KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 24 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG* MAMA MZAA CHEMA AFUNGUKA KUWAJIBU WENYE KUSAMBAZA MANENO MITAANI KUHUSU FANCY DRESS BRIDAL SHOWER YA MWANE RAHMA" MAMA RAHMA MWANZO ASEMA BRIDAL HIYO HAIKUWA NA DRESS CODE" ENDELEA KUSOMA HUKU UKIUSIKILIZA HUU WIMBO WA >Kila mtu na mtuwe-Isha Ramadhani." NA PICHA KIFANCY ZAIDI"



B'HARUSI MTARAJIWA RAHMA kapendezaje!!! nakutakia kila la heri katika maisha yako mapya uyatarajiayo wangu"
"God bless you "


MAMA RAHMA MZAA CHEMA NDO HUYO.(kulia) NIMEMPENDAJE" HONGERA MAMA" NA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA FAMILIA YAKO" WAS NICE TALKING TO YOU MAMA"












FOOD CONTAINERS NDO KAMA HIZIIII" NEXT TIME JAZENI FOOD HUMO MUENDE NAZO SHUGHULINI " mbuta nanga" MISS FB FLORA BAHATI LYIMO ATAWA SNAPJE"


KWA WALE MLODAI MNATOKEA MBALI NA NJAA ZENU .NEXT TIME MMEAMBIWA MBEBE COOLERS KAMA HII MUWEKE (fancy food zenu) MBUTA NANGA" MAMA RAHMA NI KIBOKOOOO" POKEA SHIKAMOO MAMAAAAAAAAAAAA!!!

HAPA HAPAKUTOSHAA..MIMI PENDA HII SANA WATU WAMEFANYA KWELI "Mama kitumbo hapo tumemsamehe "ila hiyo inaweza kuwa ni fancy dress ya Cynthia Masasi"

Haya WADAU ni hivi habari zilizonifikia mimi leo asubuhi kutoka kwa Mama azaa chema (mama Rahma) ni hivi ..kasema mwanzo kabisa anajua mimi na yeye hatufahamiani na pia mimi sikuwepo kwenye shughuli hizo na ukweli mtupu au uwongo mtupu unatokana na wale waloalikwa na waalikwa na siyo waloalikwa na wao wenye shughuli hizo wenyewe" mwanzo kabisa kasemaaa"

"London karibia nzima Wabongo wanamfaham na yeye ni mpishi top in town na yeye ni mama mwenye shughuli zake na wengi mnazifaham hasa wakaaji wa Dar"HOTEL ZAKE" isitoshe kawafanyia wanawe wengine harusi zao na hakumtegemea mtu yoyote na amefanya vile apendavyo ,siyo wapendavyo hao (haters),alifanya miaka 25 ya wedding anniversary yake ambayo ilifanyikia kwenye boat"kwahiyo hawawezi leo hii kumuambia kitu mama muweza shughuli mwingine hakunaga" hiyo boat haikuwa ni ya paundi mbili jamani nipaundi nyingi sana hapa tupo Ulaya"sasa hao wale sema kwamba hakukuwa na vinywaji ukumbini au mezani kulikuwa na maji chupa 2 huku meza ikiwa ya watu 6 nk. hizo chupa ni zile kubwa kubwa na unajimiminia na unaweza ukawapa hata watu kumi chupa hizo mbili kubwa, na lingine ni kwamba ,wale wanaodai wamefika ukumbini mapema na kusubiria B'harusi mtarajiwa kufika na akafika kuchelewa masaa matatu wamekaa bila chakula ,huku wakiwa na njaa kwa umbali walosafiri "wakumbuke kwamba vyakula havinge weza kupakuliwa kabla ya B' harusi mtarajiwa kufika na yeye alifika kwa zile saa ta kuwapa Watanzania muda wakufika kwani wao ukiwaambia waje kwenye shughuli saa kumi na mbili wao wataanza kufika saa tatu mpaka hata saa tano..sasa basi ndiyo sababu yakuchelewa B'harusi mtarajiwa.na wao wanasema siyo kachelewa ndo mpango wao huo yani time zake zakuwasili zilikuwa ndo hizo" Mama Rahma kaendelea kusema WALE MLOSEMA MMETOKA MBALI NA NJAA ZENU ,NEXT TIME FIKENI NA COOLERS ZENU WEKENI VYAKULA VYENU (fancy food zenu ) ikiwa ni pilau ,wali ubwabwa,ugali kwa kisamvu au hata matoke yale yakiganda nyie njooni navyo yeye atawapeni mpaka na MICROWAVE" IT'S PARTLY YOUR FAULT YOU DIDNT EAT BEFORE YOU COME KWENYE SHUGHULI ZA WATU"hamna haja ya nyie  mtoke huko na njaa zenu alafu mje kumalizia hasira zenu kwenye shughuli za watu hasa za kwake ambazo kila kitu kuendana na mpongo wake kilikuwepo hadi hata saa ya kumalizika shughuli mliambiwa mbebe vyakula na drinks kwa watakao penda.leo hii imekuwaje mseme kwamba hakukuwa na vile mlivyokuwa mwavihitaji .YEYE KASEMA HAWEKAGI PILAU ,BIRIANI AU NISEMA (MCHELE) KWENYE BRIDAL SHOWER" isitoshe kuhusu hayo mavaazi kulikuwa hakuna dress code: hiyo fancy dress ilikuwa nikama show au niseme spice up ya shughuli hiyo na hiyo ilikuwa kwa wale waloambiwa na kukubaliana na hilo nailikuwa ni kupitia kwa dada yake B'harusi mtarajiwa.na ndo maana utaweza kuona ni wachache na wenye kujuana ndo walivaa hizo fancy dress" Kwa hiyo Mama Rahma nadhani alisema kweli na ukweli wake huo kasema atanitumia mpaka na VIDEO ya mpango mzima ili kuwakomesha wale wote wanaokuja kusambaza maneno yasokuwa na msingi mitaani .kasema kila kitu kilikuwa POWA kuendana na vile wao wenye shughuli hizo kupanga na wanamshukuru Mungu kwa kuifanya shughuli hiyo kufana na kumalizika salama ..sasa wanaongea yalopita " shughuli ishapita" na kaongezea kusema kuhusu hizo cooler kama wengi watazikosa basi waje na food containers atawasaidia kupasha moto vyakula vyao huku wakisubiria shughuli zianze..HAHAHHAAA,,JAMANI MAMA RAHMA ALINICHEKESHA SANA,,I CANT WAIT TO MEET HER" I love kina mama ambao wanajiamini" and she is " na mnao mfaham nahisi mtakubaliana na mimi" Pole sana Mama hayo yamepita". BINADAM HATA AKIPEWA NINI MILELE HATA RIDHIKA, NA MIMI MWENYEWE MISS FB FLORA BAHATI LYIMO SITOCHOKA KUWAAMBIENI UKWELI " WATANZANIA KWANI TUPO NYUMA SANA SABABU YA VITU VIDOGO VIDOGO KAMA HIVI " YANI INGELIKUWA BORA KUMUAMBIA MAMA RAHMA MACHONI AU HATA WANAKAMATI NA WANAE PIA " NA SIYO KUISHIA MITAANI KUKATIKIWA NDALA WAUZA CD TUPU" MBUTA NANGA!!

1 comment:

  1. hahahahhahaaaa, jamani mbavu zanguuuuu,hayo macooler ni balaaa eti mtu utoke zako huko bongo uje London kwenye shughuli na cooler ya ugali na kisamvu" weraaaaaaaaaaaaaaaaaaa MAMA WAPE WASIKULETEE" na flora bahati lyimo tunakupendaaa.upo juuuuuu

    ReplyDelete