KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 24 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * MANENO YA KWENYE KITI CHA MKASI" FRANK GONGA ATOBOA SIRI YA WANAWAKE WANAOJICHUBUA & MISS FB FLORA BAHATI LYIMO AMKOSOA NA KUTAKA FRANK ATOE POLE KWA ALOWAPUUZA" SOMA MANENO YA MISS FB HUKU UKIMSIKILIZA Mkasi - SO2E14 with Frank Gonga & FreddyNice"



Msikilizeni huyu Frank hapa na toeni maoni yenu kama mimi"
Maoni ya Miss FB Flora Bahati Lyimo kuhusu machache alosema Frank na sijapendaaaa!!!
Frank mwanzo kabisa sidhani kama ulipoitwa huko Mkasi ,kama ulifikiria nini chakuongea mle au ulidhania haupeperushwi hewani? " Hapa nimekusikiliza kwa makini sana nakusikia ukisema kwamba wewe huwezi kumshauri mtoto wako awe Mwalimu " ukaendelea kusema kwamba " WALIM TANZANIA WANALIPWA NINI !!"? YANI WAGE'S ZAO " UKIIMANISHA KWAMBA HAINA HAJA YA MTU KUWA MWALIMU TANZANIA NA VILE VILE KUMSHAURI MWANAO ASOMEE UALIMU".mimi naomba uniambie wewe mwenyewe ulisomea wapi ? na hata kama ulisomea majuu..UK -ULAYA -LONDON na popote pale nje ya Tanzania wengi wetu tumesomea Tanzania na wengi bado wapo na wanahitaji kusomeshwa sasa leo hii wakusikie kama mimi hapa ukisema hawalipwi hela zakuweza kumfanya(KUMSHAURI )AU NISEME KUMGANDAMIZA mtu ampeleke mwanae ualim au hata mtu mwenyewe ujipeleke ualimuni Tanzania itafaa kweli bila WALIMU ? WATOTO WETU WALEO NA WAKESHO WANAHITAJI KUFUNDISHWA TANGU BUSHI,KIDATO CHA KWANZA NA KUENDELEA. Mimi nakushauri kama Mtanzania 100% UJIREKEBISHE NA UWAAMBIE POLE HAO WALIMU UNAO WADHARAU ...TENA HAO NDO WALE WALE UNAWAHITAJI KUJA KULIPA KUKUPA WEWE HELA YA KUWEZA KUWAZARAU " WANAKUJA NA DRESS CODE ZAO BLACK "WHITE" GREEN "YELLO " RED" NA WANALIPA KIINGILIAO,NA BILA WATU KUJA INA MAANA HUWEZI KUFANYA HIZO EVENTS ZAKO ZA RANGIS"  PLEASE DO SOMTHING TO IMPROVE THOSE TANZANIAN TEACHERS WAGE" I NEED TO SEE IT GET BETTER SO HATA MJUKUU WA MTOTO WAKO AWE PROUD KUWA MWALIMU IN TANZANIA NA KUITWA TANZANIAN TEACHER" Nasema hivi kwa sababu mkasi keshapeperusha hii angalia mimi nipo hapa UK na nimeshaipata na sijui ni wangapi wamekusikiliza mpaka sasa hivi ,ila mimi nitakujulisha nitakapo irusha in YOU BEEN SNAP BLOG " na ambao hao watu watajisikia KUWAZARAU WALIM NA VILE VILE KUTOKUWASISITIZA UALIMUNI TANZANIA.I HOPE NA RAIS ATAPATA KUKUSIKIZA ILI NAE APATE KUREKEBISHA THOSE TANZANIAN TEACHERS WAGE'S"
Ni hayo tu and dont get me wrong nawapenda mnavyojishughulisha na I LOVE HIZO PARTY ZENU ZA RANGIS ..NI NJIA MOJA YA KUWAWEZESHA WATANZANIA KUWEZA KUHESABIWA KWENYE PARTYS .AND YES I WILL BE ALSO THERE KUWA FUNDISHA WHAT TO WEAR WHERE NA HASA KWENYE SHUGHULI ZA WATU"
"MISS FB FASHION POLICE IS THERE FOR MOST TANZANIAN HASA WAISHIO MAJUU.NJE YA TANZANIA NA NCHI ZA MAPAUNDI NA MADOLA"mbuta nanga!!

16 comments:

  1. flora turushie comment zetu wacha kuzibania kwani hili limezidi kutumia wanawake za watu wenye hela alafu anajifanya HIYO NDO KAZI kuja kutuzalaulia walim wetu Tanzania,yani nime mzalau yeye mno.pls tuache tumchambeeeeeeeeeeeeee"

    ReplyDelete
  2. alaaa kumbe ndo maana kamtema TM,sababu ya kujichubua,kweli katoboa siri yake masikini na tm nae kabakia kuranga ranga kanenepa huyooo.pole zake ila huyu fg simpendi kwa mazarau yake leo kapata kiboko chake na wala usimuogope flora mpeee" hajakutana na wachagga wa ukwee leo kagonga jiwe la mchagga wa ukwee..

    ReplyDelete
  3. who is he ?? to say that to our teachers i hope they will do something about thise" he is a sad man who only think with his C"

    ReplyDelete
  4. why dont he play football then, and what he going to do with his baby girl ? excellent comment over his stupid say about teachers in tanzania.flora i hope all tanzanian will also stepin and make him say sorry !!!

    ReplyDelete
  5. mwalim wa walim tz25 May 2012 at 12:14

    miss fb fashion police wa ukwee nakupendeaga hapa flora huwaogiopi na unatutetea sana sisi watanzania tutende na kufanyiwa kweli ,sasa anataka sie walim tuweke mgomo alafu iweje? atatuajiri yeye na hizo black party zake au? yani kweli hana akili timamu ndo maana wanawake wameshamstukia.

    ReplyDelete
  6. flora leo silali mpaka uachie comment zetu ,frank gonga anataka mtu wakumgonga kisawa sawa ,sasa nnje ya nchi kakuchoka kaona tanzania ndo kuja kuvamia mkasi kutuzaraulia walim wetu" atajuta kuvamia mkasi ,i hope mange atamuweka kwa blog yake maana naona wewe flora unazibania comment zetu"kule ndo tutamshikisha adabu "

    ReplyDelete
  7. i am looking forward to come back here and find my comment miss flora bahati lyimo. I HATE YOU FRANK GONGA"who do you think you are!!

    ReplyDelete
  8. MY DEARS NATUMAINI HAMJAMBO , NADHANI MNANIELEWA NA SIYO MARA YA KWANZA KUWAOMBA MSIWATUKANE WATU NINAO WAWEKA ILI KUWAREKEBISHA AU KUWAKOSOA NISEME...kwa sababu ya comments zenu siziachii ni mnamtukana matusi makubwa makubwa ambayo hayaambatani na pale ambapo mimi binausi nimeona kawakosea WALIMU WA KITANZANIA" NYIE ACHENI MAONI YENU BILA MATUSI ,NA KAMA UKIWEKA TUSI LISIZIDIWE NA UZANI WA 80%.PENGINE 20% NITAWEKA.ASANTENI NA ENDELEENI KUWACHA MAONI YENU ,NA SASA HIVI MSHAFIKA IDADI YA 433 MLOISOMA..."LOVE YOU NA NAOMBA TUPENDANE WATANZANIA NA TUFIKIRIANI JINSI YAKUENDELEA NA KUIJENGA NCHI YETU TANZANIA"

    ReplyDelete
  9. NA KWANZA YEYE ANASEMA ANA MTT MMOJA HILO SI KWELI ANA WATOTO KAMA UTITIRI JE HAO WENGINE MBONA HAWASEMI?AU ANAONA AIBUUU?BILA WALIMU YEYE ASINGEKUWA HAPO ALIPO BWANA FRANK OMBA MSAMAHA KWA KWELI.

    ReplyDelete
  10. ETI ANASEMA WATU WANAJIRIPUA ,YEYE SI ALIMUOA YULE MWANAMKE ILI APATE MAKARATASI TU,SASA MBONA KAMUACHA BAADA YA KUPATA MAKARATASI??MAISHA NI KILA MTU ANAVYOTAFUTA BWANA KWA HIYO TUSIPENDE KUINGILIANA JINSI YA KUISHI BWANAAA.

    ReplyDelete
  11. WADAU WANGU ,,WAJUA NINI ANA MADHARAU SANA..na mimi sipendi kuona watu wakizarauliwa hasa wenye kustaili heshima zao kama WALIMU HUKO TANZANIA..MIMI KAMA SIYO MWALIMU KUNIFUNDISHA ABC,,,,nisingeliweza hata KUTAMBUA ZARAU LAKE KWA WALIMU TANZANIA NA KUMUANDIKIA HAPA KUTAKA AJIREKEBISHE NA AWAOMBE HAO Walimu MSAMAHA.navile vile aanze kufikiria njia ya kufanya walipwi wages mishahara ya kumfanya yeye MMGANDAMISHE MWANAE AU WATOTO WAKE KWENDA KUJIUNGA NA CHUO CHA UALIMU TANZANIA...WE NEED TEACHERS THERE JUST LIKE DOCTORS""POLICE NA VITU VINGINE VINGI AMBAVYO VINATHAMANI KULIKO HIZO BLACK/WHITE au niseme rangi do" PART'S ZAKE" KUDADADEKIIIIIIIIII,,,,FRANK GONGA HUJAOMBA MSAMAHA TU..YOU NEED TO GO BACK TO MKASI ...KUOMBA WALIMU MSAMAHA THIS TIME NA UKOME KUZARAU WATU"""

    ReplyDelete
  12. miss lyimo naomba nijulishe ni nani huyo frank? i swear to god simjui hata sijawahi kumsikia hata!

    ReplyDelete
  13. anonymous 13:02 wacha nimsaidie miss fb kukujibu..mwangalie facebook "

    ReplyDelete
  14. Two blokes with prenty in common and not just the viparas..wameshaowa na kuacha na wakapata vitambulisho vya nnje.sasa frank ndo kaona atumie mkasi kuja kuwazarau walimu wetu ? no frank you need to go back to where you think teachers get good wages and tuachie walimu wetu wapo proud to be tanzanian teachers ad happy with that wages which to you is nothing" and what do you do ??? any job that you went to schol for pls???"

    ReplyDelete
  15. flora hivi wewe unajiona ni nani haswa wakuweza kumkosoa my bro"huna lolote nyau wewe" tafuta mme akuowe mama unazeeka"na hao wagana siyo wanaume tafuta mtanzania alotulia huo niushauri mdogo tu"

    ReplyDelete
  16. hongera sana flora bahati lyimo upo juuu dada wa kichagga"..huyu fg anajionaga hakuna mwingine Mange na wewe kiboko chake,unakumbuka siku ile atamfukuza yule girlfriend yake msipige picha ya pamoja,unawezaje kumfukuza girlfriend yako kama mbwa mbele za watu..hehehe...and im happy alimtema he was not a good man for her ,well"not good to all women!!

    ReplyDelete