KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 25 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * TODAY 25/6/2012 NI SIKU YAKE KUU ALIPOZALIWA MTANZANIA WA UKWELI MWENYE KUPENDA MAENDELEO SIYO KWAKE TU BALI KWA WATANZANIA NA ULIMWENGU MZIMA WILLIAM J.MALECELA " SOMA MACAHACHE ALOYASEMA MARA TU,ALIPOCHAGULIWA KUWA MUWAKILISHI WA WAZAZI " FLORA BAHATI LYIMO SO PROUD OF YOU AND WISHI YOU A VERY HAPPY BIRTHDAY BE BLESS ALWAYS" LE MUTUZ!!!

@ W'S EXPERIENCE: Ok let me break it down, ha! ha! ha! LE Mutuz jana nimechaguliwa kuwa muwakilishi wa wazazi wote wa kata ya Kivukoni, including Rais wa sasa wa Jamhuri, Rais Mstaafu Mkapa; Meya Masaburi; Waziri Mkuu mstaafu Warioba; Waziri Mkuu mstaafu Malecela; The great Manji; The great Rostam na wengineo wengi sana viongozi wa zamani na sasa wanaoishi eneo hili la Ocean Road, Seaview, Ikulu,... na Upanga; wote ninawawakilisha kwenye mkutano mkuu wa Mkoa!!
- HOPE NIMESAIDIA SOMEHOW MAANA LIMEKUWA NI SWALI KUBWA SANA SINCE JANA NA PIA NAGOMBEA TENA ON THE CCM'S SIDE IN TWO WEEKS SO THE CAMPAIGN IS ON NAWASHUKURU SANA ALL MY CAMPAIGNERS love you sana people na I believe in you, ndio kwanza tumeanza!!! - Willie!!


@ W'S EXPERIENCE: Hakuna binadam wanaokera kama WANAFIKI; wanakutafuta wakiwa na shida tu; sasa wamesikia nimeshinda kidogo wameshaanza tena, niliposhindwa EAC wakaingia mitini leo nimewashitukiza na kugombea Mkoa, haoo wameanza tena mbio kama sio wao! tena bila hata aibuu!! ha! ha! ha! ha!
- JAMANI NINAWAJUA WOTE WALIOSIMAMA NA MIMI HATA BAADA YA KUSHINDWA EAC, TENA NAWAJUA KWA MAJINA; WALE WANAFIKI WACHENI JUST GO SIWAHITAJI KWENYE MY LIFE AND I MEAN IT, NENDENI SALAMA NA MIMI MNIACHE KAMA WAKATI ULE MLIVYOKIMBIAAA! HA! HA! HA! USIKU MWEMA PEOPLE!! - William.

For more of Malecela go to www.williammalecela.blogspot.com

4 comments:

  1. Flora luv you my sister na ubarikiwe sana na MUNGU WA MBINGUNI; THAANKS SANA MTUWANGU!!

    WILLIAM JOHN SAMWEL MALECELA.

    ReplyDelete
  2. Flora Malecela is a very good friend of mine and indeed Im so happy to see you wishing him a happy birthday in your blog .it show me how much you care flora bahati lyimo .I LOVE YOU FOR THAT"

    ReplyDelete
  3. happy birthday super Malecela"

    ReplyDelete
  4. HONGERA SANA MY BROTHER I WISH YOU ALL THE BEST"GOD IS WITH YOU"ALWAYS"RESPECT"!!

    ReplyDelete