KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 12 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * SOMA MANENO KIDOGO NA YA MUHIM KUTOKA KWA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO'S BOOK coming soon " AND TANGU NIPEWE HIZI BLESSING ZA HUYU MRS KERMEN YAKWAMBA IM NEXT KUOLEWA " KAMA UNANIPENDA NA UNANIPENDELEA TUWE THE NEXT MR AND MRS AFRICAN KING IS BETER TO ASK ME THAT SWALI NOW.KABLA HUJAJAKUTA MWANA SI WAKO" RUWA MANGI!!

Jamani hebu nioneni hapa na B'harusi huyu alivyopendeza na mimi kupiga nae picha nilikuwa naogopa najiuliza maswali sana uwii sijavaa kiharusi wala sijavaa kimtoko wa starehe bali wa mapito pito yangu kikazi zaidi, na ndo maana tunaambiwa tujiwekeni tiyari wakati wote kwani atakapo tujia Mwenyezi Mungu hatutakaa tuifaham ni usiku au mchana"Nami leo nimejifunza mengi sana na ndo maana hata sitokagi bila my camera" Yani ningelijua huyu B'harusi alikuwa anakuja kupiga picha na mimi nakunipa ua lake la harusi ningejivaaaje mie "
Mbuta Nanga!!

Hapa ni baada ya kuni wish kwamba I WILL BE THE NEXT " tulianzaje kucheka ,she is so lovely  yani kumpa mtu ambae hata hujawahi kumuona maishani mwako mauwa yako ya harusi si mchezo na mimi naona ni kitu ambacho huwa kinasukumwana na upepo wa malaika wema wakiwa na msaidizi wao God " yani kaniambia yakwamba anafamilia yake hapa na kweli wengine walibakia wakishangaa kuona kanipa mauwa hayo na kuondoka na wao kubakia na mashwali ..WHO WAS SHE ?? AND WHY GIVE IT TO HER ?  HATA MIMI NAJIULIZA HILO SWALI .SO NDO MAANA NIKAANZA KUANGALIA THIS TIME LAST YEAR  MAY /2011 WHAT HAPPEN TO ME" AND HAPO CHINI IS ALL ABOUT WHAT HAPPEN TO ME THIS TIME LAST YEAR" 

Pretty Princess a.ka Muke ya Mtakishi"

Hapa mwayaona hayo maua ndo nayaandalia sehem yake yakukaa bila kukauka yani IM SO BLESS WITH MY BLESSING HOME & MY LIFE KIUJUMLA"




CHEERS MY DEAR MR & MRS KERMEN" WISH YOU ALL THE BEST WITH YOUR NEW LIFE"
Kwakusema kweli nimeona na mimi nisherekee hii siku ya leo kwani ni jambo la neema sana" naliona limenitendekea tena kama vile this time last year wakati nilitembelewa na MAMA YETU BIKIRA MARIA" ON 13/5/2012" HAPA HAPA NYUMBANI KWANGU " ALAFU LAKUSHANGAZA NI KWAMBA WAS FRIDAY .NA LEO PIA IS FRIDAY YA WIKI ILE ILE ALONITOKEA" BIKIRA MARIA USIFIWE MILELE AMEN"


Kwanza kabisa my Friends, Wadau wa YOU BEEN SNAP BLOG * Na ndugu zangu Watanzania " TUMSIFU YESU KRISTU NA MAMA YETU BIKIRA MARIA "
Mimi napenda kuwaambieni machache tu ,kuhusu siku ya leo na siku ilopita kama ya leo ambayo kwangu imekuwa kama ndoto na vile vile imekuwa siku yangu ya MUHIM sana maishani mwangu"

Kama mnaweza kukumbuka mwaka jana 13/5/2012 niliweza kuwaambieni kwamba Bikira Maria alinitokea nyumbani kwangu na siku hiyo ilikuwa siku ya Ijumaa.13/5/2012. sasa basi na siku ya leo nimeitizama kwa kiwiki zaidi kwani leo ni Ijumaa ya wiki ile ile ambayo ilikuwa ni wiki ya siku alonitokea.leo ni Ijumaa 11/5/2012 ambayo nakaribia kutimiza mwaka tangu aliponitokea , kwa hiyo mimi naona Ijumaa hii kanitokea kwa njia nyingine " 

SOMA KWA MAKINI HAPA TAFADHALI"
Leo katika pita pita yangu kikazi zaidi mitaa hii hii ya kwangu Hackney nilikuta watu watatu wanapigana picha wakitumia sim ya mkononi na huku mmoja wao akiwepo mwana dada alivaa nguo yake nzuri kapendeza sana na huku akiwa amelishikilia ua lake yani kiharusi harusi ,mara gafla mimi tutaanza kuongea na pale pale nikaanza kuwapiga picha nikitumia camera yangu huku yule dada B'harusi akapatwa na furaha fulani hivi yani ungelimuona mwanzo kabla sijaanza kumpiga picha utagundua tu ,yani nilianza kumuonyesha mpaka na namna ya kusimama ili picha zile ziweze kutoka vyema na pia ziwe na kumbu kumbu ya maana. hapo hapo nlipomaliza kuwapiga picha ndo huyo B'harusi mwenyewe kaniuliza je .umeolewa ? nikamjibu hapana ,basi akaniambia chukua hili uwa langu wewe naamini utafuatilia kuolewa ndo tukaanza kuchaka sana alafu akaendelea kusema kwamba yeye anandugu zake hapa  lakini hakuwapa na yeye mwenyewe angeyapeleka nyumbani lakini anayanipa mimi .basi nikamuambia asante na akataka tupige picha pamoja. i was lake,OMG, sina make up wala sijavaa vizuri kiarusi arusi alafu na ninavyopenda picha sitoweza kuziweka kwa my blog , so hapa nilikuwa nalijiwaza mwenyewe  kimnya kimnya. ndo tukaendelea na kupiga picha zetu tukamaliza nika waambia kwamba ninayo blog na nikawapa my blog name nakuaambia watazame picha zao hum ,yani wakafurahi sana kwa kusikia watakuwa kwenye blog .bless them"

Pia wakanipa email yao ili niweze kuwatumia picha zao hum pia na ndipo wakaondoka sikuwaona tena" ndipo nami nikaamua kurudi nyumbani baada yakuwapiga picha maharusi wengine ambao wao hatukuongea sana wala hatukubadilishiana namba za sim ila niliwapa my blog name"
Ndipo nikajirudia nyumbani ana maua yangu na kupitia salon na kuyaonyesha wasichana wangu hapo salon na pia wao wakawa na furaha kwani nitaolewa soon sasa najiuliza nitaolewa soon na nani wakati hapa sasa havi sina hata huyo boyfriend yani ninao ambao nawafikiria lakini wao kama hawanifikirii na niwanaume ni wakazi gani ? mimi atakae kuja kwangu nimpende na anipende basi that will be it" so ikiwa unampango wakuniuliza that swali uliza na uulize kimapema kwani unaweza ukachelewa ukaja mkuta mwana si wako" Kwahi kusema kweli they all so happy to hear what happen to me today "and wishi me all the best na wanasema wao wapotiyari kwa harusi yangu .hahaha  na kuanza kusema vile walivyoona my birthday mambege mpaka watu walikuwa wanaondoka na chupa na bado zipo sasa harusi yako si itakuwa balaa" kwa hiyo kama mlivyo ona kwenye picha maua sasa yapo ndani na nayaangalia vizuri sana kwanai hayo ndo mme ambae ndo nichaonyeshwa ishara zake.hakuna kama Mungu na namsubiria kwa ham sana"

This week last year ndo Bikira Maria alipokuwa safarini kuja kunitembelea basi na mimi leo naona kajituma kwangu kwa njia ya huyo mdada B'harusi kwani mwaka jana aliponijia ilikuwa tarehe 13/5/2012 siku ya IJUMAA. na this time week ile ile siku ya IJUMAA ila tarehe tofauti.leo tarehe 11/5/2012 na wiki ile ile ya mjio wake ndo maana  kwangu naona kama ndo miugiza yake tena ,kwani wewe mtu humjui unawezaje kumpa maua yako ya Harusi" na ukaacha wale unaowafaham mapaka na familia yako "
Bikira Maria aliponitokea this time lasat year ,haya maneno ndo aloniachia ni nakuambia hapa uyasome uyaweke kichwani na kuyazingatia alosema au upuuze yote ni kwaajili yako wewe mwenyewe uchague lipi bora,kumbuka tushaambiwa IMANI YAKO NDO ITAKAYO KUPONYA"nani nawaambieni muamini msipoamini sitoweza kumfanya hata mmoja wenu kuamini asoyataka kuyaamini"
Alisema Mama Bikira Maria ni kwamba KINA MAMA SALINI SANA ROZARI NA MZIBEBE KWENYE MABEGI YENU KWANI HUO NDIO UFUNGUO WENU WAKWENDA MBINGUNI" Kwa hiyo hayo ndo yale yamuhim nayoyaona aloniachia kuwaambieni ,mengine mtasoma kwenye kitabu changu ambacho kipo na chaja soon " Asanteni sana kwa kunisoma na kama kuna yoyote ambae angependa kuja kusali na mimi jumapili hii 13/5/2012 nikiwa na sherekea mjio wake kwangu kufikisha mwaka "karibuni sana nyie nijulisheni kwa sim 07787471024 anytime "


No comments:

Post a Comment