KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 31 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * HII NI KWA WALE WANAOKIMBILIA KUOWA AU KUOLEWA NA MATAJIRI" SOMA MANENO KUHUSU HARUSI YA FACEBOOK CEO MARK ZUCKERBERG " ALIYO ANDIKIWA LEO NA MAENGEZEO KUTOKA KWA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO"


Facebook CEO Mark Zuckerberg and new bride Priscilla Chan are wed
"Habari na Photo from Daily Mail "

Pichani ni Facebook CEO Mark Zuckerberg and new bride Priscilla Chan are wed"

No matter that a few days ago, Zuckerberg made nearly £12 billion from the stock market launch of Facebook, the company he founded. It was just 24 hours after the flotation that Mark Zuckerberg announced his nuptials to the world by updating his status on the social networking site to ‘married’


His new wife, college sweetheart Priscilla Chan, updated hers to ‘jackpot’.
At least, that’s the joke doing the rounds on the internet.


Even if that’s what we’re all thinking, it’s a cheap shot to suggest that mountains of cash had anything to do with last week’s surprise nuptials at the couple’s £4 million home in Palo Alto, California.

After all, the pair have been together for nine years — ever since their eyes met at a student party at Harvard. In fact, the dotcom tycoon says the nuptials were timed to coincide with Chan’s medical school graduation ceremony last week.

But divorce lawyers have pointed out that 28-year-old Zuckerberg may also have wanted to exploit local divorce laws, which means that should he and Mrs Zuckerberg ever split up, she might not be able to claim any of his new fortune — because he made it before they became man and wife, even if it was by just a few hours.


Miss FB Flora Bahati Lyimo amalizia kwa kusema" kwa wale wanaokimbilia kuoa au kuolewa na matajiri sasa wakae chonjo wakifaham kwamba kuna namna yakuzuia mhondo huu wakuowa au kuolewa kwa matajiri hao.cha muhim my dears ni kumpenda mtu akupendae bila kufikiria utajiri wake na hapo ndipo unaweza kujikuta hata utajiri wake huo kukupa bila hata yakusita kwenda kumtafuta huyo au hao MADIVOSI ..DIVORCE LAWYERS"
Mungu kaumba Dunia Mwanamke kwa Mwanamme ili waende wakaijaze Dunia siyo kwa UTAJIRI bali kwa WATOTO"
Na Dunia itafaa pale ambapo watu watakapo owa .kwa njia hii.MATAJIRI KUOWA MASIKINI ZAIDI.kwani hivyo ni kuisaidia Dunia kuwa na Matajiri zaidi babala ya kuwa na Masikini zaidi" God Bless the World " Ruwa Mangi!

No comments:

Post a Comment