KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 5 March 2013

ENDELEA KUKISOME KITABU HICHI KABLA HUJAKINUNUA ~INBOX LOVE TRUE STORY ~BY: Flora Bahati Lyimo" HII NI (PAGE THREE) JE UMESHASOMA PAGE ONE &TWO ? HOPE UNAKI ENJOY TIYARI!!

*INBOX LOVE TRUE STORY "BY:FLORA BAHATI LYIMO*

Mr B >18 March 2009"
Asante mpenzi nipo kwenye kupambana haswaa' Tanzania ndiyo nyumbani mimi nimezaliwa Tanzania na nimekulia Tanzania ila mwaka 1986 Mama yangu mzazi alikuwa Canada anasoma tukaenda kama family 'mimi sikuwa msafiri sana ila siku hizi napenda sana kusafiri .Sasa my dear hicho kitabu chako utaandika kila kitu kuhusu maisha yako au kuna mambo mengine utatuficha? haha haha maana inahitaji ujasiri kuandika kila kitu,Au labda kama ulikuwa unaishi kama malikia ,I cant wait to get a copy ,nikusome na kupata kuelewa ulivyo mkweli na maisha yako pamoja na walowahi kuyaona hasa your boyriend "Jamani si urudi Bongo kidogo nikuone,hata mwezi wa tano au wa sita mimi pia nitakuwepo hapa ,if in position that is "naomba uniambie zaidi kuhusu wewe au ni mpaka nije kusoma katika kitabu chako,Natania! I feel happy when writing to you ,well nasubiria kukusoma tena  kwani unaonekana wewe ni mtu interesting sana hasa ninapotizana picha zako you killing me with that beautiful smile ,i cant wait kukuona na macho one day 'ukae salama

Miss FBL >18 March 2009
Afternong my dear ,Im happy kuamkia mesegi zako yani kumbe wewe ni mtu wa Tanzania ,ila siunajua kuna makabila mengi 'kwa mfano mimi nikisema natokea Moshi nasemekana kwamba mimi ni lazima nitakuwa Mchagga,which is true mie ni Mchagga halisi nimezaliwa Moshi vijijini ,mwaka 1990 ndiyo niliaga Uchaggani na kwenda kuishi Mjini Nairobi Kenya ,sasa wewe ni kabila gani au ni Mcanadian 'maana watu wengi wapo Dar Es Salam na hata huwa hawajui kabila lao au hata kuongea Lugha za Mama  yao ni wachache sana nimeona hayo hum hum Facabook ,unamuuliza mtu yeye ni kabila gani anakuambia yeye ni wa Dar Es Salam" na ukiwauliza kabila gani wanashidwa hata kusema na kuanza kusema wao wanajua wamezaliwa Dar Es Salam na mama pengine anatokea mahali fulani na baba mahali fulani " Hahaha" kazi kweli ipo ume ona ee"Anyway usijali na Kabila mimi napenda kuuliza maswali sana hasa in writing 'pole"
Kuhusu kitabu changu yani umenichekesha sana,kusema kweli kitakuwa cha ukweli mtupu hata mpaka pale nilipoanza kulala na mwanaume kwa mara ya kwanza ila siwezi kumtaja Mtu jina  wakinisoma wanaonifaham basi watajijua na vile vile kujua naowaongelea 'kwa kweli kitakapochapishwa siyo cha kukosa maana kitakuwa na mambo mengi mno na ya ukweli mtupu ,hutaamini siyo rahisi kuandika mambo yalivyo kwani hata mimi mwenyewe kuna mahali nafikia nikiandika na huzunika sana na kuanza hata na kulia hadi nashindwa kuandika kabisa na kuacha kwa muda alafu naendelea tena huku nikijikaza sana' Kuhusu kuja Tanzanian aisee sijui kama naweza kuja miezi hiyo maana pesa ndizo zimekuwa tatizo kwangu kwa sasa hivi lakini nadhani kwenye mwezi wa kumi na mbili kunauwezekano wangu kuja huko mimi napenda sana kuwa Nyumbani na ndugu zangu hasa Mama yangu nampenda mno "na ningefurahi sana kukuona pia,tuzidi kuombeana mpaka hapo yatakapo jitokeza kwani penye nia pana njia" wacha nikutakie siku njema na mahangaiko matulivu " stay Bless my dear"
MR B> 18 March 2009"
Hello dear ,Mimi pia nafurahi mno kuwa nasoma meseji zako , wacha nikuambie na mimi machache kuhusu Familia yangu ,Baba yangu ni mtu wa Singida na Mama wa Arusha ,Mimi ni Mtanzania halisi ila kilugga cha Mama ni kama ulivyosema hujakosea kabisa maana mimi sijui pia "na nadhani ni kwasababu ya kuzaliwa na Familia tofauti au pia niseme ni kosa la Mama yangu hakunifunza Lugga yake licha ya Kiswahili "haha haha'Yani hicho kitabu chako navyokisubiria ,lol,si uanze kunihadithia mimi jamani ? kidogo tu,Mimi mbea ee?sio sana .haha"
Unaonekana wewe ni kampani nzuri sana ya kuwa nayo around ,I guess maboyfriend's wako wamekuwa na good times sana kuwa na wewe ,your charming and sexy ,watakuwa wanakumiss sana hata kama hawakuambii,trust me.
Mimi niko tu hapa nasubiria ishu zangu flani zikae sawa niende China halafu nirudi hapa niende Tanzania ,nimeshapamisi sana Tanzania' Basi kama ulivyosema tuzidi kuombeana tu 'mipango iende salama,ukae salama Flora.
Miss FBL >19 March 2009"
Jamani siungekuwa karibu nikakupa busu tu" mwaa! kwa kweli hilo sijui ikiwa wananimisi na kunifikiria unavyonifikiria hapo na hata hatujuani' thanks my dear' lingine sijui kama ninakampani nzuri ,mimi ni mlevi ,Mbuta Nanga'natania" lakini napenda uwazi na mimi nipo wazi sana kwa kila kitu ,mimi huwa napenda sana kufurahia maisha kwa hiyo nakunywa wine zangu kiustaarabu sinaga maneno na mtu wala nikitoka sitoki kumtegemea mtu natoka nikijua ninakila kitu ninachohitaji kwa mtoko huo na nikipata natumia saa hiyo hiyo yani sijui mambo yakuweka pesa kwa ajili ya kesho wala nini'kesho ikija ikinikuta bila chochote ni sawa,jana nilikuwa navyo eti ee" au jana nilikuwa nae'mmm!! kuhusu kitabu changu yani kikitoka tu wewe ndo utakuwa wa kwanza kupata copi nasitakulipisha £19.99" Sasa wacha nikuulize zaidi kukuhusu ,hivi umeowa ? Lazima" maana wewe ni kaka msupuu kweli kweli ,na wakaka kama wewe washawahiwa siku nyingiii"hata kama umeshawahiwa lets be good Friends,I kind of like you now ,yani napenda sana kusoma storys na kupata mtu anaye nipa story kama wewe yani ni furaha kwangu sana hasa pale napoamka nakutana na meseji yako ndefu na yakutamanisha kusomwa"yani kila napozisoma meseji zako napatwa na kisisimko fulani chenye upepo wa mnuko wa Mr charming ' najua sasa utakuwa ushalala nakutakia usingizi mzito my dear"
MR B>19 March 2009"
I wish for that kiss jamani'hujui tu,I realy need a kiss from someone like you ,Trust me wanaume zako waliopita wanakumisi sana ,mno 'I'm sure ,labda kama sijui ni watu wa aina gani ila kwa jinsi ninavyojua aina ya mwanamke wewe ulivyo ,I think kama ningekuwa na wewe ningekuwa siambiwi wala sisikii,ujue kwanini ?uko open sana,outgoing ,carefree,easy going ,msema kweli hasa kuhusu maisha yake na mazingira kiujumla.Nikuambie kitukingine?katika swala la pesa  mimi nilikuwa kama wewe,nikipata natumia saa hiyo hiyo ila nilivyoanza vibiashara nikajifunza the hard way ,sasa hivi kidogo nimabadilika .Thank you kwa offer ya kitabu chako in advance, kuhusu mke sijaowa Flora na wala sina mpango wa kuowa soon, nimepitia mengi ila mwisho wa siku ni ngumu sana kupata right match,unaona status yangu niko katika relationship nakuambia ukweli it has never worked out,sijamuambia tu huyo dada,yuko Dar Es Salam ,nikirudi next month nitamuambia ,ni ngumu ila itabidi, tulianza kwa kujaribu wala hatuna muda mrefu nikaanza kusafiri kama hivi ila we dont match,really ,sijui unanipata hapo ' yani mtu kama hujisikii na mwenzio haina haja yakujidanganya bora ukuwepo tu" unatakiwa ujisikie moyoni kuwa una mpenda mtu na she or he the right match" sisikii moyoni kabisa na ni vibaya kujilazimisha. I love your personality ,mno 'ningekuwa nakuona I'm sure ingekuwa mambo mengine ,I like you already too" honestly ,lets hope for the best ila I wish to meet you soon .
Stay sweet,you just don't know how happy I am to read from you and write to you ,if you were close to  me I would Kiss you "
Miss FBL>19 March 2009"
My dear ,yani Mimi nilivyokuzoea sasa ,hasa ninapokutana na meseji zako hivi ninapo amka na amkia huku inbox maana najua nitakuwa na furaha kuliko hata chochote around me right here"yani wakati nitaingia nikute hamna nitaliaaa'Mbona ushaniambukiza penzi la upepo ?kwa kweli kama ni hivyo wafikiria jinsi ya kuachana na your girlfriend ni vigum sana ,mimi ningekushauri mkae chini mfikirie mwataka nini kwa kila mmoja wenu ,lakini mwenyewe ushasema unasafiri na kuwa mbali nae kwa muda .hilo nalo lachangia hata yeye mwenyewe yawezekana anajisikia kama wewe kwani mimi pia siwezi kuwa na mapenzi ya mbali yani mimi niwe huku kwa mfano na wewe uwe huko " kwa mtizamo wangu mapenzi ya aina hiyo siyo ya ukweli kabisa,kwani kumbuka miili yetu huwa nayo ina nguvu zake na matamanisho yake  na yatakapokujia na unakuta kuna watu wapo tiyari au karibu na kutaka kuwa karibu na wewe au vile vile wamekupenda lazima utashawishika tu ,watakao sema wataweza kuishi mbali na wapenzi wao na pia wakawa na mapenzi ya ukweli na yasiyo ya kuwadanganya kwa kuwa na wapenzi wa pembeni watakuwa ni waongo.for sure niaminie kwa hilo"kwa kweli namuonea huruma huyu mdada maana unaonekana ni kijana mzuri sana  wakuachana na Mke/Girlfriend' na wewe vile ninavyokusoma inaonekana unahitaji Pendo unalolisikia moyoni mwako"na siyo Urembo 'ila naamini penye pendo pia pana urembo ndani yake, I wish ningekuwa karibu na wewe pia ,Ningekukisije I love kissing hasa lips kama hizo zako za nipaje kizunguzungu"yani unanitamanisha mno hasa ninapotizama picha zako unanitia  nyege za ajabu ,inanilazim niende kitandani na my laptop huku nikizitizama picha zako hadi usingizi unanilaza taratibuu'your so cute bora nikuambie ikiwa madada's hawajakuambia,alafu unaonekana mrefu na napenda sana wanaume warefu hata my ex wote walikuwa warefu na White 'na sauti yako kwenye sim ndo basiii umenifikisha pahali pakee,yani kusema kweli  sijawahi ku date mwanaume mweusi au niseme wa rangi nyingine yoyote " I think ni kwa sababu pia sikuwa na watu wa rangi zingine karibu ni mewahi kuishi na wazungu au niseme Nchi na maeneo ya wazungu zaidi na pia kukuwepo mapenzini kwa muda mrefu "And I can't wait kulala na mwanaume mwausi hasa Mtanzania" lol. ningependa nijionee yale wanayosema kwamba Black man au nisema wanaume weusi know how to make love kuliko makabila mengine,wazungu wanakuambia Black men know how to Fuck but dont know how to love" hehe"and that is all white man and woman say I mean nimewasikia wakisema na hata my Ex walikuwa wananiambia also Black man have big cock .Mbuta Nanga"hivi ni kweli what do you think ? najua hutoniambia ukweli au'" yani mwili wako ushaniambukiza mapenzi sasa ,I cant take my eyes off your cute photo's .Anyway I'm going back to my book now yani ndo nimefikia mwaka 1999 from 1974"so bado nipo mbali sana kukimalizia up to date, kuhusu mambo ya kukukutana we never know mipango ya Mungu vitu vingine huwa vimepangwa na Mungu na haviwezi kupanguliwa hivyo ndivyo ninavyoelewa mimi" I wish ningeweza kukusaidia kuhusu mpango wako wa kuachana na your Girlfriend but nakutakia all the best ,and you know i hate mambo ya kujikuta natoka na mme wa mtu au anaidanganya kuwa hana mke na unakuja kujikuta usha fanya nae kila kitu na mipango ya nguvu mwisho wa siku unakuja kujikuta mwenzio haupo peke yako mwanaume kaowa ana mke na watoto sijui wapi ,,yani I hate that and I hope sitokaa nijikute mikononi mwa wanaume hao wadanganyifu"you know what napenda sana kuandika hata wewe nadhani ushaona navyokushokesha lol..wacha niishie hapa niache yakukuandikia tena na kesho ,be good and Bless Always"
MR B> 19>March 2009"
Flora mchokozi wewe mwanamke,mh!! ikitokea nikaonana na wewe sijui itakuwaje,najua I a'm very weak kwa personality ya aina yako ,yani you can turn me on very easily'believe me, And I not sure about the Black man ndo wana big cocks 'nivizuri kusikia kutoka kwenu nyie mnaolala na sisi,ila  hata mimi nimewahikusikia hivyo "kuhusu uhusiano wangu kwa kweli hata nilivyo kuelezea huweze kuelewa hali halisi ,kwa kifupi nilikuwa na msichana mwingine kwa miaka mitano tukaachana na nikawa single kwa muda wa mwaka mzima.Ofcourse nilikuwa na date kiaina ila nikaja kukutana na huyu dada ndio tukaamua kujaribu uhusiano seriously na hivi sasa tuna kama miezi miwili ndiyo nikaanza hizi safari zangu na kabla ya hapo pia nilishagundua kuwa hatutaweza kuwa pamoja ila sikuweza kumuambia kwa sababu sikuwa na sababu ya msingi 'Ila nadhani ni vizuri kuwa mkweli mapema kuliko kuja kumuumiza mtu zaidi baadae ,nadhani alitakiwa kuwa rafiki yangu wa kawaida tu.Mapenzi sijayahisi kabisa ,kabisa,kuna wakati unakutana na mtu unahisi unaweza kumpenda lakini inakuwa tofauti ,ndivyo ilivyonitokea'na kusema kweli tuli-rush katika uhusiano huo ,anyway ndiyo hivyo tena.
Flora unanifanya naanza kukupenda pia"tena vibaya ,na kwa kasi mno'nakutaka ila huu umbali ndio tatizo tu kwa sasa,siku zote navyokuwa huku nakuwa mpweke sana,niko na marafiki kadhaa from Tanzania ila kuwa na mtu kama wewe beside me it's something different,I really feel lonenly ,most of the time except nikiwa nasoma mail zako au nikiwa nakuandikia ,maana huwa nakuwa na fantacies nyingi,kama nakuona ,napenda sana ulivyo open ,unavyojiachia kwangu , kimawazo ,unavyoniambia ukweli aina ya mwanamke kama wewe ndio siku zote huwa namtaka, sijapata tu'you can make me a fool ,really ,I'm sure nikiwa na mtu kama wewe nitaenjoy sana ,kuanzia campany yako,love making ,kila kitu ,I can give too much to you katika mambo hayo ,nikiwa na mwanamke kama wewe I can be happy ,for sure,you are just so sweet in everyway,now nakutaka kimapenzi kwa muda mfupi sana ,aaagh!! uko mbali.
Naomba namba yako ya sim tena sim yangu imepotea if you dont mind"nitakupigia kesho ,I miss you badly now,utadhani nakufahamu siku nyingi ,that is where we can see love is strange,sijui attraction ,whatever it is but it is good' I just wish to touch you sweet. Ngoja nikakuwaze kitandani kabla sijalala.
Stay well"
Miss FBL>19 March 2009"
Pole my dear,naona mambo yetu yanaanza kujikolea taratibu ,wanavyosema love is strange ni kweli kabisa, yani ungelikuwa hapa na mimi sasa hivi ninavyokuandikia hii meseji kila sentesi ninacheka sana kwani ninafuraha yakukusoma leo kulikoni ,yani kiukweli your making me feel so happy,Ingawa upo mbali yani nakuona kama upo hapa na mimi ,na kwa kweli pendo siyo kitu chakujilazimisha bali hujitokeza lenyewe hasa pale mtu unapolisikia moyoni,na nitakuwa na furaha sana kumpata Mtanzania mwenzangu ambae anamapenzi ambayo nayahitaji na vile vile ambayo wote tunayasikia moyoni mwetu, hasa ambae tunaweza kuelewana kwa kila jambo na kwa kweli kwa wale ambao nimewahi kuwaona kwenye hii facebook nichague mmoja kisura ikiwa picha walizonazo ni zao kweli ,yani nitakuchagua wewe ,you are so cute and you make me feel like a really woman ,you make me feel wanted ingawa najiona kama nilipoachana na my ex of Seven years mwaka jana ilikuwa yote ni juu yangu pengine sikuwa na mapenzi yakuridhisha mwanamme but know your proving me wrong" Hivi hayo majina yako ya facebook ni ya ukweli ,nauliza tu maana mie natumia majina yangu ya ukweli but my friend told me that nisitumie majina yangu ya ukweli kwani watu wanatumia majina ya uwongo eti kwamba siyo vizuri kutumia majina yako ya ukweli? anyway that is why nimekuuliza,kwani mimi the only thing nimekatisha ni jina langu la mwisho Lyimo ,nimetoa hiyo Y " nikatumia Limo" wacha pia nikuambie kidogo kuhusu nilipotoka home na mpaka hapa nilipofikia sasa hivi ,ni kwamba mimi nilimaliza shule darasa la saba na wazazi wangu hawakuwa na uwezo wakunisomesha kwenda masekondari na hata hivyo mimi mwenyewe na masomo ni bure kabisa kwani ninachopenda nikufanya kazi na kupata mapesa ,na kuweza kujenga nyumba za bloku nyumbani na kila xmasi kwenda nyumbani  na mazawadi kibao,hahaa,only sikujua how hard it can be"so nilipelekwa Nairobi na family friend wetu kule kijijini yeye anaishi huko Nairobi alikuwa kaolewa huko na alikuwa na mtoto wake mmoja,basi akaja home naku muomba Mama anipeleke nikamsaidie kumfanyia kazi za nyumbani hasa kumuangalia mtoto wake wakati yeye anakwenda kazini na aikisha rudi maana yeye anafanya party time,ndipo na mimi nitaenda collage kujifunza kizungu na computer ' Mama akakubali nakuniambia niende nikajaribu bahati yangu huko Nairobi pia ni mji mzuri sana kwani mamaashawahi kwenda huko zamani enzi za usichana wake" Wala sikupata muda wakumuaga Baba hakukuwepo nyumbani na pia yeye alikuwa hata hana shughuli na sisi kabisa,kwani alikuwa ni mlevi mno,hajui hata kama kuna watoto wanahitaji kula au kwenda shule" yani wewe acha tu,but I was so happy kwenda mjini tena Nairobi yani nilitamani turuke niliona kwa gari nikama hatutafika, hapo nilikuwa na miaka kumi na tano na nilikuwa naogopaje wanaume,uwii hata shuleni nilikuwa nakaa mbali sana na vijana darasani,kwani mmoja wa dada yangu ,tupo watoto kumi mama mmoja na baba mmoja,so huyu dada yangu alonifanya nikawa nawakimbia vijana ni dada yangu mkuwa wa pili kwa upande wa wasichana, kwani tupo wasichana saba na vijana watatu, basi aliniambia kwamba ,wanaume wana dudu kubwa na unapo lala nae kwa mara ya kwanza utaumwa kweli napia utatokwa dam nyingi na hapo hapo utabeba mimba.uwiii tangu siku hiyo basi mimi nikuwaogopa wanaume na kukimbia haswaa"
Ila niliweza kukaa kwa muda wa miaka kumi na nane ,wakati nilipo toka Nairobi na kwenda Mombasa ndipo nikakutana huko na kijana mdogo yani kama rika langu hivi mzungu tena mjerumani yani nakumbuka nikama utadhani ni jana ilikuwa,basi huyo ndo mwanamme wangu wakwanza na mpaka leo sijatembea na mwanaume wa kabila lingine but wazungu,kwani nilikuwa nafikiria ama dada yangu alinidanganya mbona sijasikia huo uchungu na yale madam alosema sijayaona na vile vile mbona hata hana dudu kubwa" haha haha" ndipo pia nikafikiria au ni kwasababu ni mzungu ?" I think so" Basi tangu siku hiyo sijalala na wanaume weusi na pia nimekuwa na mapenzi ya Muda mrefu kwa wanaume wangu wote nimeshawahi kuwa date"(Wazungu)na pia nikawa naishi hapa Uk London sehem ya Mjini kabisa ambapo hata kukutana na mtu mweusi ni moja mmoja tena fasta fasta na hata hana habari na mtu "Ila sikudanganyi kweli huwa mpaka leo nadhani dada yangu hakunidanganya kwani yeye hajui wazungu dudu zao zikoje ,hata hajawahi kuziona hata kwa picha'na mpaka hiyo siku namimi nitalala nao hapo ndo nitajua alinidanganya,but for now ,ni bora niwakimbie hao wengine watakuwa wana dudu kubwa"Mbuta Nanga"pole jamani nakuchokeshaje leo ,nimeona nikuonjeshee yaliyopo kwenye kitabu changu kidogo,anyway namba zangu ni hizo najua hivi sasa huko kwenu mmelala la sivyo ningekupigia pia, ila nitaisubiria sim yako kwa ham sana kwani natamani kusikia sauti yako mno" stay Bless"
Haya Msomaji wangu na Nyota zangu ,usikose kurudi hapa kuendelea kukisoma kitabu hichi" Page after page..kinaendelea" let me know what you think hadi hapa ulipofikia page three" 

2 comments:

  1. I LOVE IT ''I CANT WAIT FOR PAGE 4'' Flora Lyimo you are a one in a million 'kweli watanzania wanatakiwa kuiga mfano wako'wakubali wasikubali.be Bless CEO wetu'

    ReplyDelete
  2. Thanks ever so much my dear''' Jamani pia polini kwa kuwacheleweshea page 4..yani nitajitahidi soon to be init again na kuwarushieni Hapa hapa..Much love Anymous 12:24..

    ReplyDelete