KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 21 February 2012

* YOU BEEN SNAP BLOG * MISS FB FASHION POLICE OF 21/02/2012.FROM BEDROOM PARTY MILTON KEYNES"




My dears ,,sijui nianze na nani ,,ila wacha nianze na zaomba ...hapo juu na nguo yake hiyo ya bluu" kwanza kabisa TUNAJUA MWANAMKE NYAMA!!! sasa basi hiyo nguo siyo yawalona nyama ni yawasokuwa na nyama dear..yani ni yaku AVOID kabisa ,ingekupendeza ingekuwa haijakuwa na mipasuo hiyo ya tumboni mpaka mgongoni ,yani alafu imekubana kinoma" huko nyuma najua hujioni ,ila sasa waiona ,angalia zipu mpaka imegoma kufunga mpaka mwisho. kwa hiyo my dear utambue mwili wako na epuko nguo za waso na nyama, mwanamke nyama  na umezijaliwa wangu!
Hii ni ya huyo dada alovaa colour blocking !kushoto"
Viatu vipo powa nimevipenda sana, ila naona umetujia na high heels price soled shoes, badala ya CL.( Christian Louboutin ) naona hakuna haja ya red sole anymore.!! sisemi eti ungetakiwa kuvaa CL.NO" yani mimi naimanisha huona wengi hata mimi mwenye nikivaa CL basi mpaka ninyanyue na mjuu mtajuaje ni red soled CL" hhaaa" my dear, unaponunua kiatu kitoe bei yake huko chini kwani hakionekani vizuri tena unakishusha utam wake" siyo hata wewe peke yako wapo wengi sana ambao viatu vyao bado huwa huvivaa viatu vyao bila kutoa ile price yavyo ",AU MNAMPANGO WAKUVIREGESHA MLIKOVINUNUA NINI"" mbuta nanga!! AVOID MY DEARS!! Lingine your dress, yani is nice dress ila umelivaa na wrong sidiria wrong size bra. the cup was too small na nguo design hiyo huwa inatakiwa kuvaliwa na strapless bra. so please AVOID usijiaibishe tena!
                Mwisho ni Chevu "
She look fab " na nimemuweka hapa kwa ajili ya mdau mmoja aloniachia comment akidai yakwamba kawa kama mwanasesere..ila kaandika MWANASEKELE" I think maana yake ni moja" na kaendelea kusema kwamba yeye huzivaa nguo zake design moja" Mimi sioni WHY NOT ? mwanamke ni kujijua mwili wako na kinachokupendezea mwili wako..sasa yeye design zake anazijua vizuri sana ,and nothing wrong with that" yani kila kitu was spot-on 10/10 .alichokikosea tu" , nikuwa nayo at the wrong event tu"" AU NYIE WADAU MNASEMAJE KWA HAWA MADADAS NA MAVAAZI YAO " wacheni maoni yenu hapa ila yasiwe ya MATUSI ...yawe yakuweza kutufundisha wote how to do it next time"
ASANTENI SANA .MISS FB FASHION POLICE"

14 comments:

  1. HUYO DADA ALIYEVAA HOT PINK NA DOTS HUWA ANAVAA VIZURI SANA THUMB UP.

    ReplyDelete
  2. haloooooo flora bahati lymo uko juuu>>>>Yani naipenda blog yako####! mbuta nanga ina maana gani kwa kichaga?

    ReplyDelete
  3. Hhaaaa,thanks anonymous of 06:44pm. MBUTA NANGA" maana yake na kichagga kusema kweli inategemea na unachokiongelea au ulichokiona, hasa MSHANGAO.,kwa mchagga au anae eewa kichagga ndo kinanoga zaidi kama mbege .lol..hahhaa,mbuta nanga, wacha nikalale mimi mchagga mpaka sasa hivi sijalala hawa watu wa London fashion show na Brits Award wameniwezaje...thanks na karibu sana Mdau wangu.
    Miss FB"

    ReplyDelete
  4. jamani zaomba zaomba zaomba, why ? umevaa nini kwenye bedroom party ? kweli miss fb fashion police mtathubutu kusema anawaonea,, ama kweli nyie ndo wachafuzi kisawa sawa..yani wewe hujui nguo za kuendea club na shughuli muhim kama anavyosema miss fb,, I LOVE YOU MISS FB , yani watanzania mnajiaibisha mno ,na mmepata kiboko cheni..let us see what mtavaa next time. na miss fb wewe wala usijali sisi tutakurushia mapicha ya wachafuaje kwenye shughuli za watu wala usijisumbue kuzi snap mwenyewe, BUT USITUBAGULIE PLS!!

    ReplyDelete
  5. hahaha, ni kweli kabisa jamaniwengi huwa hawatoe price zao kwenye viatu basi wakitembea unaona mpaka bei kabisa, vingine mpaka vya £5. kuna mdada mmoja akisoma hii atajijua, alikuwa amevaa viatu vyake na price ya £10 nikamuambia how much viatu vyake ni vizuri ,basi akaniambiaje,, £100. i was like .ok is nice ..ndo maana hujaviondoa price yake ? alibakia kushangaa,ungemuona yaniwewe acha tu ,alikimbilia chooni kwenda kutoa.hehee....WAPE WAPE MISS FB ,WALA USIWAOGOPE NAKUFAGILIAJE!!

    ReplyDelete
  6. CHECHEVU ALWAYS ON POINT

    ReplyDelete
  7. hahaaa,uwiii,jamani ZAOMBA mbona kujiaibisha hivyo MAMA MZIMA WA WATATO WATATU na mme ndani ya nyumba?????????!!! weldone miss fb fashion police kweli ni lazima wote wawekwe adharani washafuzi wa shughuli za watu ..kweli LONDON watu kuvaa ni ziiiiiiirooooo!!!

    ReplyDelete
  8. Nakupendaje miss fb ,wape wape hao wamezidi,alafu mitaani tunaambiwa tusije kwenye birthday party yako...nitakuinbox anayetuma sms kwa watu.mimi na my sis tutakuja hatufuati maneno ya haters. Bless you Miss FB

    ReplyDelete
  9. OMG! IS THAT Zaomba? alikuwa anawaza nini ,mamaaaaa...kweli miss fb wewe dawa yao , watakoma sasa kuchafua shughuli za watu ,and tunakupa Award ya mavaazi ya wabongo uk.Miss FB Fashion Police OYEEEEE!!!..Wafundishe wafundishe hao"

    ReplyDelete
  10. hahahaaa, vihoja you been snap blog..nimechekaje!! kweli wewe kiboko cha wabongo uk..nikikuona nitakuzawadia...

    ReplyDelete
  11. Great goods from you, man. I've understand your stuff previous to and you're just extremely magnificent.
    I actually like what you've acquired here, certainly like what you're
    saying and the way in which you say it. You
    make it enjoyable and you still care for to keep it smart.
    I can not wait to read far more from you. This is really a
    wonderful web site.
    Also visit my homepage louis vuitton shop online

    ReplyDelete
  12. Oh my goodness! Incredible article dude! Thank you, However I am experiencing difficulties with your RSS.

    I don't understand the reason why I cannot subscribe to it. Is there anyone else having the same RSS issues? Anybody who knows the answer can you kindly respond? Thanks!!
    Review my website : louis vuitton outlet locations

    ReplyDelete
  13. If some one wishes to be updated with hottest technologies therefore he
    must be pay a visit this site and be up to date everyday.
    Here is my web site : louis vuitton españa

    ReplyDelete
  14. Lava lamps that you get use high heat and toxic chemicals, but you can create a lava lamp in your house using safe kitchen ingredients". Transfer printing is often a new thermal process, introduced from abroad, but over 10 years. With a stovepipe jeans, wear volume denim skinny pants trouser legs, exposing the red and black plaid pattern, fashionable and casual.

    Also visit my web-site; アウトレットグッチ

    ReplyDelete