KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 22 February 2013

MBUTA NANGA" HAWA WOTE WANAJIUZA 30% OFF!! JAMANI KUWENI WAANGALIFU MNAPOKUWA NNJE !!

 Fanya fasta fasta 30%off wote leo" niko mpaka saa kumi na moja jioni"
 Wakushoto akitafuta sim yake fasta fasta nae apige sim au kutuma meseji akiwa amesimama hapa mahali pa 30%off ,huku wakulia akituma meseji yake,yani dilli ni hivi" ukimtumia mtu meseji au kumpigia sim ukiwa umesimama hapa na mtu huyo akija dukani hapa na kununua kivu au vitu unapewa £30" chezea vijimaneno na picha za Flora Lyimo Fashion Police"Mbuta Nanga!!
 Kuna bonge la ofa leo,nipo 30%off!!
 Wewe tumia sim yako mimi yangu haina pesa kabisaa!
 Sasa mbona meseji haiendi ?hii ofa siyakupita na kuiangalia tu,niyakuchangamkia kinoma"
 Fanya fasta nipo at 30% off!!
 Nimekutumia meseji hujanijibu nikaona nikupigie sim!   
 Sim yangu ipo wapi ,wacha nipige sim fasta fasta hii ofa si mchezo!!
 kwa 30% off siyo mbaya eee!!
 Hapa ni kuingia kwa pesa yako tena tunakupa 30% off kwa kila utakae simama hapa na kumpigia sim aingie hum ndani au aje kwa namba yako ya sim"na akinunua kitu unapata £30" mbuta nanga"
Habari ndo hiyoo,kuweni waangalifu mnapokuwa mmetoka mwasimama wapi ,mwaenda wapi ,mwatembea vipi na mmevaa vipi" Kwani unapotokea huko nnje wewe ni wakila mtu na kila kitu! FLFP"

No comments:

Post a Comment