KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 11 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG* MISS FB FASHION POLICE SAY: HUYU MTOTO WA WILL SMITH NA JADA PINKETTSMITH"HEBU MTIZAMENI " YANI KAMA HUJAAMBIWA NI MSICHANA UTADHANI NI MVULANA " HIVI MBONA WAZAZI MSIWEZE KUWAVALISHA WATOTO WENU KUVAA KAMA IPASAVYO KUNA BAADHI YA WATANZANIA USIPIME KWA MAWIGI WANAYO WAVALISHA WATOTO WAO WAKIKE CHINI YA MIAKA KUMI NA TATU / SITA" PICHA ZAO NITAWAWEKEENI SOON "

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA  BAHATI LYIMO*
I'm doing me: The 11-year-old daughter of Will Smith and Jada Pinkett Smith is known for having her own unique style
I'm doing me: The 11-year-old daughter of Will Smith and Jada Pinkett Smith is known for having her own unique style
I'm doing me: The 11-year-old daughter of Will Smith and Jada Pinkett Smith is known for having her own unique style"


Leg up: Willow is set to star in a remake of Annie which her parents are producing
Leg up: Willow sasa hebu ona kila kitu nikivulana lana, kweli mimi naamini huyu anapendelea angezaliwa mvulana " au sijui ni mimi nakosea ni mvulana tiyari .Kudadadeki yani wazazi mimi naona ni kwaajili yakutokuwajali watoto na kuwaachilia kuwakalieni na kuwaambieni nyie cha kufanya badala ya nyie kuwaambia cha kufanya. hasa Tabia, Utii na heshima, kuna watoto wengine hata hawawezi kusema naomba wanasema nipe..nataka,utadhani ni vyakwao huku ni wanaomba wanunuliwe vitu au kitu na wazazi wao.. alafu kimavaazi hao watoto hawana hela zakwenda dukani kujinunulia mavaazi hayo sasa basi ni lazima mama au baba kukuwepo na kujua nini cha kuwanunulia watoto wao ..na KAZI KUBWA IPO KWA UPANDE WA WAKINA MAMA KWA WATOTO WAO WAKIKE...kuna baadhi ya Watanzania waishio hapa UK ,na kwa kweli picha za watoto wao hao ambao wanawavalisha mawigi na kuwashonea minyole ya watu wazima nitaziwawekeeni soon ...yani ni Birthday ya mwanao only mtoto mdogo alafu unamvalisha miwigi tena mikubwa kichwani na kumfanya anaonekana mtu mzima usoni na mtoto mwelini kuanzia maziwani maana hana hata kifua matiti hata hayaja anza kumea.huku kavalishwa liwigi hiloo".yani mnaudhi na kuwafanya hao watoto wenu kutamaniwa bure na msije mkashangaa mpaka baba yao akiwatamani watoto hao(kimapenzi )" jueni kuna vitu vingi sana ambavyo vinamatamanisho ya kimapenzi kwa wanaume" anyway " ni hayo tu kwa leo kwani huyu mtoto wa Will Smith nilivyo ona picha zake hizo .ndo kanikumbusha hii mada ya WATANZANIA KUWAVALISHA WATOTO WAO WAKIKE MAWIGI YA WATU WAZIMA..JAMANI WACHENI WATOTO WAKUWE KIUTOTO NA KUENDANA NA MSIM"
Habari na Miss FB Flora Bahati Lyimo"
Picha na Mail online"

No comments:

Post a Comment