KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 25 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * THE TANZANIA -LONDON QUEEN OF STYLE MISS FB FLORA BAHATI LYIMO DANCING THIS SONG P Square Ft Akon & May D - Chop My Money [Official video] AT O2 ARENA 23/06/2012" WHAT'S A DANCE!!












 
Miss FB Flora Bahati Lyimo SHOES BY : STEVE MADDEN Get your Designer Shoes at *YOU BEEN SNAP BLOG* When you cant find it there!! Tell:07405584555" Email: flo1974@btinternet.com

7 comments:

  1. Miss fb fashion police wa wabongo ..wacha nikupe yalotokea mle kwenye ile harusi ya happy. mwanzo nachukulu mlivyo wachamba siku ile kwenye birthday ya muu beka,yani nyie niliwaaminia chezea nyie ,eti mbona kwenye halusi yako haujatualika na unakaa na sisi hapa kutuchekea chekea unafiki na facebook kujifanya friends kumbe kanafiki usikaona kapole kale na anna wake ..hahahahaa they didnt know that was coming didn't they " na kweli vidonge vyao mliwapa..sasa basi kule halusini juzi kulikuwa vituko mijitu iloalikwa ni ile mimbeya na michawi yote ...na peter .a.k.a mr DIDDLES alipendeza na hongera kwa kumfunza kuvaa and the rest of wabongo uk ,thanks to miss fb fashion police!!ila lile lilemavu lichawi lake ndo limemuaibisha na lismile lake la uchawi kakaukaa kama mti wa mnazi bila minazi ...mbuta naanga"

    ReplyDelete
  2. heee miss fb i love huu wimbo pia jamani thanks mama na kweli unajua kujipa milaha ,chop chop chop the money ndo mambo ya wachagga kudadadeki"

    ReplyDelete
  3. MTI MKAVU A.K.A MCHAWI KIGAGULA KL TUKIO YUPO AKICHECHEMEA KWA KUTAFUTA MAUMBEA NA UROHO.MTU MZIMA OVYOOOO MWANAMKE NYAMA NA MAKALIO.UNACHEKESHAJE KINYAGO USIOJIJUA NIMEKUACHIA MAKOMBO KULA FISI MKUBWA HUNA MVUTO.

    ReplyDelete
  4. MBUTA NANGA!! ..ndo hayo eee,jamani kwa kweli mie sina muda na mijitu ovyo mwanzo nipo full booked kwenye shughuli za wenye kufanya kweli na wasiokwenda kwenye shughuli kulala na kutafuta maumbea na KUVAA WALA USIPIME.....YAH .tuliona tumuambie LIVE FACE TO FACE ...UCHOYO WA NINI SASA NA HARUSI YENYEWE YAKUCHANGIA KUDADADEKI ALAFU hakuona aibu eti alituambia wanakamati ndo wanaalika watu ....na siyo yeye ,,sasa HARUSI GANI UNAPANGIWA MARAFIKI ZAKO WA KUALIKA ?? Harusi niB -HARUSI KUALIKA WATU WAKE NA BWANA HARUSI KUALIKA WATU WAKE NA VILE VILE WENGINE KUALIKANA HASA PALE AMBAPO HARUSI HIYO NI YAKUCHANGIA MICHANGO "WHICH IS GOOD (KUCHANGIA) AND THAT WAY ITS HELP THINGS TO BE JUST THE WAY YOU WANT " AND DONT FORGET THE DRESS CODE" NA HAO WANAKAMATI NDO KINA NANI TENA ??..HEBU WARUSHENI HEWANI MIE NITAWAPACHIKAJE" DAWA YA WANAFIKI NI KUWAPAKA BATA ADHARANI" CHEZEA SIE " hahaa NYOTA ZA YOU BEEN SNAP BLOG mmenichekesha sana maana on that day ya Birthday ya muu hawakujua tungewaambia UNAFIKI WAO HADHARANI!!!!

    ReplyDelete
  5. ahahahahhha chezeyaaaaa miss fb safi sana umejitahidi na umependeza kinoma noma plz naomba husiassociate nahao watu tafadhali ni waswahili waliotokea vijijini wakajikuta london sasa wanataka kuleta ushamba wao london pwiiiiiiiii ndio maana ata wakiludi dar hakuna wakuaangalia maana wanaenda dar kurenew matimbwili yao nahao wanaume kufata totoz za dar wanafkiri wanaume rahisi tu kupata na misura yao kama masokwe

    ReplyDelete
  6. mie nakupenda sana floraaaaa uko jhuuuuu mamy naona sijaona waleee ndugu zako wa ng'ambo frora mi nasubilia hizo picha nataka nijue mchaga ulikuwa wapi?hadi ukakosa mnuso wewe kiboko uarikwe husiarikwe upo tu

    ReplyDelete
  7. kwani hao wanaume wamelala usingizi? na wenyewe wanataka wadada wa mjini wajanja wanaokubalika ndo maana wakipata wadada wasoisha mautam wanakamatia hapo hapo. Halooo mwanamke kuji-keep na siyo kuhangaika na waganga mtamaliza nauli zenu bureee kwa kukimbilia kuloga kusologeka. Mbuta nanga wachagga hoyee.

    ReplyDelete