KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 4 November 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* COMMONWEALTH FAIR 2012 (album 1) ILINOGA SANA! ASANTENI SANA NDUGU ZANGU WATANZANIA KWA KUFIKA NA KUNIUNGA MKONO KWENYE KUIWAKILISHA NCHI YETU TANZANIA IN THE COMMONWEALTH FAIR 03/11/2012 KWA KUPIKA (MACHALARI ) GREEN BANANAS NA VYAKULA VINGINE PIA VILIKUWEPO BY : Faridah Gullam"NA WIFI YANGU JULIET" VILE VILE KUSIMAMA IMARA NA NCHI YETU TANZANIA..MTANZANIA HALISI NI KAMA NYIE MSOJALI UMBALI MTAKAO SAFIRI NA GARAMA MTAKAZO TUMIA ,,ILI MRADI KUHAKIKISHA NCHI YENU IMEHESABIWA KATIKA NCHI ZILIZO HAI" NA BILA WATU KAMA NYIE NA MIMI HAPA FLORA LYIMO NIIPENDAE NCHI YANGU BILA MAELEZO "NCHI YETU TANZANIA INGEHESABIWA KAMA NCHI ISIYO HAI,GOD BLESS YOU ALL AND BLESS TANZANIA .AMEN" RUWA MANGI" I DID IT FOR LOVE.YES I DID!!

 Mteja wangu wa kwanza alikuwa Mzungu wa Ukweli you know..Muingereza!! na siyo Mtanzania kwa hiyo nyie wote Watanzania hasa wale mloniambia mwaja na hamkuja sikupungukiwa na kitu tena ndo nimekuwa juu juu zaidi maana I DID IT FOR LOVE" na MUNGU NDO HUWA ANANITUMA KWA NJIA ZAKE ZA PEKEE AMBAZO NAZIJUA MIE!! Poleni sana ila ushauri wangu kwenu" JIFUNZENI KUPENDA NA KUTOA ZAIDI" hii ilikuwa kwa ajili ya Charity:secondary school Sponsorship Scheme for Girls (Registered charity no:1048908"
 So did you cook that Machalari yourself "YES " And I can cook many more Tanzanian Food "even English Food-fish and chips..Hahahhahaha..alichekaje Mzungu Muingereza huyu" 
 Mzungu huyu ndo wakwanza kununua Machalari kwa mapishi ya Flora Lyimo" hapa nikimpakulia katuliaje.ndo mambo ya Mama Ntilie ee! Mbuta Nanga" Usikae mbele uwazibe wenzako!!
 Poleni picha haijatokea vizuri vile naona Camera haikumpenda mpiga picha" anyway ..kama mwaona hapo pichani wazungu wakiwa wanaongezeka kununua Machalari FOR TANZANIAN'S"Tupo JUU" na Flora Lyimo yupo kwa Ajili ya kuhakikisha Nchi yake Tanzania inahesabika kwenye Nchi zilizo Hai"

 Our Princess Mmoja wapo wa Watoto wa Balozi wetu hapa Uk nae hakuwa mvivu kubaki nyumbani ,alitokea tena na vaazi lake la kuiwakilisha Nchi yake Tanzania"I love everything yani she going to be the next "Fashion Police forTanzanian" Chezea Yeye anafanya kweli kama Dada yake kwa (Utanzania)zaidi "Flora Lyimo Fashion Police for Tanzanian zaidi" 
 Its all about THE PRINCESS LOOK!! ON POINT HASWAA"


 Flora Lyimo .a.k.a. Fashion Police (kushoto) nikiwa na Baadhi ya Familia ya Balozi wetu hapa Nchini Uingereza!! Asanteni sana kwa kuungana na Baba na Mama yenu kuja kuiwakilisha Nchi yetu Tanzania"

 Balozi wa Tanzania hapa Uingereza na Baadhi ya Watoto wake" The  Kallaghe Family" at our Tanzanian Food Stall ndani ya Commonwealth Fair 2012"
 Deputy Chairwoman :Mrs Joyce Kallaghe-Tanzanian Fair Chairwoman" akiwa kwenye Tanzanian Food Stall akionja mahindi ya kuchemshwa" sweetcorn kwa mapishi ya Flora Lyimo"

 Lady Faridah Gullam (Rocking Headband in Tanzanian colour hand crochet by: Flora Lyimo"Naye alikuwepo kuiwakilisha Nchi yake kwa Kupika "Pilau " Hongera sana my dear na pole sana kwa usumbufu uloupata ( London na Magari ni Nomaa" Ndo maana mimi sipendi magari kabisaa!!Ila napendaje kuendeshwa kufika ndo usipime (Traffic na parking ni nomaaa"
 The Designer na Mtanzania halisi akionyesha the work of her Hands" Flora Lyimo wool frame in Tanzanian Colour"na Headband also zilikuwa zauzwa at the Commonwealth Fair na zapatikana kwa Rangi nyingi kwa Chaguo lako"
 Juliet a.k.a. wifi yake Flora Lyimo akionyesha wateja Machalari"huku akiwa ameivaa Headband ilotengenezwa na Flora Lyimo"in rangi za Bendera ya Tanzania"




 Hapa picha iligomaaaaaa" The Proud UK Balozi for Tanzania  akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania wanaojiamini kwa Umoja na Upendo wa Nchi yetu Tanzania "



 Flora Lyimo(kikazi zaidi akimpakulia mteja mteja alopendelea Pilau " Karibu sana mteja next tena kutakuwepo na kisusio pia" Mbuta Nanga"



 Kula wifi yangu upate nguvu kwani mwili haujengwi kwa kokoto"







Happy and Proud Tanzanians wakiwa kwenye picha ya Pamoja na Balozi wao hapa Uingereza"
Msikose kurudi hapa kwenye hii Blog yenu ya Maukweli kuona album 2 na vile vile kumsoma Flora Lyimo your Fashion Police: juu ya mpango mzima wa hii Commonwealth Fair 2012 hasa ni kwanini anaamini Watanzania wengi ni wanafiki na vile vile huangushwa na wale wenye roho za tamaa na za kwanini"Wacheni kufikiria Umasikini " yani mtu hata umetoka kwenye familia yenye uwezo bado unawaza umasikini ? Ruwa Mangi jamani hii ni aibu sana tuwazeni Utajiri na Tutatajirika na kuwatajirisha Watanzania wenzetu wote" hivi mnakumbua NYMBA ZA BLOKU NA NYUMBA ZA UDONGO ?Ni wangapi wenu mlozaliwa kwenye hizo nyumba za Bloku na mpo wapi sasa hivi na mnafanya nini ? na je ni wangapi mlizaliwa kwenye nyumba za Udongo mpo wapi na mnafanya nini ? Mimi huwa na Mshukuru Mungu sana kwani yeye ndo kimbilio langu na yeye ndo anaye wapa watu riziki zao na kunipa riziki zangu vilevile"kumbukeni kwamba alokupa wewe hiyo nyumba ya Bloku ndo alompa yule nyumba ya Udongo " wacheni ni waambieni kitu kimoja na cha muhim sana ..hakuna kitu kizuri kama kuzaliwa kwenye hizo nyumba za udongo au Familia za umasikini ,nikisema umasikini ni wale wenye zile nyumba za udongo huona wao ni masikini " BASI ATAKAPO FANIKIWA NA KUJENGA ILE NYUMBA YA BLOKU"
Aisee sijui ni waambieje RAHA ANAZOZISIKIAGA" Yani ni raha zisizo na kipimo .asiwadanganye mtu wale wote mnozaliwa kwenye hizo familia za utajiri (majumba ya Bloku) hamtakuwa muwe na raha kama wale waliozaliwa kwenye umasikini(nyumba za Udongo ) na kujikuta wakijenga wenyewe kwa bidii zao bila yale waloyakuta kwenye Familia zao" Raha ya Maisha nikujitafutia chako kwa jasho lako"
 Flora Lyimo Book about her Life kinatoka soon kaeni mkao wakumsoma Flora Lyimo" Mbuta Nanga"

No comments:

Post a Comment