai akabidhi hela £2,000 Pound kwa (Mchagga) B"Harusi mtarajiwa"kwa niaba ya Wanakamati wote wa Bedroom party hii.
Zilihesabiwa na kukaguliwaje!! Mia moja moja mpaka elfu mbili Chezea Wachagga kwa HELA!!WELDONE WANAKAMATI" mbuta nanga!!


Dada ,dada huyoo,Dada ,Dada huyoo Dada!!






















Ukiona ambao hawana zawadi mikononi kwa hii album one ,jua hao ndo wanakamati ambao walikuwa wametoa £2.000 yao na kuificha chini ya kitanda hicho chekundu na nyeupe, CHEZEA WAO" WELDONE WANAKAMATI" NA WALE WOTE WALOJITOLEA KWA ZAWADI ZAO BILA MIKONO MITUPU ,KWA KWELI NILIFURAHI KUONA JINSI WENGI WALIVYOFIKA NA ZAWADI ZAO NA VILE VILE NA DRESS CODE ZAO" RED OR WHITE" hivyo ndivyo inavyotakiwa.
MISS FB FLORA BAHATI LYIMO'S WAY" NO GO BILA ZAWADI AU WRONG RANGI KWENYE SHUGHULI ZA WATU ZA MUHIM"

5 comments:

  1. Yaani ndio maana me love you MISS FB wa UKWEEEEEEEE, yaani watu wana kusudi sana sana hebu mfikirie Grace Kashura why why why kuvaa hivyo jamani party ya watu? sijaseme hajapendeza la ila ndio nini hichooooo kina Zaomba na wengine wengi tuu. Ni bora usiende kabisa kuliko kwenda kutia doa shughuli za watu. Kwa ufupi yaani mko kama mmevamia vile.

    ReplyDelete
  2. THANKS ANONYMOUS OF 06:43 AM...YOUR RIGHT " kweli hatuwasemi kwamba hawajapendeza tunasema walikuja kuchafua..hizo rangi za nguo zao wenyewe wangezi AVOID kabisa..hata wangejifunga kanga nyeupe au nyekundu wangependezaje !! anyway i hope wengi watazingatia shughuli za watu zenye dress code:kiheshima zaidi"kwa kumfurahisha mweye shughuli kwa kufuata WITO WAKE OR MAKE HER WISH COME TRUE"i wish my party everyone will wear red and white..AND ALL COME WITH RED AND WHITE..Happpppppppppppyy""

    ReplyDelete
  3. Yaani ni kweli kabisa,ndio maana nampenda sana Flora Bahati Lyimo kwa kweli huwa anaongeaga ukweli ndio maana tunapenda sana kuiangalia Blog yake kwa sababu blog haitakiwi kuficha mambo lazima iseme kweli.Shughuli inaonekana ilipendeza sana lakini kuna watu wengine wameitia DOSARI wakati wanajua miezi mitano nyuma kama dress code ni nyeupe au nyekundu lakini wamefanya kusudi,mtu kama Chevu yeye si ndio aliyekuwa akisema kwa kila amuonaye jamani dress code muhimu sasa mbona yeye mwenyewe kaibuka na nguo zake za kila siku kama MWANASESELE ?sikupondi bali ukweli ndio huo basi sawa ungevaa nguo ya rangi nyingine style mpya tungekuelewa Chevu lakini wewe kila siku nguo zako mishono hiyohiyo sijui nani kakudanganya KICHEKO.

    ReplyDelete
  4. Anonymous of 08:51 am..NIKWELI YANI CHEVU NAMUAMINIA SHE ALWAYS LOOK FAB...ILA KANIANGUSHA PIA...BUT NEXT TIME MTAMKOMAJE ATAKAVYO WAJIA NA RIGHT DRESS CODE: NILIIPENDA SANA NGUO ALOVAA,NI YA SHUGHULI MUHIM NI RANGI TU",KULIKO ZAOMBA...NAE PIA KANIANGUSHAJE"" WHEN I SEE HER HATA SIKUJUA NI YEYE...SHE LOOK FAB..BUT ILE NGUO YAKE ILIKUWA NI YAKUENDA KUMUONA TUNDAMA.AU SIJUI ALIKOSEA NJIA"MBUTA NANGA" ME I LOVE YOU MY DEARS ILA ZINGATIENI SHUGHULI MUHIM ZA WATU HASA KAMA ZINA DRESS CODE:

    ReplyDelete
  5. NO ONE LIKE YOU MISS FB FASHION POLICE WA UKWEE...
    YOU AND YOUR YOU BEEN SNAP BLOG DESERVE AWARD. what a fab photos by you " i have my birthday party coming up soon will inbox you and hope you will come!!

    ReplyDelete