KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 25 September 2012

*IN FLORA LYIMO BLOG* MISSY TEMEKE AITETEMESHA WASHINGTON DC( NA BADO) ANGALIA HER FAB DESIGNER ZILIZO ONYSHWA WAKATI WA DINNER FUNDRAISER ILIYOFANYIKA TAREHE 23/9/2012"KWENYE UKUMBI WA KEYSTONE ROOM EAST AVENUE NW WASHINGTON DC!!

 Proud Moment!! Watanzania bila Upendo na Umoja kama hivi " TUMEKWISHA"
 Mwanamtindo wetu Missy Temeke na wanae.wakijionea matokeo ya michora ya mama yao anayoichora chora wanapokuwa wanamcheka " mama unachora nini" sasa wanamuambia MAMA WE ARE SOOOOOOO PROUD OF YOU!!















 Mavaazi yakijionyesha Nyuma na mbele!! kazi kwenu wateja "kilichobakia ni pesa zenu tu"


Hayo ndo mambo ya yalotokea huko Washington DC kwenye Dinner na Fashion Show ya Missy Temeke huku mgeni wake rasmi akiwa ni Kaimu wa Balozi wa Tanzania Mhe.Lilly Munanka "
Flora Lyimo say:
I so Proud of her kwa kweli .yani NAPENDA SANA KUYAONA MAENDELEO YA WATU HASA WATANZANIA WENZANGU" MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KAZI ZA MIKONO YAKO MY DEAR MTANZANIA DESIGNER MWENZA ""

No comments:

Post a Comment