KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 3 September 2012

*IN FLORA LYIMO BLOG *FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 03/09/2012" THIS TIME IS FOR DEZO!!



HAYA NDO MAMBO YA  CHAMPAGNE SHOWER PARTY " !!MBUTA NANGA"
Flora Lyimo Fashion Police:
This is what I have to say about DEZO my dears ...Yani ni kwamba unapokwenda sehem au niseme kwenye shughuli na unajijua wewe mwenyewe huwa wanywa nini na kiasi gani cha pombe (Alcohols) Ni marufuku kuziparamia pombe ambazo umezikuta mezani au umenunuliwa na mtu au watu ambazo wewe mwenyewe siyo kinywaji chako , na pia unapo anza na kinywaji chako na kumalizika basi wewe endeleza na maji au any soft drinks. hivyo hutaishia kuzimika ovyo kama huyu dada mnae muona hapa pichani ,huyo alikujaje na kishindo kwenye Birthday CHAMPAGNE SHOWER YA Fathiya na Juliet" yani it was nomaa..walokuwepo wanajua hilo na msokuwepo sasa oneni picha na maneno ya msema kweli wenu daima Flora Lyimo Fashion Police" yani mimi nilimtizama alafu nikasema kimoyoni wewe subiri tutakuonyesha kwamba mbio za sakafuni huishia  ukingoni .yani alianza kuzi changanya changanya na mwisho wake ndo hiviii"
Mwajua kwamba kuna watu wengi hasa wanaume ambao wanatabia ya kukununulia vinywaji ambavyo wanajua kwamba hutoviweza ni vikali na hivyo watapata nafasi ya kukuingilia kwa kila aina yani ukiwaambia unachotaka wewe hawatakununulia bali wanachotaka wao ..so jihadharisheni kabisa my dears" mie kama sija kula mwanzo hutoniona nikianzana na mbege (Pombe)yani nitahakikisha nimekula kwanza na ndiyo nianzane nazo na ziwe zile nazotumia na siyo zili zilizopo mezani tiyari just kwasababu ni bure " no way"na vile vile siendi kokote kama sijui nina kila namna ya kutoka ,pesa za kutosha pombe yangu na taxi home " Always!! anyway ni hayo tu kwa leo ila samahanini sana NYOTA ZANGU ZA *FLORA LYIMO BLOG *kwa kuadimika kwani nina mambo mengi mno yani nyie acheni msitake kutafuta mizani"

No comments:

Post a Comment