KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 8 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG* ZAWADI YA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO KWA NEEMA KUMBA IKITIWA MAANDISHI YA KILA AINA BAADA YA KUANZISHWA NA MISS FB OWNER OF *YOU BEEN SNAP BLOG* HUKU MOHSIN aka MZEE WA KAZI ALITUCHEKESHA SANA NA TINO MWENYEKITI WA CCM NORTH -LONDON AKILIA MACHOZI" MBUTA NANGA!! HII NI ALBUM 2" YA 06/05/2012"

Maina Owino Mwenyekiti wa CCM  UK & Suzan Mzee Katibu wa CCM UK akiwa amesimama kusubiria zam yake yakutia saini kwa maneno yake ya kipekee kwenye T-shirt hiyo ilozawadiwa na Miss FB" kwa Muondokaji wetu tulokuja kumuaga leo Neema Kumba alokuwa katibu wa CCM North London "







aaahh"Pole sana Tino .mbuta nanga!!













 SERENGETI FREIGHT FORWARDERS .BY SIMON LOUIS (MOHSIN ) MZEE WA KAZI NA MMOJA WAPO MWENYE FUNGUO ZA OFISI HIYO .TEL: 07950689243 KWA MAELEZO ZAIDI"


















Mohsin aka mzee wa kazi .ALITUCHEKESHAJE !! Hahahhaa.mie bado nacheka hapa mlokuwepo mwakumbuka eeh"KEEP UP THE GOOD WORK AND KUJUMUIKA ZAIDI MY DEAR MTANZANIA MWENYE KUTAKA MAENDELEO"




Umoja ni Nguvu Utengano ni Udhaifu kwa kweli " mimi binausi napenda kuwashukuruni wale wote mlofika kushirikiana na Tino Mwenyekiti wa CCM North London kwa muondoko wa alokuwa Katibu wa CCM North London Neema Kumba"

Kwani hivi ndivyo tunavyotakiwa kujiunga kwa pamoja kwa MABAYA NA MAZURI "kwani hivyo tutalijenga Taifa letu la Tanzania siyo tukiwa Tanzania tu" Bali hata tukiwa nnje ya Tanzania .ona sasa sherehe hizi hazikufanyikia ndani ya Tanzania zilifanyikia Nnje ya Tanzania na ungelikuwepo hapa ungelizani upo Tanzania.Ile muziki ya zilizopendwa jamani tulizichezaje..Picha zaja so usiende mbali Mdau wa You Been Snap Blog"

Karibuni sana na kama mna chochote mngelipenda niwarushieni hum nitafuteni .wenu wa Blog hii wa mijimambo ya ukwee bila kusahau snap moto moto za ukwee. Miss FB Flora Bahati Lyimo" Tel: 07787471024 Email: flo1974@btinternet.com

1 comment:

  1. WANA CCM UK HONGERA KWA UMOJA WENU. MMEKUWA MFANO WA TAASISI NZURI A KITANZANIA NJE YA NCHI.

    ABDALAH BURA

    ReplyDelete