KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 7 March 2013

MAMBO YAPO HUKU JUMAMOSI HII!!!

IMEBAKI SIKU 1:Karibuni wanadada/wanawake woote ktk event hii itakayokuwa JUMA MOSI HII,Mbezi Garden Hotel kuanzia saa 8 mchana hadi 12 jioni.Tutakuwa na watoa mada watakaozungumzia mambo mbalimbali kama;ujasiriamali,uwekezaji ktk real estate,solution mbalimbali za magumu yaliyopo ktk biashara zetu,ushuhuda kutoka kwa mjasiriamali kuwatia moyo wengine,mifuko iliyopo kuwasaidia wajasiriamali kujiwekea akiba za uzeen na kuweza kununua nyumba kama collateral n.k.Kutakuwa na maonyesho ya vitu mbalimbali kama nguo,viatu,mabegi,accesories,asali,kadi za harusi,vitenge vya wax,watoa huduma za internet,wauzaji bajaj,wanao-print maneno ktk tshirts, handkerchief,glasses,pens,mugs nk.
Chakula+Vinywaji+Music+Refreshments+Network sessions.
Kiingilio ni 25,000.Unaweza tuma kwa mpesa Tsh 0756-696369/Tigopesa0714-750404.Mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa TPSF,mama Esther Mkwizu.KARIBUNI SANA !UKIONA TANGAZO HILI MUARIFU NA MWENZIO..

No comments:

Post a Comment