KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 12 February 2013

DINNER YA NGUVU ILOWAACHA WATU MIDOMO WAZI! VIDEO IS NEXT"

 The one and Only Missy Temeke Designer wa  Kwetu Fashion"Ndo aliye fanya kweli kumwaandalia H.E. AmbassadorMwanaidi Maajar Farewell Party nyumbani kwake" yani utadhani wapo kule white House"subirini niwarushieni Video mjionee"

 Hapa na Familia ya Missy Temeke,ndo mambo ya Home msishangae kwanini watoto hawajavaa Viatu hapa"
 Proud Mama na wanae !Yani kwa kweli ni mambo ya kuigwaa"
 Cute Kaka ee, and you can see hana Pete ya ndoa wala ya kukemea" so Tumeni CV fasta fasta Mbuta Nanga"



 Pretty Mama wetu wa Kitanzania aka Balozi Maajar"
 Mrembo wa kesho au wa leo ..kama unahitaji CV yake wasiliana nae atakuambia na hicho kihot pants cheusi chini ya Skirt yake kainunua wapi na kwanini kaamua kutuonyesha "


 Pretty na Katokeleza ee" semeni ukweli jamani wacheni wivu Ruwa Mangi"
 Cake yangu hii Mme wangu sijui tutailamba au tutaitafuna" jamani mnaiona ee"


 Hhahahaa ,subirini muione Video hii ilikuwa kichekoo,yani Mme wake badala amlishe Cake Mkewe yeye alijilishaje fasta fasta" 

 Hii Cake ni kubwa sana na kwasababu hatutaweza kuimaliza naomba mnifungie niipeleke Tanzania tangu mseme ni ya Upendo nitaikausha ili idum milele,Mimi Mwanaidi Maajar napenda upendo sana"aka Vijimaneno vya Flora Lyimo Fashion Police"



 Nakupenda mno Mme wangu Gonga ni kugongee huku macho yao yakishuhudia " Upendoooo!!
 Hii yangu hii mwaiona' yani hata nusu glasi haijafikia mwenzangu yake imejazwa haswaa!! Mbuta Nanga" nani alimbagua Kaka yetu"
Jamani picha zipo nyingi mno kwa hiyo ukitaka kuzitizama zote mtembelee Missy Temeke yupo Facebook " au subiria Video nitairusha leo leo si muda mrefu ,muda wa kuchemcha yai"

No comments:

Post a Comment