KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 15 February 2013

HARD TALK:By >JULIUS MLAMBO" HEBU NIAMBIENI WANDUGU KUNA TATIZO GANI KUA NA BUCHA LA NYAMA ILIYOCHINJWA NA WAKRISTO ?


  1. "NYAMA SAFI ILIYOCHINJWA NA WAKRISTO INAPATIKANA HAPA" KARIBUNI WAKRISTO BUTCHER.
    Hebu niambieni wandugu kuna tatizo gani kua na bucha la nyama iliyochinjwa na Wakristo? Hivi Wakristo wakiamua kuanza ugomvi wa kusema nyama iliyochinjwa na Waislamu ni kafara kuna tatizo gani? Ina maana Watanzania hawana imani kiasi hichi? cha kuamua wanachotaka? NIJUZENI
    .


    • Julius Mlambo mhh ya nn Irene Mchomvu, nijuze jamani

    • Mseli Msuya Acha udini! Kula nyama mangi.

    • Julius Mlambo Mie nala na wala sichagui ila kwa yaliyotokea huko Geita ndo yamenifanya nishangae Mseli Msuya

    • Angel Matafu Mbona hao wakina naninn! wanasemaga yama safi ilimechijwa na wao sioni ubaya hapo biashara matangazo!!!

    • Julius Mlambo Angel Matafu, hahaaa na kwel, sasa kwanini wawadunde wenzao?

    • Angel Matafu Kawaida yao wagonviiii kwa uwajuli? Julius Mlambo

    • Eng Shaban R Said ACHENI KUDISCUSS NON DEVELOPMENTAL ISSUES KUNA ISSUE ZA MAANA HAMTAKI KUZIDISCUSS HABARI ZA IMANI ZA WATU ZIACHWE KAMA ZILIVYO.

    • Alphonce Chugulu wewe eng shaban umenigusa kama unajua imani ni swala la mtu individual sasa inakuwaje hawa infidels wanalazima watu wafwate imani zao, kaeni na imani zenu na sisi za kwetu kwani mmelazimishwa kula nyama tulizochinja sisi. leo hii butcher kesho tusifuge nguruwe, kesho kutwa sharia. mambo ya mali na boko haramu na mali yalianza hivi kila kitu kina mwanzo. kwanini dini moja iwe inasumbua dunia nzima kuna tatizo tu hapa

    • Julius Mlambo Eng Shaban R Said, hili suala si kwamba halina maendeleo, kumbuka walivyopigana shughuli zote za maendeleo za eneo hilo zilisimama na suala hili linaendelea kukua siku hadi siku na sehemu nyingine zitatokea the same, "shughuli kusimama" je twajenga nchi za kiimani au Twajenga UTANZANIA? Kwangi I believe kujenga UTANZANIA ndo muhimu

    • Eng Shaban R Said Suala la kuchinja tumelikuta toka enzi za mababu zetu na hata tuishio majirani toka tuko watoto tulikuwa wengine tunaitwa kwenda kuchinja nyumba za jirani. Huu ulikuwa ni mfumo mzuri ili hata kama mimi Shaban nikija kwako naweza kula kitu chochote. Enzi zile hata kitu kitimoto kilikuwa kinaliwa sehemu maalum watu walikuwa wanashindwa kuleta vitimoto nyumbani ili tu majirani wasio tumia hii kitu wasikwazike. Sasa from nowhere watu wanaleta mijadala kutokula nyama iliyochinjwa na waislam. mlambo kwani wewe imani yako inasemaje juu ya uchinjaji wa nyama? Acheni hii mada itatuletea uadui hii kitu sio nzuri toa hii status

    • Julius Mlambo Eng Shaban R Said, mie ilimradi damu imwagike chini, nala nyama yoyote na ilichonjwa na yoyote. Suala la kusema flan na flan kachinja basi ni Haramu si sahihi hata kidogo. Huu ndo ule usemi wa wakati uleeee wa kuita nyumba flan za "Makafiri etc" si sahihi kuendelea kuuachia. Imani iwe imani ila UTANZANIA utuunganishe. Katiba ya Tanzania inasema hakuna udini ndani ya Nchi hii, kwaniyo ni lazima tuheshimu kila mmoja na imani zake lakini si KUCHINJANA

    • Alphonce Chugulu kaka shaban usiogope matako yako mwenyewe , hata ukimbie vip yatakuwepo nyuma yako tu. haya mambo yapo yanaendelea kutuumiza kwahiyo kwanini tufiche maradhi na wakati kuna tiba au unasubiri mauti. damu imwagike mara ngapi shaban, yaani simply mnakera.

    • Julius Mlambo Alphonce Chugulu, Dr Chugulu, hapa suala si la flan mbaya, ni suala la kuheshimi Katiba ya Tanzania. Tujitambue sisi ni Watanzania kuliko kufurahia kujitambua ki UDINI.

    • Mwinyi K Mwinyi hakuna ubaya.mbona cku hz kuna halaal food kwa waislam all over the world
    • Eng Shaban R Said Semeni mnayosema lakini nina wasi wasi na upeo wa kufikiria kwenu!!!

    • Alphonce Chugulu @julius mbaya anafahamika wala hatumfungii macho, watanzania hatupendi kuelezana ukweli. yeye ni mbaya tu.

    • Deogratius J. Semiono Chaajabu wakati wa mfungu wa ramadhani kiti moto inakuwa haiendi kabisa buchani unaweza kaa na kilo mia dukani ukauza kilo 5 tu kwasiku na baada ya kumaliza mfungo tu, ukifungua bucha saa kumi na mbili na nusu asubuhi saa nne kilo zote mia zimekwisha, najiulizaga sana nini huwa kinatokea

    • Deogratius J. Semiono @ mlambo nina wasiwasi na hao watu wa kanda ya ziwa kuna ambao watakuwa wanatokea nchi jirani, hao wanaoleta fujo sio watanzania,

    • Rehema Katuga hili suala halina tatizo bt ilifanywa hivyo ili tuweze kushirikina ila kama inashindikana kila mtu aachwe achinje.leo hii mie nakula kwako julius bila hofu coz namini nyama imechinjwa.wewe kma ulivyosema mradi damu imwagike so hun kizuizi.hii inamaanis...See More

    • Jambo Masai Tours kwenye kila chanzo lazima kuwe na sababu hadi wameanza hivyo ujuwe kuna watu wameshajipanga vizuri kwahiyo wanasubiria majibu ila tusilaumu sana ndugu zetu na hiyo sheria wanaosema imewekwa hakika hawakuusishwa dini nyingine vilivyo. kuna umuhimu wa kuwekana sawa kwanini nguruwe hawatak au nguruwe hafai kupelekwa machinjioni.

    • Flora Bahati Lyimo BIASHARA MATANGAZO...........SO ANYONE CAN SHINJA AND CAN JISEMEA CHOCHOTE HATA AKISEMA NYAMA IMECHINJWA NA MNYAMA KARIBUNI SANA.. MNYAMA BUTCHER IS OK " MBUTA NANGA!!

No comments:

Post a Comment