KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 14 January 2013

BREAKING NEWS TO FLORA LYIMO FASHION POLICE * KUMBE NILIPITWA SANA NA MAMBO MABISHII " JESTINA GEORGE ALIOLEWA ?" MUKE YA KING MZUNGU KATE DUCHESS OF CAMBRIDGES ANA MIMBA" HEBU NIPENI HABARI KAMILI NYOTA ZA FLFP" NINI TENA KINGINE KIMENIPITA !! MBUTA NANGA"


Pregnant Kate and William, pictured outside hospital, joined the rest of the Royal Family for a belated Christmas celebration on Boxing Day
Pregnant Kate and William, pictured outside hospital earlier this month, joined the rest of the Royal Family for a belated Christmas celebration on Boxing Day"
The couple were driven the 155 miles from Kate’s new family home in Berkshire to East Anglia, a journey which takes around three and a half hours, by their Scotland Yard police protection officers.
William, 30, then joined his grandfather and other relatives for a morning’s hunting while Kate, who is in the early stages of pregnancy, opted to remain at the house with the Queen as it was pouring with rain. The monarch has herself only just got over a heavy cold.
But they did join their menfolk for a slap-up lunch at Wood Farm, a small lodge on the 20,000 acre estate, for a hearty lunch, chauffeur driven in a fleet of Land Rovers.
The meal was laid out in a conservatory area to the rear of the house and included cold meats, soup and flasks of steaming hot toddy, although clearly the Duchess stuck to soft drinks.


The one & only Muke ya Dullah Meru aka Mama Iman.
Ak.a. JESTINA GEORGE" In Tanzania 2013"Kama wengi tunavyomfaham.yani Mimi bado sijapata Picha ..kwa hiyo ikawaje waje ..Dullah Meru katokea wapi tena Gafla jamani ..Mimi nilikuwa nimejiandaa kwenye Harusi yake in Bongo na Baba Iman"MBUTA NANGA" Ama kweli ndo YALE NILOSEMA MAPENZI YA MBALI  ETI MTU UWE TZ NA MWENZIO AWE UK,,Alafu Ujidanganye una MKE/MME/MCHUMBA"ni ya CHUMA NILETEE" UWONGO MTUPU"
Haya nipeni HABARI JAMANI" WAJUA NI VIZURI KUJIFUNZA KWA YALE TUNAYOYAONA""NOTHING  "" BAD " MBAYA "

Ukiwa na chochote kuhusu Flora Lyimo Fashion Police: WhatsApp: 07787471024 OR Wacha Comment yako hapa: / YOU BEEN SNAP BLOG  COMMUNITY PAGE FOR ACCESSORIES"

4 comments:

  1. Well done you. It takes a lot of research and decication
    to be that skilled.. Silver can manage a range of medical
    conditions such as burns and indigestion.
    Silver coins have the ability to blend with commerce and
    can be liquidated for cash.

    Review my homepage :: buy gold ira
    Check out my web page ... buy gold ira

    ReplyDelete
  2. Nyoooo mmeshushuka shuu including you si mlikuwa mnamsimanga hana makaratasi na kumkashifu mwenzenu anawachora tu yuko bongo mnabaki na ma aibu kw akusema uongo mamamaee zenu next time mkiongea kitu muwe na uhakika shenzi taipuuu

    ReplyDelete
  3. Anonymous....of 23;32..JAPO HAPA UMEACHA COMMENT YAKO KIMATUSI,,nimeiachia bila KUKUOGOPA NA PIA KUWAOGOPA WALE WOTE AMBAO WATAKAO ACHA COMMENT ZAO ZA MATUSI ,,,,HII NI YA MWANZO NA MWISHO YA MWAKA HUU...KWANI NIMESEMA SITAKI KUTUKANANA NA MTU WALA KUMCHUKULIA MTU MME WAKE WALA KUFANYA CHOCHOTE CHA KUMKASIRISHA MUNGU KWA MAKUSUDIO YANGU..OK" Kwahiyo kukujibu ni hivi ..KWANZA: Elewa Hakuna Mtu yoyote anayeshushuka kwa Pale mwengine ameolewa na Mme asie wake(Tena inavyojirekodi MWENYEWE WAKE NA SIYO MKE)BY THEWAY SIONGELEI HUYO MME WA JG" HILO NILAKUWEKA PALE LINAHUSIKA,nami umenichanganya humo..huyo Mwanaume siyo wangu na nitashushuka kwa lipi ??..Lingine kuhusu MAKARATASI ..JE UNAFAHAM KUNA WATU WANGAPI WANASUBIRIA HAYO MAKARATASI MIAKA MPAKA HAMSINI IMEPITA NA MAKARATASI HAYO WAMEYAPATA MWAKA HUU,MWEZI BAADA YA MWEZI WENZIO WENYE KUSIKIZWA SALA ZAO NA MUNGU WANAPEWA MAKARATASI HAYO NA BONGO WANAENDA OVER NIGHT...SO WACHA UJINGA KUJIFANYA WEWE UNAJUA MAMBO YA MAKARATASI NA KUTUKANA WATU ETI ALIKUWA ANACHORA WATU ,,NYOOO..WEWE NDO ALIKUWA ANAKUCHORA LABDA MAANA WENGINE MPAKA COPPY ZA MAOMBI YA HAYO MAKAATASI WANAYO ,AND IM NOT TALKING ABOUT JESTINA HAPA..NAONGELEA WOTE WENYE KUJUA HAWANA MAKARATASI WANAJIJUA NA WANAYASEMA KWA MARAFIKI AMBAO HAO HAO NDO WANAWAJEUKA NA MPAKA KUWACHONGEA UHAMIAJI.UPOO..SO WEWE NJOO TENA KWA LINGINE NA SIYO MAMBO YA MAKARATASI ,,WEWE JIULIZE MWENYE MAKARATASI HAYO LINI ALIENDA TANZANIA MARA YA MWISHO ?? NA JE ALIENDA NA MAJINA YAKE KAMILI ,AU ALIOLEWA GAFLA ? TENA KISIRISIRI ??...PILI :: BONGO MIE NATOKA HUKO JUZI NA NIMEKAA HUKO ZAIDI YA MWEZI NA BADO NAENDA NA NITAZIDI KWENDA POPOTE NIPENDAPO'MUNGU AKIPENDA , MWENYEWE KUBAKIA NA AIBU NI WEWE MAANA MPAKA UNAJIFICHA HATA JINA LAKO NA SURA UMEIFUKIA SHIMONI HEWA CHAFU NDO INATOKA TUUU...KAAA HUKO HUKO MAANA HUNA JIPYA WALA LAKUNIPASHA NILILOLIPITWA MIE..WAKO FLORA LYIMO FASHION POLICE.HERE WAITING FOR YOU KUFUFUKA..MBUTA NANGA..CHUNGA MWAKA HUU NI WA ODD" SITAKI MABALAA NISHAENDA KWETU KUBARIKIWA NA MAPADRI NA MASISTA MIE..IM GOD'S GIRL !!! NA WALE WENYEWE KUNITENDEA MABAYA WAKAE WAKIJIANDAA KWA MALIPO MAANA MWAKA HUU WATACHAPWA NA FIMBO YA MUNGU MPAKA WAKOME UWATESA WATOTO WA WATU NA WENZAO ..USIENDE KWA MGANGA HATA SIJU MOJA KUMTENDEA MWENZIO MABAYA..JUA SIKU IZI KUNA MAOMBI NA ULOMTENDEA MWENZIO YANAKUGEUKIAA....TUZIDISHIANE MAOMBI WATU WANGU HASA WATUMISHI WA MUNGU ,AMEN....

    ReplyDelete