CONNECT TANZANIAN AND FRIENDS OF TANZANIA IN LONDON...!!!
Jumuiya ya watanzania London kwa kushirikiana na pit stop wanawatangazia na kuwaalika watanzania wote waishio London katika siku ya familia (jambo kids party) itakayofanyika siku ya jumamosi tarehe 18 Feb 2012 kuanzia saa sita mchana hadi saa tatu usiku.
Wazazi kiingilio bure (free entry), watoto kiingilio £3 itakayo kutosheleza :-
- Chakula
- Vinywaji
- Zawadi
- Face painting
- Michezo mbalimbali.
Kutakuwa na :-
- michezo ya kila aina
- mashindano ya watoto binafsi
- maashindano ya familia (mujiandae na maswali juu Tanzania yetu,utamaduni wetu na maswali mchanganyiko)
- kutakuwa na best Mc &DJ (kids dj)
Nivyema zaidi kumuandikisha mwanao mapema zaidi kwa maandalizi ya kufana zaidi siku hii ya furaha kwa watoto na sisi wenyewe. Njia za kumuandikisha mtoto/watoto:-
Simu :- Said Surur (M/kiti - Jumuiya ya Watanzania London) = 07538063536
:- Abou (Isqa) & Shadya - Pit stop = 07731327506
:- Femmy shiftah - 07735055564
No comments:
Post a Comment