KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 17 February 2013

BABA ASKOFU AMEDEUSI MSARIKIE ALIVYOZIKWA NDANI YA KANISA HUKO MJINI MOSHI TANZANIA" RUWA MANGI NKYIKYI TUPU LANYO!!

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za Mwisho mbele ya jeneza la Askofu Mstaafu Amedeusi Msarikie wa jimbo la kanisa Katoliki la Moshi wakati wa misa ya Mazishi iliyofanyika katika Kanisa na Kristu Mfalme, mjini Moshi "
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB) akitoa heshima zake za mwisho "
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Askofu Amedeusi Msarikie ambae alizikwa ndani ya hili kanisa la Kristu Mfalme mjini Moshi ,kwa kweli atakumbukwa sana na wengi. Mungu ampokee salama na ampumzishe kwa amani " Amen"

No comments:

Post a Comment