KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 6 March 2013

DAR ES SALAAM TANZANIA LEO 06/03/2013 WAZIRI MKUU WA DENMARK AKARIBISHWA NA RAIS KIKWETE PAMOJA NA MAMIA YA WATANZANIA KWENYE MKEKA MWEKUNDU WA NGUVU IN IKULU!!

Mwanamke Handbag haijalishi ukubwa wala udogo,Hapa Watu wa matawi ya juu wakutana ,Waziri Mhe Helle na Rais Kitwete"

 Tanzania we love our Green ,mimea haswaa,na hapa lazima mti upandwe kwa ukumbusho wa nchi yako ulikuwepo in Tanzania mwaka 2013'karibu sana"
 Maji ni uhai wa Binadam na mimea pia !! safi sana na Umeme tupandie pia tafadhali kwani wahitajika haswaa Mbuta Nanga!
 Hapa ndo penyewe,,mkeka mwekundu mwauona unakoanzia eee, I LOVE MPIGA PICHA HUYU ningependa nimzawadie,,nice photo,ndo iliyonivutia kwa mbaliii!!
 Happy people ever " Jamani hongereni sana hivi ndivyo Tanzania inavyotakiwa kujisifia na kutaka ulimwengu mzima ujue nasisi tunajali na tunawezaa!!
 Flora Bahati Lyimo >Say"I'M SO PROUD OF ALL OF YOU MLIOJITOKEZA HAPA KUJIUNGA NA RAIS WETU KUMKARIBISHA MWENZAKE NCHINI MWETU" ZIDISHENI "UMOJA " AND BE BLESS ALWAYS!!
 Mhe Helle Thorning -Shmidt na Rais Kikwete wakiendelea na Mpito wao mbele ya mamia ya wanachi waliojawa na furaha tele,katika mkeka mwekundu kwenye lango la mashariki la Ikulu Dar Es Salam"



 Waona Jina lako hapa,,yani ndo nilipokuandika kwamba wewe ni Mmojawapo  wa kina Mama Viongozi wa Nchi wenye Akili na vitu vingi sana vyakuigwa Ulimwenguni" ni mwaka na tarehe tu ,nilisahau kuandika,ila sasa wacha tuandika tarehe ya leo na mwaka wa leo"heee, hivi ni vijimaneno vya Flora Bahati Lyimo" tu" 
 Unauona ule mti pale juu ya lile jengo leusi" yani nilipokuwa mtoto nilikuwa na upanda sana ,hutoamini kabisa nilikuwa na upanda mpaka pale juu kabisa " oh yes dear" na nimrefuuuuuuuuuuu ,au huo ndo Mlima KILIMANJARO ?' Mbuta Nanga!! vijimaneno vya Flora Bahati Lyimo"tu"
ASANTE NA KARIBU SANA TANZANIA"WATU HAPA WAMETULIA SANA 'TUSEME TATIZO NI UMEME HAKUNA,HOPE UMEKUJA NA UMEME WAKO'MIMI NIMEKUJA NA WANGU NDO NAUGAWA GAWA KWA ZAM" FLPL" 
Picha zote na IKULU" 

1 comment:

  1. Flora Bahati Lyimo napenda sana vijimaneno vyako unavyoandika pichani humu,,kweli unatakiwa kuwa muandishi wa habari ..mbuta nanga!!

    ReplyDelete