KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 20 January 2013

DAR ER SALAM TANZANIA POLICE WANAKAZI KUBWA YA KUWAFAGIA WANAWAKE WOTE WANAOJIUZA .SASA HAWA HAWAJAFICHA SURA ZAO NA NI WAKE ZA WATU NA WAFANYAKAZI WA MABAA" SOMA MAONI YA FLORA LYIMO FASHION POLICE JUU YA KUJIUZA KWAO!!



Kwa kweli Kwa mtizama na aibu hii Aisee wataacha kujiuza ikiwa wao wenyewe wanaona ni aibu na pia
fedheha kwa familia zao" Wajua mimi naona boraPolice huko Tanzania wafanye kama vile huku Ulaya walivyofanya kama sijakosea HUKU ULAYA WALIANZA KUWANASA WANAUME WOTE AMBAO WANASIMAMISHA MAGARI NA KUWABEBA AU HATA WANAOPATIKANA WAKIWATUMIA HAWA WANAWAKE/KINADADA KWA NJIA YA UJIUZAJI KWAO" Mimi naona WANAUME WAANZEKUSHIKWA SASA NA WAWAACHE HAWA WANAWAKE..KWANI HAO WANAUME NDO WANAWAPA PESA"FLFP"Say NAWE ACHA MAONI YAKO ,HAVE YOUR SAY:WhatsApp +44 7787471024.
HII NI AIBU NA PIA NI WAJIBU WA NANI?? 
Hawa inavyosemekena ni wake za watu na walikuwepo  13 walionaswa wakijiuiza, kwao imekuwa zaidi ya kuumbuka, wametia fedheha ndani ya familia zao. "Wake hao za watu, walinaswa usiku wa Jumanne iliyopita, Barabara ya Shekilango, kuanzia Afrika Sana mpaka Mori, Sinza, Dar es Salaam, wakati jeshi la polisi lilipofanya msako maalum wa kushtukiza. Pamoja na wake hao za watu, vilevile wanafunzi 18 wa vyuo mbalimbali nchini, mahausigeli saba na mabaamedi watano, arobaini yao ilifika siku hiyo, walipokamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Kijitonyama, Mabatini kabla ya kupandishwa kizimbani, Mahakama ya Jiji siku iliyofuata.
FLFP.anasema ASANTE KWA KUSHEA PICHA NA HABARI HIZI "

4 comments:

  1. I appreciate, lead to I found just what I was taking a look for.
    You've ended my 4 day long hunt! God Bless you man. Have a nice day. Bye
    Check out my web-site ... online roulette for real money

    ReplyDelete
  2. Flora unafaham unaakili sana,,na ndo maana nakupendaga huwa sikosi kukufuatilia mishapo yako ya maukweli mtupu..hata mimi nakuunga mkono hapa waanze kuwakamata wanaume wote aisee Wazo nzuri sana flfp big up,

    ReplyDelete
  3. I could not resist commenting. Perfectly written!
    Feel free to surf my website : make money online work at home

    ReplyDelete
  4. Wonderful wоrk! Τhis іs the tуpе οf info
    that are supροsed to be shareԁ acrosѕ the intеrnet.
    Shаme on Goоgle for not рositіoning this
    put up uppеr! Comе on over and consult with my site .
    Τhanks =)
    Feel free to surf my blog post ... revisor

    ReplyDelete