KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 3 March 2013

FLORA LYIMO FASHION POLICE,AKIELEKEA I.B.M. NIGHT 02/03/2013 AT LAFACE CLUB LONDON" (ALBUM 1)NANI ALIFIKA KUCHAFUA" MBUTA NANGA!!

 Flora Lyimo Fashion Police mwenyewe na Handbag lake la Mnyama ,,chezea yeye hapana kabisaa"Mbuta Nanga!!
 Mwaniona ee,mwanamke nyama na ukiwa nazo !!! 
 Na hapa je,yani kunenepa kunadiliii na nanenepaje sasa!!

 Amani na Amani for sure!! sitaki shida wala lawama mie!!

 Ok Party people your Flora Lyimo Fashion Police yupo njiani ndo anaingia kwenye Black Cab ,bora uwe hujachafua umeivaa Black Outfit yako" jamani mavaazi meusi huwezi kosa so hakuna sababu yakusema hukupata Black nguo ya kuvaa leo kwenye mtoko huu wa BLACK NIGHT OUT..IBM!!

 Mnazisomaje namba"Mbuta Nanga..sukumaa sukumaaa!! 
 I love Black Cab ,mwaviona vijimambo ndani ya hii Black cab ya Flora Lyimo Fashion Police for tonight! na kiavu changu mwakionaje!



 I love my Handbag,,and yes it is on Sale if you like it and want one whats app House of Flora :+44 7787471024 pia lipo na nyekundu yake
 Najipendaje na napendaje picha basi hapa ni ndani ya Black cab nikiji snap snap mwenyewe kwa raha zangu"

 Mwaliona handbag ee,,kitu cha mnyama wa kidungumaria " I love it!! if you love it too Email: flo1974@btinternet.com


Flora Bahati Lyimo a.k.a Fashion Police" hapa mwanionaje nyota zangu semeni chochote mnachoona kilinikasoro hapa..Anyway ,my FEEDBACK KWA MR FRANK GONGA" Ni kwamba nime enjoy sana kwa mara nyingine ya Pili now,,IBM imekuwa katika mistari ya kunyooka na kuridhisha Watanzania,hasa leo nimejionea mwenyewe hakuna ambae atalalamika haku enjoy ..niseme kina DADA/MAMA, malalamiko ni ya viatu virefu kwa umizaje miguu sababu ya kukosa mahali pa kukaa..ila ndo hivyo club huendi kukaa chini ..Mbuta Nanga" AND MR GONGA,,NEXT ONES ,,USILIPISHE £15..LIPISHA £20...KWANI NI POA SANA NA WATU WANAKUJA SEHEM NZURI KAMA YA LEO NA BILA FUJO YA AINA YOYOTE..INAFAA KIINGILIO KIWE £20 AT ANYTIME: AU nyie mwaonaje Nyota zangu ,wacheni maoni yenu hapa anytime!!FLFP..Hakikisha umerudi hapa kuona Album 2 ya kila alopatikana kwenye Camera ya FLFP Fashion Police"

1 comment:

  1. upo fasta mwanamke....tuwekee basi nazahao walochafua..mbuta nanga" na ulipendezaje na kofia yako ya police,love it!

    ReplyDelete