KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 17 January 2013

Shikamoo Dada Flora.a.k.a. Fashion Police ,dada ulikuwa wapi tumekumisi sana ila naona ulikuwa kwenu uchagani kuhesabiwa.Hebu turushie hizi picha kwenye blog yako huyu Lulu Clara mtoko wake wa December 2012 at Milton Keynes " Unauonaje kama Flora Lyimo Fashion Police wa Ukwe.asante dada nakuamini na karibu sana London tunakuhitaji kinoma"



Mr & Mrs..Mwanamke kujiamini!!

Lulu (kulia)mwenye Sidiria Nyekundu kwa wale msomfaham"

Shikamoo Dada Flora.a.k.a. Fashion Police ,dada ulikuwa wapi tumekumisi sana ila naona ulikuwa kwenu Moshi Vijijini uchagani kuhesabiwa.Hebu turushie hizi picha kwenye blog yako huyu Lulu Clara mtoko wake wa December 2012 at Milton Keynes " Unauonaje kama Flora Lyimo Fashion Police wa Ukwe.asante dada nakuamini na karibu sana London tunakuhitaji kinoma"

FLFP:Say.Asante sana Nyota ya Flora Lyimo Fashion Police" Sijui nisemeje ama kweli nilipitwa ,ILa KWA MTIZAMO WA LULU ,MIE NAPENDA KUMPONGEZA KWA NENO MOJA TU..MWANAMKE KUJIAMINI.NA KAJIAMINIJE SASA NA HIYO TOP" ANYWAY ..SINA MUDA WAKUANDIKA MENGI KWA LEO " MAANA BADO NAUCHOVU NA KILA KITU KINANISUBIRIA  HAPA NAMIZIGO YAKURUSHA BONGO INASUBIRIWA " BUT YAH ENDELEENI KUNIRUSHIA NILIYOYAMISI NAMI NITAJITAHIDI KUWARUSHIENI KWENYE HII BLOG YENU YA MAUKWE...
WhatsAPP +44 7787471024 Flora Lyimo Fashion Police"
Founder"

3 comments:

  1. Miss FB welcome back London tulikumisi bwana..And I love that you went to your home village and not in town kama wengine wanaotoka majuu wanakwenda kupiga picha na magari na nyumba za watu Mijini na kwao hata hawafikii even kusalimia Jamaa zao vijijini..eti watoto wa mujini NYOOOOKONYOOKO ZAO..BIG UP Miss FB.mtu kwao hata kukiwa kuchafu au hakujajengwa yale manyumba ya Mabloku uloyataja kwenye TIMEPHOTO'S Zako za holiday in Tanzania 2012/13.Bless you Yani nimecheka sana na NIKAKUPENDA ZAIDI ..pale uliposema eti ulikuwa hujui hata Godoro ni nini na sasa unalalia magodoro mawili in one bed".hahahahaahhahha.Mbuta Nanga" Hongera sana kwa kujenga kwenu Mtoto wa kike kama wewe hakunagaa"

    ReplyDelete
  2. CCM UK..Kidum Chama Cha Mapinduzi ..AND God Bless Tanzania na watu wake, nashukuru sana na kweli Mungu ni Mwema nimeenda Home salama na kurudi SALAMA KABISA ..na nashukuru Mungu pia nimewakuteni NYOTA ZA FLORA LYIMO FASHION POLICE Blog,Well and SOUND!! me love nyie sana na Tuzidishini Upendo na Umoja..MTU KWAO NA WANAWAKE/KINADADA..JENGENI KWENU JENGEENI KAKA ZENU ILI WASIJE WAKAWA WEZI,MATAPELI ,MAJAMBAZI NA WABAKAJI" Kama vipi MIMI NA WEWE KAMA MWANAMKE TUTAOLEWA...WAO NDO WAKUOWA NA MWANAUME BILA NYUMBA ATAOWAJE..??..Ruwa Mangi"

    ReplyDelete
  3. Love her see-throughtop, anyone know where its from? looks like a zara or reiss Toz..

    ReplyDelete