KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 8 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * KWA WALE WAPENZI WANGU WA *YOU BEEN SNAP BLOG * POLENI KWAKUTOKUWAWEKEA MISHAPO NYENU KWA WINGI KAMA KAWA YANGU .GOOD NEWS IS NILIKUWA NA KAZI NGUM YA UBUNIFU NA UFUNDI WA MAPAMBO HAYA" YA NYUMBANI AU KWA MAHARUSI NA YENYE HARUFU YAKIPEKEE ISOKWISHA HARUFU YAKE KWA MUDA MREFU NA VILE VILE UNAWEZA KUCHAGUA RANGI YAKO UIPENDAYO" JUST TAKE A LOOK AND HAVE YOUR SAY" LOVE YOU ALL AND TUZIDISHE UPENDO NA UMOJA !!

Flora Lyimo The Designer herself akiwa  kwenye maonyesho ya Ubunifu wa Mapambo yake"for you on your Wedding day with the colour of your choice or  your Home "hata popote upendavyo !!

Hapa nikiyapamba mezani hotelini ili wajionee wenyewe !!



Here is at my Blessing Home,nikivijaribia mezani kwangu!!

 Mpango mzima hapa unaweza kuona jinsi meza yako inawezakupambika na vile vile waweza kupata urembo huu kwa chaguo la rangi zako"

Hapa nikianza kuweka kwenye mifuko yake!!

Hapa mzigo umekamilika na upo tiyari kwa mauzo"

Hapa nimepiga picha yakaribu ili uone vizuri " pana giza lakini ona pambo lilivyopawakishia mwanga wa rangi zake na harufu yake usipime ,imetuliaa AU unasemaje wewe"

Hapa ndo yalivyopambwa na Hotel hii .ona pambo lilivyoparembesha wakati wa Queen Diamond Jubilee! Na vile vile mapambo haya unaweza kuyatumia kwa kumrushia Bibi harusi kwa Rangi zake " zitapendezaje au kublock rangi zilizomo kwenye Dress code na bila kusahau marashi yake !!




Have your say ,what do you think " Hand-Design for you and your home By: Flora Lyimo"

Hapa nasubiria msosi nilopewa na hotel hiyo na kinywaji pia.Im so Bless kwa kweli " I cant wait to get where I want to go "with my Hard work of Designer & Trader" Help me God I know you are with me " Ruwa endelea ingitarama mndumii oko kuorye chaiyopfo"

Just Miss FB Flora Bahati Lyimo ,Mama Bikira Maria na Mungu wangu aloniumba" Nothing make me feel good kuwa nao kama hawa wazazi wangu !!




Cheers this is for you my dears wote mnaonipenda na kuzipenda kazi za mikono yangu .cant wait siku hiyo yakusherekea kisawa sawa na nyie wote" God Bless!!

Thank you God you are up there I can see you !! mbuta nanga" nilifurahije kupata wateja wakupenda ubunifu wangu wa wiki mbili tu" Ruwa Mangi"

 Now the viatu lazima nikuonyeshe na ukitaka kiatu cha nguvu na bei powa nijulishe anytime.tel.07787471024"

6 comments:

  1. keep it up miss lyimo. mungu yuko nawe na kazi ya mkono imebarikiwa mama keep going utafika tu. wanga hii ndo dawa yao mama, move on thats it. love u sana

    bint gullam

    ReplyDelete
  2. Wooow me love it hongera sana flora lyimo designer wa ukweli kapisaaaaaaaaa..yani upo juu mtoto wakichagga. bless you "

    ReplyDelete
  3. congrats my dear whats a fad mapambo mimi naharusi yangu na nataka unitengenezee pink and green ila bei ni how much ? will cal you soon keep it up and you will get where you want to go for sure mamii"

    ReplyDelete
  4. this is so good flora lyimo .i love it ...

    ReplyDelete
  5. uzidi kubarikiwa flora tanzania tunakuhitaji na ujuzi wako ,bless you

    ReplyDelete
  6. Very nice Mae,keep it up my dear and be blessed.

    ReplyDelete