KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 9 July 2012

* IN FLORA LYIMO BLOG* MATOKEO YA HARUSI YA RAYA REGINA SAID & TERENCE WALKER ILOKUWA KIHOLLYWOOD STYLE AT THE HILTON HOTEL IN READING TAREHE 7/7/2012 "DRESS CODE: WAS BLACK ,WHITE AND RED FOR THE SPICE OF LOVE" HII NI (ALBUM 1 )YA MAPOZI YA KUTOKA KANISANI TU!!

 NDO HAPA SASA MAMBO YAMEANZA KUNOGAA KWA UPANDE WA BWANA HARUSI ZAIDI ..MAANA YEYE NDO AMCHUKUA DADA YETU " aaah" nani atatufulia nguo na kutupikia tena"" MBUTA NANGA""
 THE BLESSING ZIKIENDELEA""

Hapa ndo wanakwenda kufanya kweli..kutia saini makaratasi yao muhimu"ya mpaka kifo ndo kitakachotutenga" RUWA MANGI" BLESS YOU ALWAYS MY DEARS"






HOW ROMANTIC" DO IT AGAIN AND AGAIN MY DEARS"

THE SMILE SHEMEJI KUMBE KAKA ALAN KALINGA HAKUKOSEA eeeh!! yani hapa ni walipotoka kanisani tiyari ni MR & MRS .na kwenye kutia vitu vya nguvu waloandalia wageni wao " ndo Kaka Alan Kalinga katutobolea siri hii" HE ALWAS SMILLING "


Ndo mtoko wa kanisani"

OM HEART !!YOU LOOK GORGEOUS RAYA DEAR!!Say:the mpiga picha maarufu mbeleni mwao"


 Look of going kupiga picha za mapozi ya Nguvu na Maharusi wetu""










I LOVE HER BOUQUET" BY APPOINTMENT ONLY DESIGN"




HAPA WAS A BIG SURPRISE TO HER HUBBY" DA' RAYA kwa kweli this was so lovely yani shemeji yetu alifurahi mno maana hakuwa kamuonyesha mpaka hapa kama unavyoona pichani" Mkononi"Look My Hubby YOURS FOREVER!!
LOOK PINGU ZETU ZA MAISHA" WE ARE MR & MRS WALKER"


HAPPY PEOPLE (L) SALOME JONES NA FLORA LYIMO FASHION POLICE"a.k.a. FLORA LYIMO BLOG" Kudadadeki sijui hata nijiite nani siku izi" Ruwa Mangi "
Nyota zangu za FLORA LYIMO BLOG "ASANTENI KWA KUWA NAMI KWA VYOVYOTE " PAMOJA TUTAFIKA MBALI SANA!! I LOVE YOU ALL"

 LETS GO OUTSIDE.....HOW LOVELY !!!



 RED THE  SPICE OF LOVE IN THIS WEDDING "LOOKING STUNNING!



Hahahhahaaa, Huyo kijana wetu mdogo hapo alituchekesha sana ,watu wanapiga picha yeye katokea from no where kajiingiza hapo na kanuna nika muuliza whats up Man ? akaniambia kuna watu watano wamemkasirisha " na hataki kuongea nao"
"Mbuta Nanga"


MBUTA NANGA" NANI KANYIMWA PIPI!!!



 The Angel with the Spice of Love Red satin Ribbon on their Dresses" You got to love It"



 MISS FB FLORA BAHATI LYIMO (L) a.k.a FLORA LYIMO FASHION POLICE AKIWA NA ANGELS OF THIS WEDDING "HOW GORGEOUS!!!



FROM (L) COLLING MAMA NA KAKA MDOGO KELVIN " HOW GORGEOUS!NAO PIA WALIVAA RED THE SPICE OF LOVE "



MADADAS WALOSIMAMIA HARUSI NA B'HARUSI WITH FULL RED THE SPICE OF LOVE KWENYE HARUSI HII" KWELI WALIPENDEZA MNO" LOVE EVERYTHING!!


 HAPA WAKIWA NA FLORA LYIMO FASHION POLICE AND BLOGGER WA MISHAPO NA MAPICHA YA MAUKWELI"


I LOVE PICHA HII..I LOVE YOU DA'RAYA AND THANKS EVER SO MUCH FOR EVERYTHING " YOU ARE SO BLESSED NA UTAZIDI KUBARIKIWA "

 CHEZEA SIE ,MAPOZI TUKIELEKEA KANISANI "



CHEKA WEEE...NDO MWENDO WA KWENDA KANISANI "
(L) FLORA LYIMO FASHION POLICE AND JACQUELINE VINCENT"

WHATTTT---WE CANT HERE YOUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!


WATOTOZ WAKITANZANIA BY DAY"







 MY SHOES MY SHOES CAN YOU SEE THEM!!!I LOVE STEVE MADDEN SHOES" AND YOU CAN GET THEM FROM FLORA LYIMO BLOG" TELL 07787471024"




 PICHA ZA PAMOJA NA HABAKISHWI MTU NNJE WOTE NDANI NA TUMEWAKILISHAJE









This was more like it kwa kweli Harusi ya Kihollywood ambayo hata mtu akinyimwa kadi aisee ata MIND" yani kama hukuwepo ni kwa sababu zako binausi lakini kwa kualikwa ,Da'Raya kamualika kila mtu HATA KAMA ULIWAHI KUMCHUKULIA,KUMTILIA MAFITINA AU CHOCHOTE KIBAYA  KAWAALIKA"KWELI RAYA MY DEAR YOU ARE SO BLESSED NA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI "HASA WAKATI HUU WAKUINGIA KWENYE MAISHA YAKO MAPYA YA NDOA" LOVE YOU ALWAYS "AND ONES AGAIN CONGRATULATIONS MY DEARS" 
Picha na FLORA LYIMO BLOG* a.k.a FLORA LYIMO FASHION POLICE" a.k.a. The LADDY GAGA OF TANZANIA .hhahaa,jamani nimajina mangapi mtanibatiza!!! MBUTA NANGA"

2 comments:

  1. HAPO KUCHUKULIWA UMENIKUNA,WE HAKUCHUKULIWA KIZURI CHAJIUZA KIBAY CHAJIPENDEZA HABARI NDIO HIYO...

    ReplyDelete
  2. love your blog flora and was nice to meet you mami...xx

    ReplyDelete